Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Oy mdau Kama vipi tuanzishe mashambulizi rasmi

Naanza Hiviiiiiii

Bi Kigagula Kama nchi imekushinda Bora urudi kwenu kule tunakukodia jahazi likakushushie mkokotoni!
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Huyu mama hasipo jirekebisha atuhudumu kipindi kifupi kama mtangulizi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mitanzania mijinga,michawi imerogwa sana!!! Yenyewe kulaumu tuuuu!!! Wkt haifanyi chochote cha maana.japo si wote..

Wapo wastaarabu km kikwete families!! Mwinyi.Dr Manyonyi families nk.lkn wengine km lileta mada ni roho ya kutu tupu.

Fanya kazi kufa na kupona lipa kodi ya sirikali..sirikalu inakulinda ili ufanye kazi salama hkn lele mama hapo!! Tatizo lenu...

Wivu wa kitoto huu!! sababu mama anakula air line to Dodoma baasi ni.
chuki.
Visununu.
choyo.
vinyongo visivyoisha!
Dhiki binafsi.
ulafi.
umimi .
u haleluya bwana kuba za kinafiki.

Vinawasumbua sana ngozi nyeusi ...ndo maana mliuza ndg zenu utumwani bila huruma. Kwa malipo sawa na bure ya shanga na pombe .kuumbe hamjaisha humu africa...

Mpaka leo US Niggas hawa wapendi wanawaita majina mabaya "Nigga from de bush" hawataki kurudi.na km ni hivi...

Diaspora haturudi kamwe!! Ile dhambi ya kuwauza ndg zenu utumwani tena mnacheka wao wakilia itawatafuna mpaka mlie poo!! Nasema waafrica! Wa bongo...

Hamtakuwa na amani ya moyo wa kutulia... km wa Mleta mada, huyu ni mfano mzuri wa kuhaha na maisha.

Mpaka mkubaliane na mlio wauza utumwani!! Muwaombe msamaha wa dhati ya moyo. Mpate mtu makini km Mimi awaongoze muombe msamaha huo.

Bila hivo kila Rais/kiongozi mtaona Anakasoro tu hafai.kuwaongoza. Nyie mnaona mapungufu tuuuu!!angalieni mazuri pia kwani huyo Mama Samia ni Malaika??? Hakika

Mtauana kila uchao na kushikana uchawi km hawa wenzenu wamesha anza kitambo na wanaendelea kuchinjana bila kujali...

Somali...Hawatwaliki wamejikataa kabisa wanajiona waarabu.arabs hawawataki dhambi inawatafuna

Nigeria ..bado ngoma mbichi viongozi wao wanajua mchezo mzima.

central africa. .. Ngoma mbichi ndo ilikuwa njia kuu.

Kenya...viongozi wanajua kinacho endelea nyuma ya pazia.

Uganda...wsliwaswaga watumwa wasonge mbele.

Ethiopia...walinunua pia na kuuza.

Liberia...Dooo hapa ndo kabisaaa mamilioni ya Tani za damu ziko ardhini.

cameroon...km liberia tu.

siera leon...na hii imo

south africa..walikombolewa kwa kafara ya damu ya ndg zao!! Waliokombolewa Wakawaua tena wakombozi dhambi hii inawatafuna mpaka dakika hii napo ongea hapa!!

Na sasa msumbiji nk.
Kwani Tanzania mnadhani nyie ni nani msiwe km hao majirani zenu???

Chuki zinaanzaga hivihivi km ya mleta mada...kazi yako Toa ushauri siyo km unavo sema.

Mpaka inaonekana AU wameshindwa kufanya kazi bora ife tu.

Km Rais ana chongo lkn wengi wamempa bila kuiba!! ridhika! wewe mnyime kura yako na ya mkeo km ukiweza mshawishi. Watu km nyie familia zenu ni shida tu!!!

Kwendaaaraaaaa!!mfyuxcvxccbn.
 
Jinga wewe.

Ubaya ni ubaya tu.

Ubaya hauna afadhali.
 
Umetapika Ujinga
 
Wakati wengine Wanalalamika bodi ya mikopo kutoka asilimia 8 hadi 15 watu hawakujali sasa mama endelea mbona hizo tozo ni kidogo sana
 
Japo wote ni madhalimu lakini bora hili la tozo kuliko Utawala wa viroba baharini aisee.
 
Umeandika mengi sana ndugu nikadhani mambo ya maana, kumbe unaandika history za miaka ya nyuma. mwalimu wako alikuwa na kazi ya ziada dada kwa kichwa hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo kodi zimepitishwa na wabunge 100% CCM waliopita bila kupingwa na mawaziri wa Magufuli. Lipa kodo acha kulalamika
Na ole wao walete fyokfyok!Watapigwa hadi wachakae kwa style ya mbwa-koko! Wenzao walipokuwa wanalalamika kuhusu uonevu waliwaita majina kemkem!Walianza na wale,wakaja kwa hao!Jihadhari watakuja kwako.CCM oyeeeee!
 
Hakika Mungu tenda miujiza tena kwa hawa madhalimu,kama ulivyotutendea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…