Azam waache kuwanyonya wananchi eti kisa ni kampuni inayopendwa na wananchi ndio mnawakandamiza?
Hakuna ubishi kuwa Azam Media ndio baba lao. Sasa msitumie advantage kisa mnarusha tamthila nzuri zinazopendwa na watu kisha kuwaumiza kwenye bei za vifurushi.
Hakuna ubishi kuwa Azam Media ndio baba lao. Sasa msitumie advantage kisa mnarusha tamthila nzuri zinazopendwa na watu kisha kuwaumiza kwenye bei za vifurushi.