joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ww ndiye mwenye hasira unawapangia watu cha kutizama,wakati fedha wanatafuta wenyewe.Hasira unazo wewe ungekua huna hasira ungeupita huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ndiye mwenye hasira unawapangia watu cha kutizama,wakati fedha wanatafuta wenyewe.Hasira unazo wewe ungekua huna hasira ungeupita huu uzi
Mbona unalazimisha watu kwa fedha wanazo tafuta wenyewe, maana kama design unawakalipia kwa kutumia hela zao watakavyo.
Huyo DSTV anaenda kupotea polepole siku hizi kuna Router hizi,kwa 100k+ unapata speed ya kitosha link kibao za kucheck EPL,UEFA na ligi zote za ulaya.
Kwanza unajuwa inflation nini? Unaweza kumpangia mtu nyumba akodishe kwa kodi kiasi gani? au ni Demand and supply kukiwa na mahitaji makubwa kuliko uwepo wa nyumba bei zitapanda. Unaenda sokoni nyanya unakuta bei moja kila siku? Serikali haifanyi regulate kwenye biashara za watu wanafanya kwenye mambo waliyotia mkono wao kama mafuta na nishati zingine lakini sio kwenye biashara za watu. Umeshawahi kufanya booking ya ndege au Hotel? Leo unaweza kukuta laki 2 jioni laki 3 hujiulizi kwanini?Upo sawa kichwani kweli? Leo ukiuziwa saruji 100000 mfuko1 kwakuwa ni biashara ya mtu utaona ni Sawa? Nyie ndiyo majinga mliopo nchini. Serikali kazi yake ni ku regulate na ku control inflation ili wananchi wapate huduma kwa bei nafuu.
Karine hii kulilia vifurushi vya TV ni ujinga sana, TV zimeachwa kwa jinga kutazamaNdugu Mteja, kuanzia 1/8/24 kutakuwa na mabadiliko ya bei. Kifurushi cha 25000 kuwa 28000; 17000 kuwa 19000; 10000 kuwa 12000; 6000 kuwa 7000 na 3000 kuwa 4000.
Azam decoder hawana Ubora kuzidi Dstv, Wanatumia kigezo cha kutuonyesha mipira Ili kuchaji gharama zaidi, ongezeko hilo ni kama blackmailing, hakuna media nyingine wanaowapa ushindani kwenye mpira kwa Sasa. Ongezeko hilo sio halisia na maisha ya wananchi, ajabu Mzawa mwenzetu anatunyonya kuliko wageni wawekezaji.
Mmesubiri home boy apigwe chini ndio mlete ongezeko! Waziri nakusihi, liangalie kwa jicho la wananchi wanyonge..
Huyu jamaa mshamba,ila may be mtu wa marketing anatafuta masoko,ila anawakaribia watu nini cha kuangalia wakati fedha wanatafuta wenyewe.DSTV yalamba hasara ya bilioni 122, gharama za vifurushi zawakimbizia wateja 486,000
Katika sababu walizoziweka wamesahau sababu moja ambayo ni ukuaji wa matumizi ya internet... Ukishakuwa na internet ya kasi na yenye gharama nafuu, DSTV inakuwa kama option B... Kabisa, TV tunaweka free apk zipo nyingi mno, halafu nastream na 4 g Mfano yaccine tv apkwww.jamiiforums.com
Kweli kbsaHamieni dstv kwanza huko azam zaidi ya mipira hamna kitu cha ajabu
Hapa uko sahihi kabisa. Nape aliwapa Azam TV monopoly ya kuonesha mechi za mpira kinyume na sheria ya nchi na ya kimataifa ya fair competition katika biashara yo yote ile.Azam decoder hawana Ubora kuzidi Dstv, Wanatumia kigezo cha kutuonyesha mipira Ili kuchaji gharama zaidi, ongezeko hilo ni kama blackmailing, hakuna media nyingine wanaowapa ushindani kwenye mpira kwa Sasa
Tafuta helaHuyu jamaa mshamba sijui may be mtu wa marketing ila kutafuta masoko hajui anawakaribia watu nini cha kuangalia wakati fedha wanatafuta wenyewe.
Wewe ndio utafute hela ili uache makasiriko ya kuwapangia watu kipi cha kuangalia.Tafuta hela
Tafuta helaWewe ndio utafute hela ili uache makasiriko ya kuwapangia watu kipi cha kuangalia.
Hao uliowataja wana uwezo wa kununua hizo mechi? Au unadhani ni bureHapa uko sahihi kabisa. Nape aliwapa Azam TV monopoly ya kuonesha mechi za mpira kinyume na sheria ya nchi na ya kimataifa ya fair competition katika biashara yo yote ile.
Waziri mpya wa habari awanyang'anye Azam TV hiyo monopoly ya mpira. TBC, ITV, Star TV, Clouds TV, Channel Ten, EATV etc nao waruhusiwe kuonesha hizo live football matches. Hapo lazima vifurushi vya Azam TV vitashuka automatically na jeuri hii ya Azam TV itakoma.
Hili lisipofanyika tutawaomba akina Madeleka, Mwambukusi na TLS kuwaburuza mahakamani Azam TV na Mwanasheria mkuu wa serikali kwa uvunjifu wa sheria hii ya kimataifa ya fair business competition.
Tafuta hela
Tafuta helaWewe ndio utafute hela ili uache makasiriko ya kuwapangia watu kipi cha kuangalia.
Wewe ndio utafute hela ili uache makasiriko ya kuwapangia watu kipi cha kuangalia.Tafuta hela
Tafuta helaWewe ndio utafute hela ili uache makasiriko ya kuwapangia watu kipi cha kuangalia.