Huyu ni waziri wa hovyo sanapeni muda amalizie mimba yake ya kiburi
Waziri mwenye koburi kulikoHivi huyu ni waziri wa nini kwenye Serikali ya Samia Suluhu Hassan? 😳 😳 😳 😳
Waziri wetu huyu mshamba sanaMakubwa 🤭🙄
Una roho ya umaskini mbaya, sio lazima tuweze kila kitu, kama matajiri wakiweza, ujue tayari ushindani umeingia na sisi wa buku buku mb zitashushwa beiMmmm lakini starlink sio rafiki kwa 99% watanzania walio wengi..$ 250 mwezi wengi hatuweziii
Afu jamaa kaungaunga ualimu pale butimba ttcWaziri mwenye koburi kuliko
Sasa si muache soko liamue! Mnahofu nini?Kuna ukweli huwa hatutaki kusema .....starlink sio kwa watanzania walio wengi nevsr ....tupambane bundle zetu hizi hizi kule hatuweziii hataaa....nakwambia mm mdau huko piaaa
Kabisa ni hovyoWaziri mwenye koburi kuliko
Kabisa ni hovyoWaziri mwenye koburi kuliko
Hawa hawataki uhuru wa habari hawaSasa si muwaruhusu muache soko liamue! Mnahofu nini?
Anazingua huyu anazani hiyo ni bei kubwa saaanaUna roho ya umaskini mbaya, sio lazima tuweze kila kitu, kama matajiri wakiweza, ujue tayari ushindani umeingia na sisi wa buku buku mb zitashushwa bei
Afu jamaa kaungaunga ualimu pale butimba ttc
Hivi angekuwa na gamba kama tibaijuka sijui ingekuwaje
Mimi niliona hiiJe ni sahihi kwa waziri kutukana hovyo hivi
Mama kawaruhusu wale urefu wa kamba zao. Majibu ya chooniView attachment 2752649
Huyu waziri wa hovyo sana anafananisha bei ya bando na mafuta ningekuwa nae karibu ninge mpiga mawe
Na ile ya kufananisha mafuta na bando ni sahihi mkuuMimi niliona hii
====
View: https://twitter.com/Nnauye_Nape/status/1278544873289912320?t=LVpDoEtbMZrpT2FMFpvzVw&s=19
===
Nadhani mme-mprovock...! Hata hivyo, nikikumbuka vikatuni vya kiroboto...!!! Nasema tugange yajao maana hii ilikuwa ya Zamani sana ...ili Kazi Iendelee.
Hawana akili viongozi wa hovyoMama kawaruhusu wale urefu wa kamba zao. Majibu ya chooni
Ni mtoto pendwa wa msogaAfu jamaa kaungaunga ualimu pale butimba ttc
Hivi angekuwa na gamba kama tibaijuka sijui ingekuwaje
Ndo maana nchi imewashinda hawa ni viongozi wa hovyoNeno USENGE kwa CCM sio tusi.
Kwao matusi Ni
Bandari DP W
Ngorongoro wamaasai
Katiba mpya,
Ukitaja hayo matatu hapo juu umetukana.
Mtaje mkuuHuyu jamaa unga anaouuza itakuwa kaanza kuuvuta, yule mwenzio kipindi kile skuli Morogoro tulikuwa tunagonga nae ganja ila pamoja na uhuni wake ana kaustaarabu kwa mbali sema tu ni mwizi! Ila huyu ustaarabu ni zero kabisa
Ndo maana ni mwehuNi mtoto pendwa wa msoga