Waziri Mwigulu kuapishwa Chato: Magufuli amezingatia Ibara ya 56 ya Katiba ya Tanzania

Waziri Mwigulu kuapishwa Chato: Magufuli amezingatia Ibara ya 56 ya Katiba ya Tanzania

Kuna rekodi za kisiasa ambazo siyo rahisi kuja kuvunjwa kwahiyo zinakuwa kama urithi kwa wahusika.

Waziri wa Katiba na Sheria Dr Mwigullu Nchemba kwa mara ya kwanza aliapishiwa wilayani Chato.

Naibu waziri wa afya Dr Mollel kwa mara ya kwanza aliapishiwa wilayani Chato.

Hizi ni rekodi njema na za kipekee kwa mawaziri hawa.

Maendeleo hayana vyama!
Tunaomba utawala wa sheria urudi, mifumo ifanye kazi. Wabunge waapishwe bungeni na siyo vichochoroni
 
Unaacha kuwaza mambo ya msingi, unawaza ujinga ujinga tu, huu ni wakati 'sensitive" sana katika utawala wa nchi hii, wewe unawaz rekodi za kijinga. Jadili issue sensitive, je tunaweza kufanya uchaguzi? Tunapesa za kutosha? Mgombe wenu atakuwa nani?
Soma Katiba ya Tanzania
Sura 37(5)
Hakuna uchaguz
 
Unaacha kuwaza mambo ya msingi, unawaza ujinga ujinga tu, huu ni wakati 'sensitive" sana katika utawala wa nchi hii, wewe unawaz rekodi za kijinga. Jadili issue sensitive, je tunaweza kufanya uchaguzi? Tunapesa za kutosha? Mgombe wenu atakuwa nani?
Uchaguzi wa nini? Samia yupo. Soma katiba. Nyie CCM akili hamna na hamjui hata katiba ya nchi mnayoiongoza kwa mabavu.
 
Uchaguzi ni 2025 katiba iko wazi katika hilo!
Samahani naomba kujua kuna ibara ya katiba nimeisahau ambayo inasema endapo Rais atafariki akiwa madarakani na hajatimiza zaidi ya nusu ya muhula wake kwa maana zaidi ya miaka miwili na nusu basi Makamu wa Rais ataapishwa kama Rais na atapaswa kuitisha uchaguzi mkuu mpya ndani ya kipindi cha miezi 6 kama sikosei.

Ila kama Rais angefariki dunia akiwa amehudumu zaidi ya nusu ya muhula wake basi hapo Makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais kumalizia kipindi kilichosalia kabla ya uchaguzi mkuu.
 
Kuna rekodi za kisiasa ambazo siyo rahisi kuja kuvunjwa kwahiyo zinakuwa kama urithi kwa wahusika.

Waziri wa Katiba na Sheria Dr Mwigullu Nchemba kwa mara ya kwanza aliapishiwa wilayani Chato.

Naibu waziri wa afya Dr Mollel kwa mara ya kwanza aliapishiwa wilayani Chato.

Hizi ni rekodi njema na za kipekee kwa mawaziri hawa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom