Waziri mpya wa Sanaa na Michezo (Prof. Kabudi) naona hatoshi huku

Waziri mpya wa Sanaa na Michezo (Prof. Kabudi) naona hatoshi huku

Hivi utamaduni ni hip op ,reggae,na singeli ,Ngoma- basi? Ndugu zangu tumepotoka saaana Kama tunawaza pafupi hivyo. Ninavyoelewa utamaduni yaani "culture"
Culture is the total way of life au jumla ya Mambo yote yanayomfanya mwanadamu awe Kama alivyo, mfano wa Mambo hayo kwa uchache ni Kama ifuatavyo:-
1.Mila na desturi
2.Vyakula
3.Mavazi
4.Lugha
5.Ndoa
6 Maadili
7Sherehe
8.Matambiko
9.Dini
10 Uchumi na biashara
11.starehe na burudani
12.Mirathi,vifo na kuzikana
13 Jando na unyango
14.Nk
Kutokana na yote hayo Sasa na mengine nisiyoyataja pima Sasa Kama professa kabudi anatosha hapo au hatoshi,je hiyo wizara ni ya kupewa vijana tu? au watu wazima jibu utapima mwenyewe
 
NCHI YETU YA HOVYO SANA SANA.

KABUDI NDIO ALIPASWA KUWA THINKING TANK YA TAIFA.

ANAPELEKWA KUSHINDANA NA AKINA ZUCHU.


HII NI AIBU MNO.
MAMA HANA AKILI.
 
Mama ana visasi vya ajabu sana huyu.
Huyu mzee anachezewa sio kuteuliwa kutona na uchawa wakae. Hili zee na michezo wapi na wapi? Nakubaliana na kuteuliwa waziri wa sanaa kwa sababu aliyemteua ni msanii naye ni msanii.
 
Hivi utamaduni ni hip op ,reggae,na singeli ,Ngoma- basi? Ndugu zangu tumepotoka saaana Kama tunawaza pafupi hivyo. Ninavyoelewa utamaduni yaani "culture"
Culture is the total way of life au jumla ya Mambo yote yanayomfanya mwanadamu awe Kama alivyo, mfano wa Mambo hayo kwa uchache ni Kama ifuatavyo:-
1.Mila na desturi
2.Vyakula
3.Mavazi
4.Lugha
5.Ndoa
6 Maadili
7Sherehe
8.Matambiko
9.Dini
10 Uchumi na biashara
11.starehe na burudani
12.Mirathi,vifo na kuzikana
13 Jando na unyango
14.Nk
Kutokana na yote hayo Sasa na mengine nisiyoyataja pima Sasa Kama professa kabudi anatosha hapo au hatoshi,je hiyo wizara ni ya kupewa vijana tu? au watu wazima jibu utapima mwenyewe
Hakuna mtu asiye na utamaduni
Sisi tunazunguzia kiwanda cha sanaa na michezo huyo waziri kikongwe ataweza?
 
Naheshimu sana mamlaka za uteuzi wake

Naheshimu taalumu, wasifu na uwezo wa Professor Paramagamba Kabudi ila nadhani huku hapamfai
Natoa tu maoni na mtazamo wangu wala neno langu sio sheria

Waziri Paramagamba Kabudi ana umri wa miaka 68, na wizara anayokuja kutumikia inashirikisha vijana yaani watu wa football, hip hop, singeli, bongo movie na kadhalika, 99% ni vijana

Sasa Leo amekuja Mzee mstaafu kuongoza hii wizara, kwakweli naona viatu ni vikubwa havimtoshi.

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais


Kwanini mh Rais asimwamini mwana FA akawa waziri kamili wa sanaa na michezo kwakuwa Bado ni kijana

Mh Rais mpeleke Professor Huyo kwenye sheria na siasa huko, huku michezo hatuhitaji wazee, tunahitaji vijana

Anyway karibu lakini Kinyonge sana, vijana hatujaridhishwa na uteuzi huu japo tunaheshimu maamuzi ya mh Rais
Hamtaki misamiati mipya ya Kiswahili?
 
Ila ki ukweli hivi hakuna sura mpya kwny teuzi?? Hii inchi inaboa...
 
Kwangu nimeona ni dharau ya wazi hii ..uyu mzee alifaa apo apo kwa taaluma na ubobezi wake
 
Back
Top Bottom