Waziri Mwigulu kuapishwa Chato: Magufuli amezingatia Ibara ya 56 ya Katiba ya Tanzania

Waziri Mwigulu kuapishwa Chato: Magufuli amezingatia Ibara ya 56 ya Katiba ya Tanzania

Mtu kakimbia kujificha halafu mnakuja na porojo hapa!Kocha kakimbia jukumu na badala yake kageuka kuwa mchambuzi!
 
Kuna mtu alisema hii katiba siku atakuja mwendawazimu na kuitumia awezavyo ni hatari sana! Mara paaaaap Liquid piere kawa rais, yupo zake kaunta anaweka bendera ya rais anamuapisha steve nyerere kuwa waziri wa nchi[emoji3] hii kula kiapo mbele ya rais haijakaa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wimbo huu kwakweli nikiusikiliza nauogopa ni wimbo ambao umejaribu kugusa uhalisia wa maisha tuliyomo sisi Watanzania na watu wengine dunian. Hakika Pascal Cassian aliimba na ni kweli sauti ya Mungu inatuita na kutubembeleza turudi kwake.
 
Ujinga ni kipaji; Majengo marefu pale karibu na kwa Mkemia mkuu yalitaifishwa kwa floor kadhaa kuwekwa chini ya usalama wa nchi kisa ni marefu sana na yapo karibu na Ikulu yetu.

Leo hii Rais wa nchi ameamishia Ikulu kwenye makazi yake na yenye majengo marefu ya hoteli zaidi na hicho hakionwi bado wajinga wanasapoti tu.
 
Kuna rekodi za kisiasa ambazo siyo rahisi kuja kuvunjwa kwahiyo zinakuwa kama urithi kwa wahusika.

Waziri wa Katiba na Sheria Dr Mwigullu Nchemba kwa mara ya kwanza aliapishiwa wilayani Chato.

Naibu waziri wa afya Dr Mollel kwa mara ya kwanza aliapishiwa wilayani Chato.

Hizi ni rekodi njema na za kipekee kwa mawaziri hawa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Unaacha kuwaza mambo ya msingi, unawaza ujinga ujinga tu, huu ni wakati 'sensitive" sana katika utawala wa nchi hii, wewe unawaz rekodi za kijinga. Jadili issue sensitive, je tunaweza kufanya uchaguzi? Tunapesa za kutosha? Mgombe wenu atakuwa nani?
 
Unaacha kuwaza mambo ya msingi, unawqza ujinga ujinga tu, huu ni wakati 'sensitive" sana katika utawala wa nchi hii, wewe unawaz rekodi za kijinga. Jadili issue sensitive, je tunaweza kufanya uchaguzi? Tunapesa za kutosha? Mgombe wenu atakuwa nani?
Uchaguzi ni 2025 katiba iko wazi katika hilo!
 
Kuna rekodi za kisiasa ambazo siyo rahisi kuja kuvunjwa kwahiyo zinakuwa kama urithi kwa wahusika.

Waziri wa Katiba na Sheria Dr Mwigullu Nchemba kwa mara ya kwanza aliapishiwa wilayani Chato.

Naibu waziri wa afya Dr Mollel kwa mara ya kwanza aliapishiwa wilayani Chato.

Hizi ni rekodi njema na za kipekee kwa mawaziri hawa.

Maendeleo hayana vyama!
Unasifia vitu ambavyo havina hata sifa ya kusifiwa.Au kuondoka kwa Jiwe kumewafanya mataga mchanganyikiwe?
 
Back
Top Bottom