Waziri Mwakyembe na BASATA ongezeni umakini. Msanii Young Dee anawazidi akili na anachochea ujinga

Ndo tatizo LA watanzania ujuaji mwingiiii daaah Nipo bongo Bahati mbaya
 
Huyo unayemlilia akusaidie na yeye usikute anaona yuko bongo kwa bahati mbaya..sasa wewe subiria msaada
 
jadilini hoja acheni upuuzi.mtoa maada anasema huo wimbo unatujengea nini?Au unatoa funzo gani kwa vijana au vizazi vijavyo?wengine wanauliza ndo umeandika nini.kama huna hoja kaa kinywa waache wenye hoja wachangie.
Moja ya kazi ya sanaa ni kuburidisha na kuliwazà, si lazma uelimishe!! Uo wimbo una burudisha tu na kuliwaza!!
 
Mtoa post anabusara sana, hata na wewe upo bongo kwa bahati mbaya
 
jadilini hoja acheni upuuzi.mtoa maada anasema huo wimbo unatujengea nini?Au unatoa funzo gani kwa vijana au vizazi vijavyo?wengine wanauliza ndo umeandika nini.kama huna hoja kaa kinywa waache wenye hoja wachangie.
Hii nchi inalindwa kwa gharama kubwa sana alafu mtu analeta ujinga wa ku - brainwash vijana implicitly kisha watu wanataka tukae kimya?
 
Me naendelea kuangalia comments tu
Mkuu endelea tu kusoma comments za namna vijana wanavyochukia nchi yao. kama wapo Bongo bahati mbaya kwanini wasihame waende huko kwenye bahati nzuri wanapostahili kuwepo?
 
Mimi ni mkimbizi kabisaaa.
Baba na mama walipo kuja kutalii tanzania wakanisahau.
Sasa hapo wewe ni mkimbizi wakati si wewe wala wazazi wako aliyekimbia?
Wewe si mkimbizi, una status nyingine. Tena wewe ndio UPO BONGO KWA BAHATI MBAYA kabisaaa!!
 
Sasa hapo wewe ni mkimbizi wakati si wewe wala wazazi wako aliyekimbia?
Wewe si mkimbizi, una status nyingine. Tena wewe ndio UPO BONGO KWA BAHATI MBAYA kabisaaa!!
Wanipe tu passport nikatafute kwetu.
 
Hao unaowashtakia ndio wanaisaliti nchi
 
Mmh!! ndo wale wale wanatamani wangezaliwa/wangekua mbwa ulaya ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…