Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Je, ni sahihi kwa waziri kutukana hovyo hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi mtuhumiwa asipoufuta basi nabii Malisa kafanya yake leo hadi dogo akawa mlokole 😂View attachment 2752638
Je ni sahihi kwa waziri kutukana hovyo hivi
Hamna ingepungua kaka na ndo huyo huyo anafanya leo tunauziwa bando gb 1 kwa elfu mbili miamojaMmmm lakini starlink sio rafiki kwa 99% watanzania walio wengi..$ 250 mwezi wengi hatuweziii
Huu uzi mtuhumiwa asipoufuta basi nabii Malisa kafanya yake leo hadi dogo akawa mlokole 😂
Ni yeye mwenyewAu kuna mtu kahack account ya mheshimiwa?
Twende burundiWaafrika wakimbilia Italy 😂😂🔥
Hawawezi kukubali starlink ije iwekeze tanzania ilhali wana hisa vodacom na tigo mixer airtel ...hapo conflict of interest inapochukua nafasiView attachment 2752638
Je ni sahihi kwa waziri kutukana hovyo hivi
Mbn unatusemeaMmmm lakini starlink sio rafiki kwa 99% watanzania walio wengi..$ 250 mwezi wengi hatuweziii
Ndo maana tuko nyuma sana kwenye data tunashindwa hadi na zambiaHawawezi kukubali starlink ije iwekeze tanzania ilhali wana hisa vodacom na tigo mixer airtel ...hapo conflict of interest inapochukua nafasi
Kuna ukweli huwa hatutaki kusema .....starlink sio kwa watanzania walio wengi nevsr ....tupambane bundle zetu hizi hizi kule hatuweziii hataaa....nakwambia mm mdau huko piaaaMbn unatusemea
Ina maana wanashirikiana na mama yao kutu umiza si ndio ngoja kipindi cha kupiga kura tutafanya maamuziNape, Makamba na Mwigulu ni majembe ya SSH hawezi kuyatoa kwenye baraza lake.
Amini tunateseka sana sisiHawa ndiyo wanafanya vijana washindwe kuaminiwa. Wengine ni akiri za kitoto
Kaka kuna wengine hiyo pesa sio kubwa kwetu mimi nikifunga mtaani kwangu naweza kutumia na watu wa mtaani kwangu hata hapa napoishi natumia supakasi ila kuna watu zaidi ya 50 nimewapa freeKuna ukweli huwa hatutaki kusema .....starlink sio kwa watanzania walio wengi nevsr ....tupambane bundle zetu hizi hizi kule hatuweziii hataaa....nakwambia mm mdau huko piaaa
Mmmm lakini starlink sio rafiki kwa 99% watanzania walio wengi..$ 250 mwezi wengi hatuweziii