- Thread starter
- #21
Swali hili ni gumu sana, ikiwa huamini watag kama watatokea.Huu uzi mbona wale jamaa fulani hawausogelei au ngumu kumeza
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali hili ni gumu sana, ikiwa huamini watag kama watatokea.Huu uzi mbona wale jamaa fulani hawausogelei au ngumu kumeza
Ova
Kwani wewe mrangi hujawahi kuombwa advance na mwenye nyumba ulipopanga?Huu uzi mbona wale jamaa fulani hawausogelei au ngumu kumeza
Ova
Watwambie ni Wamekodisha bandari au wamekwisha ipiga Bei na kupokea malipo gizani sisi hatujui?Watupe advance payment ya trilioni 6 ili madelu asiende kukopa kufidia bajeti, tangu lini mahari ikatolewa bila kishika uchumba na mlituambia wenyewe mwarabu ana mpunga.
Wakati sisi toka magufuli aingie umetumia 4 trillion kuboresha bandari.. Ujue Waafrika tuna ujinga mkubwa sana... Yani ujenge nyumba milioni 100 uuze kwa milioni 10$250Million
Isijekuwa mambo ya KADCO kama mdau alivyosema hapo juu, nchi ngumu hii......vijana hadi sasa wanasotea mikopo ya chuo kikuu ili hali mwarabu anaweza kutupa trilioni 6 za kishika uchumba tukasomesha vijana wote vyuoni.Watwambie ni Wamekodisha bandari au wamekwisha ipiga Bei na kupokea malipo gizani sisi hatujui?
atakwambia tupunguze mishahara ya Mawaziri na Wabunge ku Finance nakisi ya 6 TrillionAsante kwa kuhoji sasa tuletee pendekezo namna gani kama ungekuwa waziri ungeweza kutupatia trillion 6 Mkuu.
Imegaiwa Bure, ingekuwa tumewakodishia, tungewaambia watupatie Tri 6 , Kisha tutakatana kidogo kidogo wakati makusanyo endelevu yakiendelea.Wakati sisi toka magufuli aingie umetumia 4 trillion kuboresha bandari.. Ujue Waafrika tuna ujinga mkubwa sana... Yani ujenge nyumba milioni 100 uuze kwa milioni 10
Karibu pohamba!!atakwambia tupunguze mishahara ya Mawaziri na Wabunge ku Finance nakisi ya 6 Trillion
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Eti, ni kosa mwenye nyumba kuvuta advance Kwa mpangaji?Serikali ya kitapeli haswa
Mwigulu alishalamba ya kwake akanunua mabasi ya EsterEti, ni kosa mwenye nyumba kuvuta advance Kwa mpangaji?
Kwann Mwigulu hafanyi hivyo?
Nchi ina wenyeweIsijekuwa mambo ya KADCO kama mdau alivyosema hapo juu, nchi ngumu hii......vijana hadi sasa wanasotea mikopo ya chuo kikuu ili hali mwarabu anaweza kutupa trilioni 6 za kishika uchumba tukasomesha vijana wote vyuoni.
bajeti ya Cabinet nzima kwa mwaka mzima haifiki 10 billion, sasa 10 billion out of 6 Trillion ni kitu gani ?Eti, ni kosa mwenye nyumba kuvuta advance Kwa mpangaji?
Kwann Mwigulu hafanyi hivyo kufidia upungufu wa kibudget, Tupewe Trilion 6 pekee?
Mi nakataa,Nchi ina wenyewe
Jaribu uone, wezi wa mali za umma wote wanalindwa na systemMi nakataa,
Wenyenchi ni wananchi,
Tukafukuze haka kakundi kadogo kalikoteka secta zote muhimu kutuhujumu!!
Usijitoe ufahamu Pohamba,bajeti ya Cabinet nzima kwa mwaka mzima haifiki 10 billion, sasa 10 billion out of 6 Trillion ni kitu gani ?
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app