Waziri Mwakyembe: Hakuna Chombo cha Habari cha Kimataifa kilichofungiwa na Serikali

Waziri Mwakyembe: Hakuna Chombo cha Habari cha Kimataifa kilichofungiwa na Serikali

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa habari Mhe. Mwakyembe amesema hakuna Media yoyote ya kimataifa iliyoxuiwa kufanya kazi nchini.

Kadhalika hakuna kanuni yoyote inayomtaka mtangazaji wa media hizo kuandamana na askari kila anapoenda kufanya mahojiano na wanasiasa.

Waziri Mwakyembe amesema hayo katika mahojiano na mtangazaji Zuhra Yunus wa BBC.

Mwakyembe amesisitiza kuwa kilichofanyika ni kuvitaka vyombo vyote habari kuzingatia maadili ya nchi kwenye maudhui ya habari wanazoripoti.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!
 
Na beberu wanasema watatoa tamko kutokana na huku ujinga ndio maana mwakimango anajichekesha
 
Team ya kampeni ya Lissu inaongozwa na

1. TCRA
2. Polisi
3. Ofisi ya Mashtaka
4. Ndugai
5. Magufuli
6. Sirro

Hawa ndo watu na taasisi wanaoongeza kura na mashabiki kwa Tundu Lissu.

Kwa matendo yao dhidi ya Lissu , Lissu anaweza hata asipige kampeni ila akashinda vibaya sana uchaguzi wa mwaka huu!!
 
CCM kama kawaida yao, Wamejamba na kuwasha feni faster
Team ya kampeni ya Lissu inaongozwa na

1. TCRA
2. Polisi
3. Ofisi ya Mashtaka
4. Ndugai
5. Magufuli
6. Sirro

Hawa ndo watu na taasisi wanaoongeza kura na mashabiki kwa Tundu Lissu.

Kwa matendo yao dhidi ya Lissu , Lissu anaweza hata asipige kampeni ila akashinda vibaya sana uchaguzi wa mwaka huu!!
 
Ila hii serikali inafanya kosa kubwa litakalo watoa madarakani kabisa. Watu tukataeni hizi siasa za chuki, uovu huu utawagharimu tu.
 
Wataongea lugha zote mwaka huu ila Itoshe tu kusema TCRA wamempigia kampeni Lissu mara milioni moja
Hakuna watu wanaopenda kujifariji kama cdm hiyo kampeni aliyopigiwa lisu na tcra sijui itampa kura ngapi ikiwa mwenyewe anashindwa kujikampeni kazi kupinga tu vitu vilivyofanywa na mwanaume mwenzake unategemea nini
 
Huyu waziri naye anajifanya bingwa wa kujipendekeza na hizo degree zake 4
Wewe asiposema unayotaka kufikia unaona anajipendekeza😂! Hivi uliufanyaje mtihani wa STD vii!?🤣😂🤣!
 
Hakuna watu wanaopenda wakujifaiji kama cdm hiyo kampeni aliyopigiwa lisu na tcra sijui itampa kura ngapi ikiwa mwenyewe anashindwa kujikampeni kazi kupinga tu vitu vilivyofanywa na mwanaume mwenzake unatgemea nini
Acha kujitoa ufahamu, kwani mpiga kampeni ndo anayepiga kura? Au msikiliza kampeni?
 
Hakuna watu wanaopenda kujifariji kama cdm hiyo kampeni aliyopigiwa lisu na tcra sijui itampa kura ngapi ikiwa mwenyewe anashindwa kujikampeni kazi kupinga tu vitu vilivyofanywa na mwanaume mwenzake unategemea nini
Nakupa ushauri leo. Fuatilia pages zote zilizotangaza masuala ya tcra leo alafu kasome comments za wananchi

Fuatilia pia pages za ITV Facebook zilizotangazakipindi cha dk 45 akihojiwa Siro alafu Soma comments za wananchi.

Watu wamefika point of no return wanapasuka tu na hawajali
 
Back
Top Bottom