Waziri Mwigulu: Serikali imeomba msaada au mkopo wa trilioni 7

Hapo la kulaumiwa ni bunge, yaani unakuta mbunge naye anasikia tu taarifa hizo kama mkulima aliyoko kijijini!!yaani kinachobakia ni jinsi waziri wa fedha atakavyosema, akisema ni msaada sawa tu kumbe ni mkopo!!halafu uniambie waafrika tuko sawa sawa kulinganisha na wazungu!!
 
Hakuna asiekopa,ila kwa sasa habari za selikari zinazungumziwa zaid kuliko kipindi cha awamu iliopita,hii ni kwa sababu uhuru wa kuzungumza umekuwa huru sana,tofauti na hapo awali
Issue ni unakopa kufanya nini???????? Si unakopa kununua barakoa au kujenga madarasa bali unakopa kumalizia bwawa la umeme au SGR ili baadaye unachokifanya kiweze kuzalisha. Madarasa unatumia kodi au tozo au kama hazitoshi unatengeneza temporary Shelters watoto wanasoma wakati ukitafuta pesa ya kujenga madarsa. Kwanini hamuelewi ndugu zangu!!!!!!
 
Duh,yaani bado wanaendelea kukopa?
 
Wapunguze matumizi serikalini ili wapunguze kukopa!
Unataka maendeleo huku matumizi makubwa unategemea nn
 
Hayo ndio majibu ya hoja iliyopo?

Muda ni mwalimu mzuri sana!
 
Mkuu ndiyo maana wanasema tenda mema ukiwa hai ili ukisepa watu wakuongelee mazuri. Hata Nyerere mpaka leo anaongelewa, ishu ni kuwa unaongelewa kwa mabaya au mazuri. Jiwe alikuwa muuaji na muongo sana ndiyo maana anaongelewa kwa mabaya.
Alimuua nani?

Na aliua kumzidi nani?
 
Benki ya BADEA iliahidi kuipatia Tanzania mkopo huu wa masharti nafuu (soft loan) katika kipindi cha miaka mitano ijayo, zitakazotumika kwenye miradi ya maendeleo sambamba na kuiwezesha sekta binafsi.
Tunaomba kujua unafuu (usoft ) wa masharti ya mkopo huu. Yatajwe hadharani moja baada ya lingine.
 
Sisi wa kukopa sisi kweli? Ni lini tutatumia pesa zetu kufanyaa maendeleo? Ipo siku nchi itapigwa mnada- ndugai
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tanzania hii ya miaka 60, Ni lini tutatumia pesa zetu kufanya maendeleo_ Kizungu kidogo_ AND HOW?
Ndugai Nouma sana.
 
Zenji wanslamba 50% ya mikopo wakati ni ndogo mara 10 ya mkoa wa morogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…