Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Ubaya watanzania huwa hamsomi mnabaki kuokoteza taarifa za kwenye vijiwe ,

Kama hiyo miradi alikuwa anatumia pesa za ndani kwanini Deni la taifa katika awamu ya 5 lilipanda zaidi ya awamu zote ?

.........

Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete

Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais @MagufuliJP anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/SikuView attachment 1855934
Hivi miaka kumi ya Jakaya kikwete na miaka mitano ya JPM ni awamu ipi imetekeleza miradi mingi na mikubwa??!!



Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Eti you're what you're [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Go back to school but Sorry ! Lol
Respond to ma quest. first!..

LikeI told u' before u'll never gel ma drift!! u'll just end up climbing back to de trees ask any where....they gonna tell u who am I!

To discard a few...

Western Mara was ma first research appointment' research paper work in connection with woman mutilations.

Dat's why I knew dis language in deep!!...hence I joined Jf for further clarifications... it really Worked out en' happened to be Muswahili pure...

As if it's not enough u gonna end up sayin' eti!eti .....
 
Respond to ma quest. first!..

LikeI told u' before u'll never gel ma drift!! u'll just end up climbing back to de trees ask any where....they gonna tell u who am I!

To discard a few...

Western Mara was ma first research appointment' research paper work in connection with woman mutilations.

Dat's why I knew dis language in deep!!...hence I joined Jf for further clarifications... it really Worked out en' happened to be Muswahili pure...

As if it's not enough u gonna end up sayin' eti!eti .....
Smh
 
Kuna siku nilisikia huyu mama anasema alisoma uchumi, mpaka unashangaa pamoja na taaluma yake hiyo ameshindwa kutambua kuwa kuongeza kodi ya dhuruma kwenye miamala ya simu ni kuuwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Serikali na wachumi uchwara wanakaa wanaweka jumla yakodi tatu kwenye muamala mmoja wa simu hizi si dharau za waziwazi nakutuona mazuzu ,wanapandisha kwa makusudi bei ya mafuta kitu ambacho ni kichocheo namba moja cha ushughuli za kiuchumi nchini.

Jambo la kuchekesha zaidi nikaona hapa hakuna kiongozi nikupunguza kodi kwenye vitu ambavyo havina tija kwenye uchumi wa nchii, yaani mtu anapunguza kodi kwenye betting/gambling ,pombe halafu anapandisha tozo kwenye gharama ya mafuta.

Yaani mama katika vipaumbele vyako vyote kwenye shughuli za kiuchumi nikuchochea kamali na unywaji pombe, vingine vyoote umepiga chini. Watu wanasema mwigulu anakufanyia hujuma sio kweli vitu vidogo kama hivyo havihitaji mpaka usome macro economics yaani umepwaya kweli kweli.

Oky kodi mmeshaanza kuchukua jee zitasaidia vipi wananchii kama sio kuibia masikini, Mama ebu rejea bajeti ya ofisi ya waziri mkuu ya mwaka 21/22 asilimia 80 ya bajeti yote ni matumizi binafsi asilima 20 ndio inapelekwa kwenye shughuli za maendelea.
Matumizi binafsi wanalipana posho mara mbili mbili, vikao visivyo na tija, wanakula bata huku wakiaacha raia kwenye janga la umasikini.

Uongozi mbovu,, muundo wa serikali mbovu, bunge bovu, katiba mbovu



Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1855593
Tatizo lina anzia hapa,
Wale waliokuwa wanataka kupindisha katiba ili wampindue amewa promote na baadhi yao kuwaweka kwenye nafasi ambazo hawezi kuwatengua.
Sasa wamekalia nafasi nzuri za kuweza kumhujumu dhidi ya umma.
Amelikoroga mwenyewe tumwache alinywe ila sisi raia hutuwezi kunyanaza kulia tunapokanyagwa pa kuumiza.
Atuache tulie kila mtu kwa kabila lake na asitupangie namna ya kulia.
 
Kwa jinsi nilivyokuwa namkubali huyu Sina la kusema naona aibu,shikamooni wote tuliowaita Sukuma gang
 
WANATUNYANG'ANYA PESA ZETU , KISHA WATAZIPONDA WATAKAVYO, DUU NDIO MAANA BABA WA TAIFA ALISEMA HAKA KANCHI KANANUKA!
 
WANATUNYANG'ANYA PESA ZETU , KISHA WATAZIPONDA WATAKAVYO, DUU NDIO MAANA BABA WA TAIFA ALISEMA HAKA KANCHI KANANUKA!
80 percent wanapeleka kwenye matumbo yao na kusomesha watoto wao njee ya nchi. Inayobaki 20 ndio wanaielekeza kwenye shughuli za maendeleo na hiyo yenyewe bado inapigiwa juu juu.
Ndio maana nenda rudi toka uhuru nchii bado inaumasikini wa kutupwa.
Gap kati ya matajiri na masikini linaenda kuongezeka kwa kasi ya kimbunga
Screenshot_20210715-211852_Drive.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majeruhi ferdinand anatoka anaingia Sylvester chaupara France man
Ahahahahhaha mimi naona aingie Simon Masaba au Nteze John Rungu yule ako na nywele nyingi mweupee kakaa kama mla Korosho hivi!

Yaani mama nahisi kama anaanza kupandwa na vuhasira vusivyo na msingi utashangaa people starting teeth-diging ahahaha
 
Kuna siku nilisikia huyu mama anasema alisoma uchumi, mpaka unashangaa pamoja na taaluma yake hiyo ameshindwa kutambua kuwa kuongeza kodi ya dhuruma kwenye miamala ya simu ni kuuwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Serikali na wachumi uchwara wanakaa wanaweka jumla yakodi tatu kwenye muamala mmoja wa simu hizi si dharau za waziwazi nakutuona mazuzu ,wanapandisha kwa makusudi bei ya mafuta kitu ambacho ni kichocheo namba moja cha ushughuli za kiuchumi nchini.

Jambo la kuchekesha zaidi nikaona hapa hakuna kiongozi nikupunguza kodi kwenye vitu ambavyo havina tija kwenye uchumi wa nchii, yaani mtu anapunguza kodi kwenye betting/gambling ,pombe halafu anapandisha tozo kwenye gharama ya mafuta.

Yaani mama katika vipaumbele vyako vyote kwenye shughuli za kiuchumi nikuchochea kamali na unywaji pombe, vingine vyoote umepiga chini. Watu wanasema mwigulu anakufanyia hujuma sio kweli vitu vidogo kama hivyo havihitaji mpaka usome macro economics yaani umepwaya kweli kweli.

Oky kodi mmeshaanza kuchukua jee zitasaidia vipi wananchii kama sio kuibia masikini, Mama ebu rejea bajeti ya ofisi ya waziri mkuu ya mwaka 21/22 asilimia 80 ya bajeti yote ni matumizi binafsi asilima 20 ndio inapelekwa kwenye shughuli za maendelea.
Matumizi binafsi wanalipana posho mara mbili mbili, vikao visivyo na tija, wanakula bata huku wakiaacha raia kwenye janga la umasikini.

Uongozi mbovu,, muundo wa serikali mbovu, bunge bovu, katiba mbovu



Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1855593
Mie nilijua toka awali tyuu Mwigulu awe uchumi na fedha??????? Kama Kikwete na udhaifu wake alimwondoa ,,, Leo hii kitu gani kimeongezeka? Jamani
 
Back
Top Bottom