mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Ujinga kwenda kurudi njia naifahamu!Lisu yuko kimya
Alipo pigwa mbona na ww ulikaa kimya??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga kwenda kurudi njia naifahamu!Lisu yuko kimya
Kufidia gharama za uendeshaji banaNdugu Mteja, kuanzia 1/8/24 kutakuwa na mabadiliko ya bei. Kifurushi cha 25000 kuwa 28000; 17000 kuwa 19000; 10000 kuwa 12000; 6000 kuwa 7000 na 3000 kuwa 4000.
Azam decoder hawana Ubora kuzidi Dstv, Wanatumia kigezo cha kutuonyesha mipira Ili kuchaji gharama zaidi, ongezeko hilo ni kama blackmailing, hakuna media nyingine wanaowapa ushindani kwenye mpira kwa Sasa. Ongezeko hilo sio halisia na maisha ya wananchi, ajabu Mzawa mwenzetu anatunyonya kuliko wageni wawekezaji.
Mmesubiri home boy apigwe chini ndio mlete ongezeko! Waziri nakusihi, liangalie kwa jicho la wananchi wanyonge..
Hovyo kabisa HawaNdugu Mteja, kuanzia 1/8/24 kutakuwa na mabadiliko ya bei. Kifurushi cha 25000 kuwa 28000; 17000 kuwa 19000; 10000 kuwa 12000; 6000 kuwa 7000 na 3000 kuwa 4000.
Azam decoder hawana Ubora kuzidi Dstv, Wanatumia kigezo cha kutuonyesha mipira Ili kuchaji gharama zaidi, ongezeko hilo ni kama blackmailing, hakuna media nyingine wanaowapa ushindani kwenye mpira kwa Sasa. Ongezeko hilo sio halisia na maisha ya wananchi, ajabu Mzawa mwenzetu anatunyonya kuliko wageni wawekezaji.
Mmesubiri home boy apigwe chini ndio mlete ongezeko! Waziri nakusihi, liangalie kwa jicho la wananchi wanyonge..
Hovyo kabisa Hawa washenzi,sitokaa ninunue mpira nitaangalia kibanda umizaNami wamenitumia huo ujinga wao..nikashangaa tu
Mtu anayelipia ving'amuzi vya tanzania sijui ninamuonaje kwakweli. Yaani unalipia hayo uangalie ma channel ya bongo na mamipira ya bongo hivi hamuoni kinyaa
Hata kama million nalipia tu ila quality na vipindi vinaeleweka sio ao azam matapeli channel kama ukungu vipindi. Vya watu wa buza tu Mpira wa wavunja kuni wa tanzania yaani Mimi niangalie uchafu wa ligi ya tanzaniaHao dstv wana vifurushi vya aftatu tuje?
Azam ni uchafu Fulani hiviHakuna kingine cha kuangalia kwenye Azam zaidi ya mpira wa kibongo, kama sio dstv potezea.
Bora nife nalo ila sio kuwa na uo uchafu wa azam sebuleni kwangu unatia kinyaaNiseme tu kwamba kama ni mmasaai bado hujatahiriwa.
Na kama ni mkurya tohara yako ni ya hospitalini na kama ni mnyaki utakufa "nalo hilo"