Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dp world wameanza ku return faida ?Salaam, Shalom!!
Wakati tukiendelea na maigizo ya kijana wa chama Fulani, Wananchi makini, wazalendo tusiokubali KUCHUKULIWA na upepo wa maigizo tumeendelea kuangalia Kwa makini ISSUES nyeti katika Nchi yetu.
Tulipokuwa tukichangia thread iliyosema :
"Bandari, ardhi na maliasili zetu ni Mali ya URITHI, hazitauzwa, kukodishwa Wala kubinafsishwa Kwa wageni Kataa wahuni"- Rabbon,
Member mmoja makini wa JF aitwaye Nyumisi, aliibua HOJA kuhusu budget ijayo,
Alihoji kuwa, Serikali imepanga kukopa Trilion 6 kufadhili budget ijayo wakati tayari DP World wapo bandarini? Tuliambiwa kuwa ujio wa DP World utaondoa utegemezi wa kibudget wa Serikali sababu wataongeza mapato Kwa ukusanyaji wao wa mapato Bora,kuwa watawekeza pesa nyingi.
Waziri Mbarawa, na watetezi wa Kampuni hiyo ya DP World,mlidai Kampuni hiyo ikipewa mkataba, nchi itapata pesa nyingi, tuambieni wamewekeza Bei Gani Hadi sasa na kwanini tukope kufadhili budget?
"Mwenye nyumba akishasaini mkataba na mpangaji, anao uwezo wa kuomba advance na akapewa", kwanini Serikali ikope Trilion 6 ilhali DP world wapo?
Nini Hasa mchango wa Kampuni hiyo ya kigeni katika mapato ya Serikali ikiwa tutaendelea kukopa na tusijue tunapata nini kutokana na uwepo wao bandarini?
Kwanini DP World wasifadhili budget yetu?
Ndo hapo tutajua ikiwa, tumewakodishia bandari au ndo IMEUZWA mazima, Wachache wametia ndani Chao!!😳😳
Karibuni🙏
First of all ni bora ungemfuata mwenyewe kuliko kudhani atakujibu hapaTuambie Mwigulu, DP world wanalipa Serikali mapato kiasi Gani?
Ningedai advance Kutoka DP World, tutakatana kwenye hesabu.Asante kwa kuhoji sasa tuletee pendekezo namna gani kama ungekuwa waziri ungeweza kutupatia trillion 6 Mkuu.
Mapato yanaingia daily, hawajawekeza chochote, Serikali ilikopa kufadhili upanuzi wa bandari, sasa muda wa nini?Dp world wameanza ku return faida ?
We bumunda kwanza ushamjibu hoja ake au umekimbilia kuanika ujinga wako??Asante kwa kuhoji sasa tuletee pendekezo namna gani kama ungekuwa waziri ungeweza kutupatia trillion 6 Mkuu.
Mwananchi ni boss wa viongozi wa Serikali, Mwigulu akiwemo,First of all ni bora ungemfuata mwenyewe kuliko kudhani atakujibu hapa
Na hapo serikali ilishachukua mkopo world bank kwa ajili ya bandari kisha hapo hapo waka muuzia Dp World???Kati ya trilioni 26,serikali siichukue hata 10 kwanza?
Jamani hivi serikali inatuchukuliaje sisi?
Huu ni uhujumu Uchumi wa wazi wazi.Na hapo serikali ilishachukua mkopo world bank kwa ajili ya bandari kisha hapo hapo waka muuzia Dp World???
Jukumu lake sio kutoa majibu jf. Kuna utaratibuMwananchi ni boss wa viongozi wa Serikali, Mwigulu akiwemo,
Ni JUKUMU lake na wizara yake kujibu.
Tatizo raia hatuna habariHuu ni uhujumu Uchumi wa wazi wazi.
Utaratibu ni upi huo, hebu nielimishe🤔Jukumu lake sio kutoa majibu jf. Kuna utaratibu
Ilidhaniwa na wenye akili timamu kwamba!Salaam, Shalom!!
Wakati tukiendelea na maigizo ya kijana wa chama Fulani, Wananchi makini, wazalendo tusiokubali KUCHUKULIWA na upepo wa maigizo tumeendelea kuangalia Kwa makini ISSUES nyeti katika Nchi yetu.
Tulipokuwa tukichangia thread iliyosema :
"Bandari, ardhi na maliasili zetu ni Mali ya URITHI, hazitauzwa, kukodishwa Wala kubinafsishwa Kwa wageni Kataa wahuni"- Rabbon,
Member mmoja makini wa JF aitwaye Nyumisi, aliibua HOJA kuhusu budget ijayo,
Alihoji kuwa, Serikali imepanga kukopa Trilion 6 kufadhili budget ijayo wakati tayari DP World wapo bandarini? Tuliambiwa kuwa ujio wa DP World utaondoa utegemezi wa kibudget wa Serikali sababu wataongeza mapato Kwa ukusanyaji wao wa mapato Bora,kuwa watawekeza pesa nyingi.
Waziri Mbarawa, na watetezi wa Kampuni hiyo ya DP World,mlidai Kampuni hiyo ikipewa mkataba, nchi itapata pesa nyingi, tuambieni wamewekeza Bei Gani Hadi sasa na kwanini tukope kufadhili budget?
"Mwenye nyumba akishasaini mkataba na mpangaji, anao uwezo wa kuomba advance na akapewa", kwanini Serikali ikope Trilion 6 ilhali DP world wapo?
Nini Hasa mchango wa Kampuni hiyo ya kigeni katika mapato ya Serikali ikiwa tutaendelea kukopa na tusijue tunapata nini kutokana na uwepo wao bandarini?
Kwanini DP World wasifadhili budget yetu?
Ndo hapo tutajua ikiwa, tumewakodishia bandari au ndo IMEUZWA mazima, Wachache wametia ndani Chao!!😳😳
Karibuni🙏
Habari tunazo, na tulipiga sana kelele, yule mama akaweka pamba masikioni,Tatizo raia hatuna habari
Sa hao twende na mama, mama anamaono, rais aheshimiwe ndo wengi kuliko tuliopingaHabari tunazo, na tulipiga sana kelele, yule mama akaweka pamba masikioni,
Halafu Kuna watu wanasema " Twende na Mama" sasa sijui twende naye wapi!!
Si Kweli,Sa hao twende na mama, mama anamaono, rais aheshimiwe ndo wengi kuliko tuliopinga
Labda twende nae kilioni!😭😭😭😭😭😭Habari tunazo, na tulipiga sana kelele, yule mama akaweka pamba masikioni,
Halafu Kuna watu wanasema " Twende na Mama" sasa sijui twende naye wapi!!
Binafsi najitahidi saana kuamsha jamii lakini nnayokutana nayo nabaki kutubu maana nahisi kukufuru watanzania wengi hawajielewi na ni wabinafsiSi Kweli,
Hao wachumia tumbo ni Wachache sana, wanapata backup ya Dola,
Bila Dola, ni kundi dogo sana, ukilinganisha na umma wa Watanzania.
Ni muda wetu kuamka na kudai HAKI zetu 2024&2025.
Kama ni Irani washazika😀Labda twende nae kilioni!😭😭😭😭😭😭
Unajua maana ya break even point?Serikali ichukue advance ya Trilion 6 Kutoka DP World, ikiwa Kweli Wana pesa.