Waziri mpya wa Sanaa na Michezo (Prof. Kabudi) naona hatoshi huku

Waziri mpya wa Sanaa na Michezo (Prof. Kabudi) naona hatoshi huku

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Naheshimu sana mamlaka za uteuzi wake

Naheshimu taalumu, wasifu na uwezo wa Professor Paramagamba Kabudi ila nadhani huku hapamfai
Natoa tu maoni na mtazamo wangu wala neno langu sio sheria

Waziri Paramagamba Kabudi ana umri wa miaka 68, na wizara anayokuja kutumikia inashirikisha vijana yaani watu wa football, hip hop, singeli, bongo movie na kadhalika, 99% ni vijana

Sasa Leo amekuja Mzee mstaafu kuongoza hii wizara, kwakweli naona viatu ni vikubwa havimtoshi.

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais


Kwanini mh Rais asimwamini mwana FA akawa waziri kamili wa sanaa na michezo kwakuwa Bado ni kijana

Mh Rais mpeleke Professor Huyo kwenye sheria na siasa huko, huku michezo hatuhitaji wazee, tunahitaji vijana

Anyway karibu lakini Kinyonge sana, vijana hatujaridhishwa na uteuzi huu japo tunaheshimu maamuzi ya mh Rais
 
Waziri wetu
 

Attachments

  • downloadfile-4.jpg
    downloadfile-4.jpg
    197.8 KB · Views: 4
Naheshimu sana mamlaka za uteuzi wake

Naheshimu taalumu, wasifu na uwezo wa Professor Paramagamba Kabudi ila nadhani huku hapamfai
Natoa tu maoni na mtazamo wangu wala neno langu sio sheria

Waziri Paramagamba Kabudi ana umri wa miaka 68, na wizara anayokuja kutumikia inashirikisha vijana yaani watu wa football, hip hop, singeli, bongo movie na kadhalika, 99% ni vijana

Sasa Leo amekuja Mzee mstaafu kuongoza hii wizara, kwakweli naona viatu ni vikubwa havimtoshi

Kwanini mh Rais asimwamini mwana FA akawa waziri kamili wa sanaa na michezo kwakuwa Bado ni kijana

Mh Rais mpeleke Professor Huyo kwenye sheria na siasa huko, huku michezo hatuhitaji wazee, tunahitaji vijana

Anyway karibu lakini Kinyonge sana, vijana hatujaridhishwa na uteuzi huu japo tunaheshimu maamuzi ya mh Rais
nasubiri taasisi ya kusimamia mikataba ya serikali aliyoisema kabudi kwamba serikali itaiunda
 
Ipo siku ukijaliwa uhai, utakuwa mzee na utagundua kuwa kubaguliwa kwa sababu ya uzee wako si jambo jema.

Kumbuka kila mzee aliwahi kuwa kijana ila si kila kijana atakuwa mzee. Yaani ni rahisi sana kwa mzee kuyajua ya vijana kuliko kijana kuyajua ya wazee.

Vijana siku hizi wanadhani wao ndio wanastahili kuwepo duniani kuliko rika nginginezo.
 
Ipo siku ukijaliwa uhai, utakuwa mzee na utagundua kuwa kubaguliwa kwa sababu ya uzee wako si jambo jema.

Kumbuka kila mzee aliwahi kuwa kijana ila si kila kijana atakuwa mzee. Yaani ni rahisi sana kwa mzee kuyajua ya vijana kuliko kijana kuyajua ya wazee.

Vijana siku hizi wanadhani wao ndio wanastahili kuwepo duniani kuliko rika nginginezo.
Sasa Kabudi atahangaika na Zuchu
Atakuwa nyimbo Gani za hip hop au singeli zinatamba Kwa wakati huu.
Anaijua wapi mifumo ya michezo ya football au boxing 🥊
 
Waziri Paramagamba Kabudi ana umri wa miaka 68, na wizara anayokuja kutumikia inashirikisha vijana yaani watu wa football, hip hop, singeli, bongo movie na kadhalika, 99% ni vijana
Sidhani kama ataendana na kasi ya mabadiliko katika tasnia ya habari.
 
Sasa Kabudi atahangaika na Zuchu
Atakuwa nyimbo Gani za hip hop au singeli zinatamba Kwa wakati huu.
Anaijua wapi mifumo ya michezo ya football au boxing 🥊
Serikali ina-deal na mifumo sambamba na sera bora za maendeleo. Sasa who is Zuchu! Kwamba Kabudi inampasa kumshauri au kumtungia mashairi ili aendee ku-hit kwenye music industry... hoja yako ni ipi!?

Tunahitaji watu bora au sera bora kwa maendeleo ya kila idara...!!
 
Serikali ana-deal na mifumo sambamba na sera bora za maendeleo. Sasa who is Zuchu! Kwamba Kabudi inampasa kumshauri au kumtungia mashairi ili aendee ku-hit kwenye music industry... hoja yako ni ipi!?

Tunahitaji watu bora au sera bora kwa maendeleo ya kila idara...!!
Huyo Mzee hatoshi huku
Dunia inakimbia
Unadhani kwakuwa ni professor anaweza kila kitu
 
Back
Top Bottom