Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Mbaya zaidi mtatumia hela hizihizi kutuibia uchaguzi 2025
 
Yaonekana ni kazi ngumu sana kumpata mtu anayestahili kuwa waziri. Hayo ndo maelezo ya mtu anayeitwa waziri? Kama ni mapungufu ya akili, hii inazidi kipimo. Ni aibu kwa waziri kuwaambia wananchi wake kwamba sasa anakusanya solidarity bila wao kupenda.

Hadithi za watoto, maji, barabara, na upuuzi mwingine zitakwenda kwa solidarity za aina hii kweli? Mara reli, REA, ..... Pumbaf!
Mkuu umepaniki kupita kiasi,embu punguza jaziba.Hakuna kodi kokote duniani inayo kusanywa kwa makubaliano ya wanachi wote.
 
Tatizo ni pale pesa izo izo
zinapo tumika kutengeneza Masanamu na vitu vingine visivyo na kipaumbele kwa Taifa...
 
Mkuu umepaniki kupita kiasi,embu punguza jaziba.Hakuna kodi kokote duniani inayo kusanywa kwa makubaliano ya wanachi wote.

Kodi kwenye miamala ya simu inaweza kua fursa kubwa kwa uwakala wa bank ambapo makato haya hayapo!, na pengine pia ni plani ya serekali kurudisha pesa nyingi kwenye ‘mfumo rasmi’ Ingawa
Ingependeza kama walau hadi 50,000 isingehusishwa, kelele zingepungua lkn ingekua msaada mkubwa kwa watu wa viwango fulani maeneo ya vijijini.[emoji846]
Lkn kwa ujumla kodi hii ni NZURI NA NI HALALI. Nikiangalia umeme wa REA vijijini natamani kuona pia barabara za lami , suluhisho la Bima ya afya nk
 
Tatizo ni matumizi mabaya ya Kodi zetu, utasikia zimeenda kujenga Sanamu, kununulia wastaafu benzi,
 
Kodi kwenye miamala ya simu inaweza kua fursa kubwa kwa uwakala wa bank ambapo makato haya hayapo!, na pengine pia ni plani ya serekali kurudisha pesa nyingi kwenye ‘mfumo rasmi’ Ingawa
Ingependeza kama walau hadi 50,000 isingehusishwa, kelele zingepungua lkn ingekua msaada mkubwa kwa watu wa viwango fulani maeneo ya vijijini.[emoji846]
Lkn kwa ujumla kodi hii ni NZURI NA NI HALALI. Nikiangalia umeme wa REA vijijini natamani kuona pia barabara za lami , suluhisho la Bima ya afya nk
Vinawezekana ukichochea uzalishaji na sio kupora watu.Kodi ni lzm iwe ya kulipika na sio kukomoa
 
Solidarity Fund?

Ukishiba na kusaza...

Futilieni mbali sheria ya FAO LA KUJITOA NSSF
Bora amefafanua Ili kulia Lia hovyo kupungue.

Ishu ya FAO la kujitoa tafadhari Mwigulu na wenzako mkija na maneno matupu msimu ujao hatutaelewana
 
JPM ametekeleza miradi mingi kwa pesa za ndani kutokana na makusanyo ya kodi, ni miradi michache tu ambayo alilazimika kukopa pesa lakini tuliona matokeo sahihi ya mikopo hiyo.

Kumbuka miradi Kama SGR, Bwawa la umeme na mradi wa barabara wa njia nane kutoka kimara hadi kibaha aliamua kuanza kujenga kwa fedha za ndani baada ya kukosa mkopo, na miradi mingine mingi alitumia hela za ndani.


Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
We kenge acha kuropoka upumbavu hapa,mikopo na uporaji ndio vilikuwa vinaendesha nchi .

Lipa kodi sasa hayo makato ndio kodi ya ndani yenyewe
 
Ubaya watanzania huwa hamsomi mnabaki kuokoteza taarifa za kwenye vijiwe ,

Kama hiyo miradi alikuwa anatumia pesa za ndani kwanini Deni la taifa katika awamu ya 5 lilipanda zaidi ya awamu zote ?

.........

Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete

Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais @MagufuliJP anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/SikuView attachment 1855934
Na ndio maana Mwendazake alikuwa anayadanganya yanashangilia tuu..kwa uchumi gani aliojenga mwendazake hadi apate pesa ya ndani?

Walipe kodi Makato sasa hivi ndio mapato ya ndani hayo sasa ya kujivunia sio propaganda uchwara
 
Mkuu ni kweli JPM hakuajili sana na kuongeza mshahara lakini alikuwa na lengo la kujenga nchi kwanza, alijua namna ya kuwabana wafanyabiashara wakubwa ili Kodi ipatikane na amefanya mengi kwa kutumia Kodi hizo Kama ujenzi wa barabara, madaraja/flyovers, miundo mbinu ya Afya, miradi ya maji, Usambazaji umeme vijijini na miradi mikubwa kabisa SGR na Bwawa la umeme la Rufiji.

Yote hayo yamefanyika bila watu maskini kuumizwa katika kulipishwa Kodi Kama inavyotokea Sasa hivi.


Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Tofautisha kuwabana watu walipe kodi na kupora pesa kwenye account,ndio maana wengi walikimbia na uchumi ulianguka mkaishia kulishwa propaganda.

Pili barabara unazosema kajenga ni huko Dar,Dom na miradi mikubwa ya umeme,madaraja na reli ambavyo hadi anatoka hakuna kilichokamilika.

Kwenye ujenzi wa barabara mikoani hakuna alichofanya cha maana hadi tunamzika barabara za Mikoa ambazo hazikuunganishwa na lami ameondoka ziko hivyo hivyo mfano Kanda ya magharibi yote hakuna barabara ya lami mkoa hadi mkoa,Nyanda za Juu Mbeya Tabora/Singida ni mavumbi tupu, Morogoro Songea mavumbi na nyingine nyingi tuu.

Lakini Maza mwaka huu tu wa kwanza katangaza tenda za barabara mpya hizo nilizotaja hapo juu na miradi inaendelea kama kawaida.Pesa zimetoka kwenye tozo na ongezeko la shughuli za biashara baada ya wafanyabiashara kuwa na confidence na sera za Maza.

IMG_20210715_163624_782.jpg


IMG_20210715_163615_442.jpg


IMG_20210715_163537_201.jpg


IMG_20210715_163535_882.jpg


IMG_20210715_163436_780.jpg
 
Wewe ndo huelewi mambo, toka awamu ya nne wafanyabiashara wakubwa walikuwa hawalipi kodi halali, watumishi wa TRA ndo walikuwa wanachukua % kwa wafanyabiashara hawa na kuwaandikia Tax clearance. Mzigo wa Kodi uliachwa kwa watumishi wa serikali au private (PAYE) pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo.

JPM alipoingia kwanza alitaka wafanyabiashara wakubwa wallipe Kodi na pia alifuatilia malimbikizo ya Kodi za nyuma ambazo wafanyabiashara hawa walikwepa kipindi cha nyuma.

Matokeo ya malimbikizo hayo ndo yalipelekea baadhi ya akaunti kushikiliwa na badhi ya biashara kufungwa. Kwa hiyo siyo kwamba wafanyabiashara walionewa au kubambikiziwa madeni na kuporwa pesa zao, hayo yalikuwa ni malimbikizo ya Kodi walizotakiwa kulipa kipindi cha nyuma.

Kinachoendelea awamu hii kwa kulegeza kamba kwa wafanyabiashara wakubwa matokeo yake itasababisha mzigo wa Kodi urudi kwa wafanyabiashara wadogo na wananchi maskini. Awamu hii ni awamu ya wafanyabiashara wakubwa kuneemeka na masikini kuwa na wakati mgumu zaidi.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Sasa huwezi fuatilia malimbikizo unayoita ya nyuma hakuna pesa ilikuwa iddle pesa ilikuwa committed tayari kwa hiyo hicho kitendo autotically ni uporaji maana walishaopewa clearance afu kusema hawakulipa si kweli bali walilipa labda useme pungufu..Kama hawaKulipa Rais angeendesha vipi Nchi?

Pili kwamba eti saizi ni zamu yao pia sio sawa saizi ni zamu ya kila mtu kutumia fursa, kwani sheria zimebadilika? Kwani TRA wameambiwa wasifikishe malengo? Target ziko pale pale.

Wanaojiita maskini lazima walipe kodi kwenye miamala na tozo nyingine maana hakuna vya bure.Nyie subirini mwisho wa mwaka tuulize malengo yalifikiwa au hapana.

Kwa tathmni yangu ya mwenendo wa Serikali hii inaonesha Maza atafanikiwa zaidi kuliko Magu maana pesa atakusanya ya kutosha, biashara zinafunguka, wawekezaji wanakuja na miradi mipya imeanzishwa huku akimalizia iliyoanzishwa na Magu.

Binafsi nimeamua nifufue kampuni yangu ya ujenzi maana huko TARURA na Tanroads kumenoga , force Account kote kunogile.Sasa kaa usitumie fursa utakuja kujuta Serikali iko mbioni ku pump 5 T kwenye uchumi ,usipochangamkia fursa utaishia kusoma kwenye magaseti.
 
"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”

"Mimi naunga mkono dira ya Rais ya kutaka maji yapatikane kila kijiji, sasa tunafanyaje? tukasema tuchangishane, hivi unaona tunaweza kupoteza maisha ya Mtoto sababu ya maji, kisa unalia unakatwa Tsh.5?, mbona milio ya simu tunaweka na unakatwa Tsh. 100?"

"Kuna Shule zinakusanya watoto mpaka 1500 au 1000 na Shule haina maji wanaambiwa waende Shule na kidumu cha maji, sasa tunafanyaje ili maji yapatikane? ndio maana kuna uwepo wa kukatwa Tsh. tano kila unapotuma hela kwa ajili ya huu mfuko wa mshikamano"

"Watu wanalalamika kuhusu hela za miamala, hii ni solidarity fund, tuna mambo ambayo tunakubaliana hayapaswi kuendelea mfano ubovu wa Barabara vijijini, kama Taifa tuongeze Tsh.100 katika mafuta ili kila fedha itakayoongezeka iende kuleta maendeleo"

"Kwenye chungu, ni lazima bajeti, fedha zitatoka wapi ni lazima tutoe kodi, mwaka huu tumeleta kodi ya miamala, ni vizuri sana mjue hili la kwenye miamala sio tu kodi, hili tunatunisha mfuko, ni solidarity fund, huu ni mfuko wa mshikamano wa Watanzania"

"Akaunti zilifungwa kipindi kile kwasababu ya masuala ya kikodi na Wafanyabiashara wanarudishiwa fedha zao kwasababu akaunti imelipa kodi au hesabu zake zilipigwa vibaya kwahiyo kuna fedha ambayo haikuwa kodi inarudishwa"

"Kenya, Uganda, Malawi, Rwanda, Msumbiji mafuta yako bei juu kuliko sisi, ulishaona hizo Nchi waje kununua mafuta Tanzania?, nitoe rai Watanzania wawe Wazalendo kwasababu kwenye Nchi zote zinazotuzunguka Tanzania ndio Nchi inayouza mafuta bei ya chini"

Chanzo: CLOUDS 360
Natamani huyu mpumbavu nimshushie bonge la tusi ila sikufinzwa hivyo
 
"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”

"Mimi naunga mkono dira ya Rais ya kutaka maji yapatikane kila kijiji, sasa tunafanyaje? tukasema tuchangishane, hivi unaona tunaweza kupoteza maisha ya Mtoto sababu ya maji, kisa unalia unakatwa Tsh.5?, mbona milio ya simu tunaweka na unakatwa Tsh. 100?"

"Kuna Shule zinakusanya watoto mpaka 1500 au 1000 na Shule haina maji wanaambiwa waende Shule na kidumu cha maji, sasa tunafanyaje ili maji yapatikane? ndio maana kuna uwepo wa kukatwa Tsh. tano kila unapotuma hela kwa ajili ya huu mfuko wa mshikamano"

"Watu wanalalamika kuhusu hela za miamala, hii ni solidarity fund, tuna mambo ambayo tunakubaliana hayapaswi kuendelea mfano ubovu wa Barabara vijijini, kama Taifa tuongeze Tsh.100 katika mafuta ili kila fedha itakayoongezeka iende kuleta maendeleo"

"Kwenye chungu, ni lazima bajeti, fedha zitatoka wapi ni lazima tutoe kodi, mwaka huu tumeleta kodi ya miamala, ni vizuri sana mjue hili la kwenye miamala sio tu kodi, hili tunatunisha mfuko, ni solidarity fund, huu ni mfuko wa mshikamano wa Watanzania"

"Akaunti zilifungwa kipindi kile kwasababu ya masuala ya kikodi na Wafanyabiashara wanarudishiwa fedha zao kwasababu akaunti imelipa kodi au hesabu zake zilipigwa vibaya kwahiyo kuna fedha ambayo haikuwa kodi inarudishwa"

"Kenya, Uganda, Malawi, Rwanda, Msumbiji mafuta yako bei juu kuliko sisi, ulishaona hizo Nchi waje kununua mafuta Tanzania?, nitoe rai Watanzania wawe Wazalendo kwasababu kwenye Nchi zote zinazotuzunguka Tanzania ndio Nchi inayouza mafuta bei ya chini"

Chanzo: CLOUDS 360
Fala mwingine huyo
Screenshot_20210716-211657.jpg
 
"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”

"Mimi naunga mkono dira ya Rais ya kutaka maji yapatikane kila kijiji, sasa tunafanyaje? tukasema tuchangishane, hivi unaona tunaweza kupoteza maisha ya Mtoto sababu ya maji, kisa unalia unakatwa Tsh.5?, mbona milio ya simu tunaweka na unakatwa Tsh. 100?"

"Kuna Shule zinakusanya watoto mpaka 1500 au 1000 na Shule haina maji wanaambiwa waende Shule na kidumu cha maji, sasa tunafanyaje ili maji yapatikane? ndio maana kuna uwepo wa kukatwa Tsh. tano kila unapotuma hela kwa ajili ya huu mfuko wa mshikamano"

"Watu wanalalamika kuhusu hela za miamala, hii ni solidarity fund, tuna mambo ambayo tunakubaliana hayapaswi kuendelea mfano ubovu wa Barabara vijijini, kama Taifa tuongeze Tsh.100 katika mafuta ili kila fedha itakayoongezeka iende kuleta maendeleo"

"Kwenye chungu, ni lazima bajeti, fedha zitatoka wapi ni lazima tutoe kodi, mwaka huu tumeleta kodi ya miamala, ni vizuri sana mjue hili la kwenye miamala sio tu kodi, hili tunatunisha mfuko, ni solidarity fund, huu ni mfuko wa mshikamano wa Watanzania"

"Akaunti zilifungwa kipindi kile kwasababu ya masuala ya kikodi na Wafanyabiashara wanarudishiwa fedha zao kwasababu akaunti imelipa kodi au hesabu zake zilipigwa vibaya kwahiyo kuna fedha ambayo haikuwa kodi inarudishwa"

"Kenya, Uganda, Malawi, Rwanda, Msumbiji mafuta yako bei juu kuliko sisi, ulishaona hizo Nchi waje kununua mafuta Tanzania?, nitoe rai Watanzania wawe Wazalendo kwasababu kwenye Nchi zote zinazotuzunguka Tanzania ndio Nchi inayouza mafuta bei ya chini"

Chanzo: CLOUDS 360
Panya kabisa huyu, hio skafu lake sijui anafutia manii kimtu cha ajabu
 
Na ndio maana Mwendazake alikuwa anayadanganya yanashangilia tuu..kwa uchumi gani aliojenga mwendazake hadi apate pesa ya ndani?

Walipe kodi Makato sasa hivi ndio mapato ya ndani hayo sasa ya kujivunia sio propaganda uchwara
Watanzania ujinga ndio mtaji wa wanasiasa..
 
Back
Top Bottom