Waziri Mwakyembe peleka Mrejesho wetu huu Sisi wana Simba SC kwa wale wenye Chuki Wenzio na Mwekezaji wetu Mo Dewji

Waziri Mwakyembe peleka Mrejesho wetu huu Sisi wana Simba SC kwa wale wenye Chuki Wenzio na Mwekezaji wetu Mo Dewji

Na sijui kwanini ilimkosakosa na ndiyo maana leo hii anatusumbua hivi wana Simba SC.

Kwa mtazamo wangu usio wa kitaalamu sana,

1. Kama sheria hiyo ikipita, thamani ya simba iwe re-valued mpaka bilioni 120. Mo awe na wastani wa 11,1% ambayo ni bilioni 20 halafu wawekezaji wengine wa bilioni 40 watafutwe. Wanachama wawe na bilioni 61.2.
Kama hali itakubalika, zoezi la kuwatafuta hao wa kununua hizo bil. 40 liwe endelevu kidogo, kwa mfumo ambao utalazimisha kuwa marekebisho ya constitution ya bodi ya wakurugenzi yafanyike endapo muwekezaji anaweka mpaka asilimia kama 75 ya hisa anazonunua Cash, na mnunuzi wa mwisho atatakiwa kulipa asilimia 100 ili aingie kwenye bodi.
Kwanza bila hata mabadiliko ya sheria, thamani ya simba tayari imeshapanda hata sasa.

2. Kwa kuwa kuna maadui wa Simba, wanataka kuivuruga kabla mfumo wa kampuni haujakaa vizuri, nashauri watendaji chini ya mkurugenzi mtendaji, wawe na Mpango Mkakati (Strategic Plan) na Mpango wa Biashara (Business Plan). Simba ni moja ya makampuni ya Mo Dewji kwa sasa. Simba wanatakiwa kuwa na miradi ya kuingiza pesa kiujumla, pamoja na mambo ambayo Mo ameyaleta ambayo yana uwezo wa kuingiza pesa Simba.

3. Umuhimu wa Mo ni kuwa ameleta mtaji, maarifa na uzoefu wa kibiashara; wana Simba wameleta Jina; soko na pia maarifa. Ni vizuri kuwa sifa za pande mbili hizi zitumike kwa ajili ya masilahi mapana ya baadaye. Hatuna mashaka kuhusu uwezo wa kibiashara wa Mo Dewji na pia uwezo wa kimaarifa wa wanasimba kwa umoja wao.

4. Ni muhimu basi, bodi ipiganie shughuli za wazi za kuongeza kipato Simba: Estates( majengo yake) estate mpya ya bunju (mapato ya viwanja na hosteli) naamini timu ngeni zinaweza kuwa zinaweka kambi pale, mauzo ya wachezaji, na mapato mengine yatokanayo na performance: mapato yatokanayo na mataji n.k.

5. Wanaoisumbua Simba ni kwa kuwa wanaidharau kuwa inamtegemea mtu mmoja tu na akijitoa wamekwisha. Hakuna dawa zaidi ya kuongeza ukwasi kwa kutumia mfumo uliuopo, Mo Dewji akiwepo au (Mungu apishe mbali) asipokuwepo.
 
Teh!mikia mnalo hilo,kwanza sheria inasema hao wadhamini wasitoke familia 1,mliongea hadi mkamaliza maneno yote,ngoja tuone sasa hii ngoma mnaichezaje
Kwani gulamhusein ni familia ya mo dewji!?
Au hujui maana ya familia?
 
Kwa mtazamo wangu usio wa kitaalamu sana,

1. Kama sheria hiyo ikipita, thamani ya simba iwe re-valued mpaka bilioni 120. Mo awe na wastani wa 11,1% ambayo ni bilioni 20 halafu wawekezaji wengine wa bilioni 40 watafutwe. Wanachama wawe na bilioni 61.2.
Kama hali itakubalika, zoezi la kuwatafuta hao wa kununua hizo bil. 40 liwe endelevu kidogo, kwa mfumo ambao utalazimisha kuwa marekebisho ya constitution ya bodi ya wakurugenzi yafanyike endapo muwekezaji anaweka mpaka asilimia kama 75 ya hisa anazonunua Cash, na mnunuzi wa mwisho atatakiwa kulipa asilimia 100 ili aingie kwenye bodi.
Kwanza bila hata mabadiliko ya sheria, thamani ya simba tayari imeshapanda hata sasa.

2. Kwa kuwa kuna maadui wa Simba, wanataka kuivuruga kabla mfumo wa kampuni haujakaa vizuri, nashauri watendaji chini ya mkurugenzi mtendaji, wawe na Mpango Mkakati (Strategic Plan) na Mpango wa Biashara (Business Plan). Simba ni moja ya makampuni ya Mo Dewji kwa sasa. Simba wanatakiwa kuwa na miradi ya kuingiza pesa kiujumla, pamoja na mambo ambayo Mo ameyaleta ambayo yana uwezo wa kuingiza pesa Simba.

3. Umuhimu wa Mo ni kuwa ameleta mtaji, maarifa na uzoefu wa kibiashara; wana Simba wameleta Jina; soko na pia maarifa. Ni vizuri kuwa sifa za pande mbili hizi zitumike kwa ajili ya masilahi mapana ya baadaye. Hatuna mashaka kuhusu uwezo wa kibiashara wa Mo Dewji na pia uwezo wa kimaarifa wa wanasimba kwa umoja wao.

4. Ni muhimu basi, bodi ipiganie shughuli za wazi za kuongeza kipato Simba: Estates( majengo yake) estate mpya ya bunju (mapato ya viwanja na hosteli) naamini timu ngeni zinaweza kuwa zinaweka kambi pale, mauzo ya wachezaji, na mapato mengine yatokanayo na performance: mapato yatokanayo na mataji n.k.

5. Wanaoisumbua Simba ni kwa kuwa wanaidharau kuwa inamtegemea mtu mmoja tu na akijitoa wamekwisha. Hakuna dawa zaidi ya kuongeza ukwasi kwa kutumia mfumo uliuopo, Mo Dewji akiwepo au (Mungu apishe mbali) asipokuwepo.
Wewe ni kirusi
 
Alilokuwa akilitafuta kwa wana Simba SC atalipata Mkuu Wewe tulia tuli tu! Labda amesahau kuwa Simba na Yanga ndiyo Tanzania na Simba na Yanga ndizo zinaamua nani awe Rais nchi hii na Simba na Yanga pia zina Mchango mkubwa sana katika Mikakati yote ya Kimaendeleo ya nchi hii na asisahau kuwa hata hizo Kura sijui Milioni Nane ( kama zilikuwa za Ukweli ) alizozipata Bosi wake Mkuu na leo ndiyo anatuongoza Watanzania yawezekana Kura Milioni Nne zilikuwa za Wanasimba watupu na zilizobaki Kura Milioni Nne zilikuwa za Washamba ( Mambwiga ) Yanga. Acheze na Timu zote lakini akae mbali mno na hizi Timu Kongwe mbili Simba na Yanga. Hivi hajui kwamba kama wana Simba SC wote wakihimizana hakuna Kupiga Kura au Kumuunga Mkono Bosi wake au Kushiriki katika Jambo lolote lile la Kimaendeleo nchi itasimama na hadi kutikisika?
Yanga walisema hivyo hivyo,Manji hayupo na njaa ipo na wametulia
 
Tena kwa minong'ono ya Watu huku mingine ikiwa ni mibaya sana hata kwa Usalama wake mzima na wa Familia yake namshauri asithubutu kabisa Kujitokeza hiyo Simba Day tarehe 6 kwani kwa jinsi Watu walivyojawa na Hasira nae Kali kuna uwezekano lile Tukio lililomtokea Rais Kennedy wa Marekani pale Uwanja wa Ndege likamtokea na Yeye. Halafu anajifanya ni mwana Simba SC Mwenzetu wakati kumbe ni Mnafiki mtupu na ni mwana Yanga SC mzuri tu.
" Uwanjani nitakuja na Hanna cha kunifanya. Na huo mgawanyo was hisa mlioupendekeza haukubaliki maana itakuwa ni kama kumpa timu Mo kwa lango LA nyuma. Haitakuwa na tofauti na kinachoendelea sasa ambacho in kinyume kabisa na sheria na kanuni za nchi hii, kama mnapasuka pasukeni ila hilo mnalotaka kamwe halitatokea. Niwe Mimi au waziri mwingine hill halitakaa litokeee " Halisikika shabiki mmoja team mzee Kilomoni hakijigamba.
 
Wee thubutu yako. Usikidanganye mkuu. Kuna wapenzi wa Simba wengi tu ambao wako tofauti na wewe.
Alilokuwa akilitafuta kwa wana Simba SC atalipata Mkuu Wewe tulia tuli tu! Labda amesahau kuwa Simba na Yanga ndiyo Tanzania na Simba na Yanga ndizo zinaamua nani awe Rais nchi hii na Simba na Yanga pia zina Mchango mkubwa sana katika Mikakati yote ya Kimaendeleo ya nchi hii na asisahau kuwa hata hizo Kura sijui Milioni Nane ( kama zilikuwa za Ukweli ) alizozipata Bosi wake Mkuu na leo ndiyo anatuongoza Watanzania yawezekana Kura Milioni Nne zilikuwa za Wanasimba watupu na zilizobaki Kura Milioni Nne zilikuwa za Washamba ( Mambwiga ) Yanga. Acheze na Timu zote lakini akae mbali mno na hizi Timu Kongwe mbili Simba na Yanga. Hivi hajui kwamba kama wana Simba SC wote wakihimizana hakuna Kupiga Kura au Kumuunga Mkono Bosi wake au Kushiriki katika Jambo lolote lile la Kimaendeleo nchi itasimama na hadi kutikisika?
 
Maamuzi ya club yanafanywa na wenye klabu bila kukiuka sheria yoyote ya nchi.ikumbukwe kwamba simba ilikua na mchakato wa kubadili mfumo,na huu mchakato ulihusisha taasisi mbalimbali ikiwa ni za serikali na za kiraia..ikimbukwe pia kwenye huu mchakato kulikua na ubadilishaji wa vifungu vya katiba ya simba ili kuendana na mfo mpya wa hisa,serikali ilishirikishwa na ndo maana hata waziri mwenyewe alitoa maoni yake na yalifuatwa,mwanzoni ilikia 51 kwa 49 ambapo 49 zilikua za wanachama ila kwa ushauri wa waziri(serikali)walitaka iwe kinyume chake na hilo lilifatwa..katiba ya simba imesajiliwa kisheria nadhani ili kuyabadili hyo na kufata anayoyataka waziri basi kutahitajika kuitsha mkutano mkuu na wanachama kuridhia,kitu amabacho kitakuwa kigumu wenye timu hawatakubali na mpango wa waziri utakua umekwama.

Ifike mahali tubadilike simba kwa miaka yote hiyo hawakua na uwanja hata wa mazoezi mwaka mmoja tu wa mo maendeleo ya uwanja tayari angalau yanaonekana.tuache siasa kweye mpira ili tusonge mbele.
Cha ajabu siku ile mo anapitishwa alikuepo na kilomoni pia alikuepo mbona awakupinga wanaibuka Leo aisee so sad so sad mkuu so saddddd
 
Back
Top Bottom