Waziri Mwigulu: Serikali itakopa Tsh. Trilioni 8.69 kwaajili ya Bajeti ya mwaka 2024/25

Waziri Mwigulu: Serikali itakopa Tsh. Trilioni 8.69 kwaajili ya Bajeti ya mwaka 2024/25

Bila chuki wala hiyana, huyu Mh. anayeitwa Mwigulu Nchemba sijawahi kumkubali.

Ukitazama kikao kilichofanyika baina ya serikali na wafanyabiashara wa Karia Koo huyu jamaa ana uelewa mdogo sana!

Yaani ni mtupu kabisaaaaa! Ni kiburi tu cha chama Tawala ndicho kinachomlinda.
Ana Phd
 
Waambie wapunguze ubaguzi kwa wayahudi wenye asili ya afrika kwa maana ya waethiopia. Waliwakuta pale wakati wanaingia Israel wakiwa miguu peku wanatia huruma.

Wakumbushe wayahudi wasisahau kuwa waethiopia wamekuwa wakiishi pale tangu miaka ya Yesu, na inakisiwa kuwa Nabii Issa ni mtu mwenye asili ya Ethiopia, wapunguze hizo sera za kizayuni ambazo zinapeleka ubaguzi mpaka kwenye vikao vya UN.
Wapalestina nao wapunguze kuwabagua wapalestina wenzao Wayne asili ya afrika;
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema serikali inatarajia kukusanya na kutumia TZS trilioni 47.4 katika bajeti ijayo. Mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa TZS trilioni 34.4, washirika wa maendeleo wanatarajiwa kuchangia TZS trilioni 4.29 na mikopo ni TZS trilioni 8.3.

Mwigulu amesema hayo bungeni akiwasilisha mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya mpango wa bajeti ya mwaka 2024/25.
Kutumbuliwa kwako katika serikali iliyopita ina maana ulikuwa mzigo wa taifa na huna uchungu wowote na nchi hii.
Endeleeni kukopa muendelee kula na watoto wenu na laana itawatafuna mchana kweupe.
 
Samia hatakiwi kumkubalia kila kitu mwigulu. Pesa zinapotea hazijulikani zinaenda wapi, bado anashawishi kukopa.
Zikipotea anatetea .huyu mtu huyu..!!
 
Wapalestina nao wapunguze kuwabagua wapalestina wenzao Wayne asili ya afrika;
Mtu mweusi kutoka afrika anabaguliwa kwa sababu ya kuendelea kujidhalilisha miongoni mwa jamii mbalimbali za binadamu. Wanatuangalia na hawaoni mchango wetu kwenye suala lolote lile la kimaendeleo.

Mhispania anambagua mtu mweusi halafu yeye akisogea ulaya ya kaskazini anabaguliwa vile vile!.

Mpalestina anambagua mtu mweusi na akisogea penye wazungu wengi anabaguliwa vile vile!.
 
Bila chuki wala hiyana, huyu Mh. anayeitwa Mwigulu Nchemba sijawahi kumkubali.

Ukitazama kikao kilichofanyika baina ya serikali na wafanyabiashara wa Karia Koo huyu jamaa ana uelewa mdogo sana!

Yaani ni mtupu kabisaaaaa! Ni kiburi tu cha chama Tawala ndicho kinachomlinda.
Jamaa ni msomi mzuri sana na mtaalamu wa uchumi
 
Unadanganya Sana. Hao waethiopia ni uzao kwa Malkia wa Sheba na mfalme Suleiman. Na uzo wao ulikuwa Ethiopia baada ya Malkia wa Sheba kubeba ujauzito wa mfalme Suleiman. Na Kuna kipindi walienda kuchukuliwa Ethiopia kupelekwa Israel. Wale origin yao ni Ethiopia sio Israel.
Ujumbe mpana ni ubaguzi wa wayahudi. Kujiona wao watu wa maana sana na kunyanyasa wapalestina wanaoishi nao karne na karne.
 
Jamaa ni msomi mzuri sana na mtaalamu wa uchumi
Tatizo la watanzania wanaweza kukuanzisha chuki zisizo na msingi mpaka yale mema yote yakaonekana hayana thamani yoyote.

Tupo very negative siku zote. Tuna wepesi wa kukasirika na kumuongelea mtu vibaya bila sababu zenye kueleweka.
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Mw
igulu amesema hayo bungeni akiwasilisha mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya mpango wa bajeti ya mwaka 2024/25.​
Kwa hiyo keshajihakikishia maokoto kwenye hizo hela??
 
Back
Top Bottom