Waziri Mwakyembe peleka Mrejesho wetu huu Sisi wana Simba SC kwa wale wenye Chuki Wenzio na Mwekezaji wetu Mo Dewji

Waziri Mwakyembe peleka Mrejesho wetu huu Sisi wana Simba SC kwa wale wenye Chuki Wenzio na Mwekezaji wetu Mo Dewji

Alilokuwa akilitafuta kwa wana Simba SC atalipata Mkuu Wewe tulia tuli tu! Labda amesahau kuwa Simba na Yanga ndiyo Tanzania na Simba na Yanga ndizo zinaamua nani awe Rais nchi hii na Simba na Yanga pia zina Mchango mkubwa sana katika Mikakati yote ya Kimaendeleo ya nchi hii na asisahau kuwa hata hizo Kura sijui Milioni Nane ( kama zilikuwa za Ukweli ) alizozipata Bosi wake Mkuu na leo ndiyo anatuongoza Watanzania yawezekana Kura Milioni Nne zilikuwa za Wanasimba watupu na zilizobaki Kura Milioni Nne zilikuwa za Washamba ( Mambwiga ) Yanga. Acheze na Timu zote lakini akae mbali mno na hizi Timu Kongwe mbili Simba na Yanga. Hivi hajui kwamba kama wana Simba SC wote wakihimizana hakuna Kupiga Kura au Kumuunga Mkono Bosi wake au Kushiriki katika Jambo lolote lile la Kimaendeleo nchi itasimama na hadi kutikisika?
Mkuu kwa taarifa yako hii ndiyo sababu imefanya dola iingilie kati kuibomoa Simba wakirejea ya Moise Katumbi wa TP Mazembe. Ila wameingia kiboya kama Musiba alivyoingia kiboya kumtetea mkulu. Hili litawagharimu sana,yaani wameharibu move yao.
 
Mm ni mwanayanga pure kwa hili mheshimiwa kateleza ni hatari kwa maslahi mapana ya soka letu kwa kua Simba na yanga ni watu wa kuombeana mabaya siku zote najua yanga wanafurahia km ambavyo simba pia wangefurahia hili la kusema mheshimiwa ni yanga tafadhal jamani hebu tuwe siriaz kdg jpm,majaliwa,mwakyembe,makonda,ndugai wote simba wale nani asiejua? kaeni tu kikao chenu cha kifamilia myamalize haya!

Kwa aina ya Roho mbaya yake na Unafiki wake leo hii ukiniambia Waziri Mwakyembe ni mwana Simba SC nakukatalia mapema tu. Huyo ni mwenzenu nyie Mambwiga ( Washamba FC ) Yanga SC. Yaaani ametukukwaza hadi tumeanza kuwaza ni kwanini ile Sumu haikuongezwa Kipimo ili leo hii Simba SC isingepata haya Majaribu kutokana na Maamuzi yake.
 
Mkuu kwa taarifa yako hii ndiyo sababu imefanya dola iingilie kati kuibomoa Simba wakirejea ya Moise Katumbi wa TP Mazembe. Ila wameingia kiboya kama Musiba alivyoingia kiboya kumtetea mkulu. Hili litawagharimu sana,yaani wameharibu move yao.

Na wasilolijua tu ni kwamba kwa hapa Tanzania Simba na Yanga ni zaidi ya TP Mazembe na Moise Katumbi Chapwe wao na kwamba haya Maamuzi ya Serikali hasa hii ya CCM kupitia huyu Waziri yanaweza yakawagharimu Kisiasa na wasije Kuamini Macho na Masikio yao. Chokoza Timu zote nchini Tanzania ila siyo Simba na Yanga. Naishauri Serikali na kupitia huyu huyu Waziri Mnafiki Mwakyembe watengue upesi huu Uamuzi na watuachie wana Simba SC na Uamuzi wetu wa Kumpa Mwekezaji Wetu Mpendwa Mo Dewji amiliki Yeye kama Yeye hizo 49% vinginevyo mbele ya Safari wasije Kutulaumu wana Simba SC kwa Maamuzi yetu ya Kimsimamo ambayo tutaamua Kuyachukua.
 
HAIRUHUSIWI NDUGU KUMILIKI TIMU LABDA WAANZISHE YAO
 
Kwakuwa nia yenu ni Kumkomoa Mo Dewji na mmesema kuwa mnataka Wawekezaji wawe Watatu ili wote wapate Mjumuisho wa Umiliki wa 49% kwa Klabu yetu basi na Sisi wana Simba SC wenye Akili kubwa, pana na nyingi tumeamua yafuatayo….

Mo Dewji atamiliki Hisa za 30%


Gullum Dewji atamiliki Hisa za 10%

Fatma Dewji atamiliki Hisa za 9%

Jumla yake ni 49%

Sasa njoo na lingine tena ili utujue vyema Sisi wana Simba SC.

Tumekuvumilia vya Kutosha na tumekuchoka. Nitahakikisha nakupiga Zengwe hadi Rais JPM akutumbue hapo ulipo kwani umeonyesha una Chuki za wazi wazi na Simba SC yetu japo kwa Unafiki wako mkubwa unajifanya Wewe ni Mwenzetu ( Mwana Simba SC ) wakati kumbe Kiuhalisia Wewe ni Yanga SC kindakindaki.

Na Mimi cleverbright nasema usisumbuke kabisa kuja katika Kilele chetu cha Simba Day tarehe 6 kwani tutakuzomea Uwanja mzima kwani tumeshakugundua kuwa Wewe ndiyo Adui Namba Moja wa Simba kisha unafuatiwa na Mzee Kilomoni na anamalizia Ismail Aden Rage.

Umeshatutibua wana Simba SC wote!

Umewasahau dauda na saleh Jembe
 
Alilokuwa akilitafuta kwa wana Simba SC atalipata Mkuu Wewe tulia tuli tu! Labda amesahau kuwa Simba na Yanga ndiyo Tanzania na Simba na Yanga ndizo zinaamua nani awe Rais nchi hii na Simba na Yanga pia zina Mchango mkubwa sana katika Mikakati yote ya Kimaendeleo ya nchi hii na asisahau kuwa hata hizo Kura sijui Milioni Nane ( kama zilikuwa za Ukweli ) alizozipata Bosi wake Mkuu na leo ndiyo anatuongoza Watanzania yawezekana Kura Milioni Nne zilikuwa za Wanasimba watupu na zilizobaki Kura Milioni Nne zilikuwa za Washamba ( Mambwiga ) Yanga. Acheze na Timu zote lakini akae mbali mno na hizi Timu Kongwe mbili Simba na Yanga. Hivi hajui kwamba kama wana Simba SC wote wakihimizana hakuna Kupiga Kura au Kumuunga Mkono Bosi wake au Kushiriki katika Jambo lolote lile la Kimaendeleo nchi itasimama na hadi kutikisika?
Hili mnalolifanya ndio linasababisha wafanye haya maamuzi. Wanajaribu kuangalia kilichotokea DRC. Je unafikiri kama Katumbi angegombea urais asingeshinda? Wanasiasa ni watu waoga sana.
 
Siku Mh. ukakosea njia ukaja simba day au kwenye tukio lolote la simba utajuta tutakuzomea kinomanoma
 
Tulia utaona ngoma inavyoisha... hii ndio bongo
Hamna ngoma kwisha hapo,mchezo ndio umeishia hapo ama muongeze wadhamini wengine 2,Yanga tunasubiria tubadilishe mfumo tu,maana tuna wadhamini kama 4 hivi ambao wako standby,gsm,sayona,riz1 wa4 simtaji usije ukalia bure
 
Hamna ngoma kwisha hapo,mchezo ndio umeishia hapo ama muongeze wadhamini wengine 2,Yanga tunasubiria tubadilishe mfumo tu,maana tuna wadhamini kama 4 hivi ambao wako standby,gsm,sayona,riz1 wa4 simtaji usije ukalia bure
Yanga wapo ila Simba ndio hawapo?.. Bakuli linakuchanganya mkuu
 
simba sio mali ya seriali, waliangalie litim lao la stars kwanza
MO ni mtoto wa mjini lkn sijui kwanini hataki kuelewa hili suala.

Kwa mtizamo wangu wa ki-layman.

Serikali haitaki Simba/Yanga imilikiwe na mtu mmoja/familia moja maana inaona ni hatari sana iwapo ikitokea mmiliki akaamua ku-influence wanachama kwenye vitu kama vya siasa(sababu simba/yanga zina wapenzi mamilioni hapa nchini),so itakua ni national threat.

So hii hali ya Yanga/Simba kubaki kua timu za wananchi a.k.a za kulia lia shida itabaki hivyo hivyo since system ime-design hali kua hivyo.
 
Hivi hujamsikia aliposema na hiyo hisa ya 49% haiwezi milikiwa na watu toka familia moja,si bure ametumwa huyu shetani
Kwakuwa nia yenu ni Kumkomoa Mo Dewji na mmesema kuwa mnataka Wawekezaji wawe Watatu ili wote wapate Mjumuisho wa Umiliki wa 49% kwa Klabu yetu basi na Sisi wana Simba SC wenye Akili kubwa, pana na nyingi tumeamua yafuatayo….

Mo Dewji atamiliki Hisa za 30%


Gullum Dewji atamiliki Hisa za 10%

Fatma Dewji atamiliki Hisa za 9%

Jumla yake ni 49%

Sasa njoo na lingine tena ili utujue vyema Sisi wana Simba SC.

Tumekuvumilia vya Kutosha na tumekuchoka. Nitahakikisha nakupiga Zengwe hadi Rais JPM akutumbue hapo ulipo kwani umeonyesha una Chuki za wazi wazi na Simba SC yetu japo kwa Unafiki wako mkubwa unajifanya Wewe ni Mwenzetu ( Mwana Simba SC ) wakati kumbe Kiuhalisia Wewe ni Yanga SC kindakindaki.

Na Mimi cleverbright nasema usisumbuke kabisa kuja katika Kilele chetu cha Simba Day tarehe 6 kwani tutakuzomea Uwanja mzima kwani tumeshakugundua kuwa Wewe ndiyo Adui Namba Moja wa Simba kisha unafuatiwa na Mzee Kilomoni na anamalizia Ismail Aden Rage.

Umeshatutibua wana Simba SC wote!
 
Back
Top Bottom