Waziri mpya wa Mawasiliano, anza kazi na Azam Media. Wamepanga kutupiga kwenye vifurushi vipya

Waziri mpya wa Mawasiliano, anza kazi na Azam Media. Wamepanga kutupiga kwenye vifurushi vipya

Azam waache kuwanyonya wananchi eti kisa ni kampuni inayopendwa na wananchi ndio mnawakandamiza?

Hakuna ubishi kuwa Azam Media ndio baba lao. Sasa msitumie advantage kisa mnarusha tamthila nzuri zinazopendwa na watu kisha kuwaumiza kwenye bei za vifurushi.
 
Nimeshangaa baada ya watu kulalamika humu eti wamepandishiwa vifurushi vya azam tv kumbe kuna watu bado mnatumia huu uchafu aisee huku masaki tulishasau huu uchafu aisee kweli watanzania bado masikini azam ilivyo na quality mbovu hivo bado watu WANATUMIA wakati Kuna unyama DSTV quality bora inayolingana na pesa unayolipa wakimbieni hao mnaibiwa watanzania tote hayo Ili kuhangaika na timu za waganga wa kariakoo ambazo zinacheza mpira kama wanalima mnafanya nini watanzania ushamba utaisha lini aisee unanunua azam kisa uchafu wa simba na yanga
Mbona unalazimisha watu kwa fedha wanazo tafuta wenyewe, maana kama design unawakalipia kwa kutumia hela zao watakavyo.

Huyo DSTV anaenda kupotea polepole siku hizi kuna Router hizi,kwa 100k+ unapata speed ya kitosha link kibao za kucheck EPL,UEFA na ligi zote za ulaya.
 
Mbona unalazimisha watu kwa fedha wanazo tafuta wenyewe, maana kama design unawakalipia kwa kutumia hela zao watakavyo.

Huyo DSTV anaenda kupotea polepole siku hizi kuna Router hizi,kwa 100k+ unapata speed ya kitosha link kibao za kucheck EPL,UEFA na ligi zote za ulaya.
Tafuta pesa halafu punguza hasira azam ni ya kuangalia masikini kama wewe
 
Azam wanafanya hivyo kwa sababu hawana mpinzani.
Wenye visambuzi vya Azam WOTE akiacha kulipa kwa miezi miwili atanyooka na kushusha gharama
 
Tafuta pesa halafu punguza hasira azam ni ya kuangalia masikini kama wewe
Sasa mimi na wewe nani ana hasira,hela ya kwakwe mwache aamue Azam TV au Star times unataka kuwapangia watu cha kuangalia si upunguani huo.

Mimi nina Azam na nina Router ya Voda si hitaji DSTV na natizama mechi zote, sina njaa kama ulizokuwa nazo wewe. King'amuzi cha DSTV sijui hata kipo wapi.
 
Wewe unafikiri kuleta Camera ya milioni 500 na VIKURE(VAR) gharama yake ni kidogo? Kifurushi cha juu 35000 hakijaguswa,wamegusa vya chini tu.

Bora Azam ndiyo ya bei rahisi ,hata Startimes nayo bei kubwa tu ila baba yao ni DSTV jini hilo beio zao si rafiki.
 
Sasa mimi na wewe nani ana hasira,hela ya kwakwe mwache aamue Azam TV au Star times unataka kuwapangia watu cha kuangalia si upunguani huo.

Mimi nina Azam na nina Router ya Voda si hitaji DSTV na natizama mechi zote, sina njaa kama ulizokuwa nazo wewe. King'amuzi cha DSTV sijui hata kipo wapi.
Hasira unazo wewe ungekua huna hasira ungeupita huu uzi
 
Azam waache kuwanyonya wananchi eti kisa ni kampuni inayopendwa na wananchi ndio mnawakandamiza?

Hakuna ubishi kuwa Azam Media ndio baba lao. Sasa msitumie advantage kisa mnarusha tamthila nzuri zinazopendwa na watu kisha kuwaumiza kwenye bei za vifurushi.
Sio inapendwa bali sababu haiba mbadala ya kuonyesha ligi ya Bongo,ukija kwenye tamthiliya za kibongo na movie za majuu wameachwa mbali sana na Dstv.
 
Azam waache kuwanyonya wananchi eti kisa ni kampuni inayopendwa na wananchi ndio mnawakandamiza?

Hakuna ubishi kuwa Azam Media ndio baba lao. Sasa msitumie advantage kisa mnarusha tamthila nzuri zinazopendwa na watu kisha kuwaumiza kwenye bei za vifurushi.
Sio inapendwa bali sababu haiba mbadala ya kuonyesha ligi ya Bongo,ukija kwenye tamthiliya za kibongo na movie za majuu wameachwa mbali sana na Dstv.
 
Ndugu Mteja, kuanzia 1/8/24 kutakuwa na mabadiliko ya bei. Kifurushi cha 25000 kuwa 28000; 17000 kuwa 19000; 10000 kuwa 12000; 6000 kuwa 7000 na 3000 kuwa 4000.

Azam decoder hawana Ubora kuzidi Dstv, Wanatumia kigezo cha kutuonyesha mipira Ili kuchaji gharama zaidi, ongezeko hilo ni kama blackmailing, hakuna media nyingine wanaowapa ushindani kwenye mpira kwa Sasa. Ongezeko hilo sio halisia na maisha ya wananchi, ajabu Mzawa mwenzetu anatunyonya kuliko wageni wawekezaji.

Mmesubiri home boy apigwe chini ndio mlete ongezeko! Waziri nakusihi, liangalie kwa jicho la wananchi wanyonge..
Hiyo ni biashara kama biashara zingine, muuzaji anataka faida na mnunuaji anataka huduma, ikiwa utaona ni gharama kubwa bora utafute mwenye kutoa huduma mwingine.
 
Back
Top Bottom