Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”

"Mimi naunga mkono dira ya Rais ya kutaka maji yapatikane kila kijiji, sasa tunafanyaje? tukasema tuchangishane, hivi unaona tunaweza kupoteza maisha ya Mtoto sababu ya maji, kisa unalia unakatwa Tsh.5?, mbona milio ya simu tunaweka na unakatwa Tsh. 100?"

"Kuna Shule zinakusanya watoto mpaka 1500 au 1000 na Shule haina maji wanaambiwa waende Shule na kidumu cha maji, sasa tunafanyaje ili maji yapatikane? ndio maana kuna uwepo wa kukatwa Tsh. tano kila unapotuma hela kwa ajili ya huu mfuko wa mshikamano"

"Watu wanalalamika kuhusu hela za miamala, hii ni solidarity fund, tuna mambo ambayo tunakubaliana hayapaswi kuendelea mfano ubovu wa Barabara vijijini, kama Taifa tuongeze Tsh.100 katika mafuta ili kila fedha itakayoongezeka iende kuleta maendeleo"

"Kwenye chungu, ni lazima bajeti, fedha zitatoka wapi ni lazima tutoe kodi, mwaka huu tumeleta kodi ya miamala, ni vizuri sana mjue hili la kwenye miamala sio tu kodi, hili tunatunisha mfuko, ni solidarity fund, huu ni mfuko wa mshikamano wa Watanzania"

"Akaunti zilifungwa kipindi kile kwasababu ya masuala ya kikodi na Wafanyabiashara wanarudishiwa fedha zao kwasababu akaunti imelipa kodi au hesabu zake zilipigwa vibaya kwahiyo kuna fedha ambayo haikuwa kodi inarudishwa"

"Kenya, Uganda, Malawi, Rwanda, Msumbiji mafuta yako bei juu kuliko sisi, ulishaona hizo Nchi waje kununua mafuta Tanzania?, nitoe rai Watanzania wawe Wazalendo kwasababu kwenye Nchi zote zinazotuzunguka Tanzania ndio Nchi inayouza mafuta bei ya chini"

Chanzo: CLOUDS 360
CCM haina ridhaa ya wananchi, mwenyekwenda aliiba kura kihuni,akapitisha watu wasiokuwa wema ,wahuni,wapumbavu waliofuata maslahi yao binafsi ya kimwili na kimoyo.huwezi kuangoze Kodi kubwa kiasi hicho kwenye laina mafukara.
 
Tuchangisheni tu lakini hakikisheni mahesabu yake yanakaa vizuri maana kwakweli hatutaelewana.
 
Mwanzo nilidhani mama anachomekewa tu ili kumgombanisha na wananchi lakini naona huu mpango ulitoka kwa mama mwenyewe kwa kutumia kinywa cha zungu.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Tuchangisheni tu lakini hakikisheni mahesabu yake yanakaa vizuri maana kwakweli hatutaelewana.
Mwananchi unajua vema kuwa hizo hela watazitafuna. Wala usisubirie kuziona zaidi ya kuwaona hao akina mwigulu mbele ya camera wakiwa wanatoa data za uongo kubariki kilichofanyika.
Hakuna uwajibikaji ndio maana wanajifanyia wananvyotaka.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mwanzo nilidhani mama anachomekewa tu ili kumgombanisha na wananchi lakini naona huu mpango ulitoka kwa mama mwenyewe kwa kutumia kinywa cha zungu.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Zungu alipendekeza Bungeni na likabarikiwa,

Hakuna kuchomekewa.

Na kwanini wamchomekee while she is an experienced politician and administrator??
 
Na tusitegemee kama tutasogea kwa akili kama za huyo waziri
 
Solidarity fund nyenyenye! Kwanini isingeanzia kwenye matumizi ya kifahari ya wanasiasa!!??
Naamini Mshikamano ni hiyari!
Na ni hiyari vile vile kufanya miamala kwa njia ya simu!

#SikoTayariKuibiwa
 
Narudia not in my country. Not in any country. Huu ni ulaji wa mtu. Wewe unaumia unapata tabu kumtumia mama ako kijijini ila kuna kijamaa ndo kinapakua pesa zako.
 
"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”

"Mimi naunga mkono dira ya Rais ya kutaka maji yapatikane kila kijiji, sasa tunafanyaje? tukasema tuchangishane, hivi unaona tunaweza kupoteza maisha ya Mtoto sababu ya maji, kisa unalia unakatwa Tsh.5?, mbona milio ya simu tunaweka na unakatwa Tsh. 100?"

"Kuna Shule zinakusanya watoto mpaka 1500 au 1000 na Shule haina maji wanaambiwa waende Shule na kidumu cha maji, sasa tunafanyaje ili maji yapatikane? ndio maana kuna uwepo wa kukatwa Tsh. tano kila unapotuma hela kwa ajili ya huu mfuko wa mshikamano"

"Watu wanalalamika kuhusu hela za miamala, hii ni solidarity fund, tuna mambo ambayo tunakubaliana hayapaswi kuendelea mfano ubovu wa Barabara vijijini, kama Taifa tuongeze Tsh.100 katika mafuta ili kila fedha itakayoongezeka iende kuleta maendeleo"

"Kwenye chungu, ni lazima bajeti, fedha zitatoka wapi ni lazima tutoe kodi, mwaka huu tumeleta kodi ya miamala, ni vizuri sana mjue hili la kwenye miamala sio tu kodi, hili tunatunisha mfuko, ni solidarity fund, huu ni mfuko wa mshikamano wa Watanzania"

"Akaunti zilifungwa kipindi kile kwasababu ya masuala ya kikodi na Wafanyabiashara wanarudishiwa fedha zao kwasababu akaunti imelipa kodi au hesabu zake zilipigwa vibaya kwahiyo kuna fedha ambayo haikuwa kodi inarudishwa"

"Kenya, Uganda, Malawi, Rwanda, Msumbiji mafuta yako bei juu kuliko sisi, ulishaona hizo Nchi waje kununua mafuta Tanzania?, nitoe rai Watanzania wawe Wazalendo kwasababu kwenye Nchi zote zinazotuzunguka Tanzania ndio Nchi inayouza mafuta bei ya chini"

Chanzo: CLOUDS 360
HIvi kuja sababu ya kuwa na waziri ambaye kuna wakati anakuwa mpumbaf halafu baadaye anakuwa sawa? Huyu miaka yote hakuna alikoshindwa kuonesha akili ndogo. Yaani alichota mawazo ya Zungu wa Kariakoo! Zungu yule tunayemfahamu, eti alisikia ethiopia!
 
HIvi kuja sababu ya kuwa na waziri ambaye kuna wakati anakuwa mpumbaf halafu baadaye anakuwa sawa? Huyu miaka yote hakuna alikoshindwa kuonesha akili ndogo. Yaani alichota mawazo ya Zungu wa Kariakoo! Zungu yule tunayemfahamu, eti alisikia ethiopia!

..wewe unaonyesha kabisa kua utakua una-KWEPA kodi kwa kutokutuma pesa kwa simu au hata kupunguza na kuipa serekali hasara , sheria zipo zitafanya kazi ….[emoji53]
 
Zumbukuku Hilo.
Mafuta Zambia yako Bei chini kuliko tunduma. Amuulize Silinde ataambiwa.
Awaulize Warombo kwanini wananunua mafuta Kenya?
 
Back
Top Bottom