Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hatari snAfu haitwi hivo.. hilo jina ni alifeli shule tu akarudie kwa hyo usishangae kumuona hana akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari snAfu haitwi hivo.. hilo jina ni alifeli shule tu akarudie kwa hyo usishangae kumuona hana akili
Ana PhdBila chuki wala hiyana, huyu Mh. anayeitwa Mwigulu Nchemba sijawahi kumkubali.
Ukitazama kikao kilichofanyika baina ya serikali na wafanyabiashara wa Karia Koo huyu jamaa ana uelewa mdogo sana!
Yaani ni mtupu kabisaaaaa! Ni kiburi tu cha chama Tawala ndicho kinachomlinda.
Wapalestina nao wapunguze kuwabagua wapalestina wenzao Wayne asili ya afrika;Waambie wapunguze ubaguzi kwa wayahudi wenye asili ya afrika kwa maana ya waethiopia. Waliwakuta pale wakati wanaingia Israel wakiwa miguu peku wanatia huruma.
Wakumbushe wayahudi wasisahau kuwa waethiopia wamekuwa wakiishi pale tangu miaka ya Yesu, na inakisiwa kuwa Nabii Issa ni mtu mwenye asili ya Ethiopia, wapunguze hizo sera za kizayuni ambazo zinapeleka ubaguzi mpaka kwenye vikao vya UN.
Kutumbuliwa kwako katika serikali iliyopita ina maana ulikuwa mzigo wa taifa na huna uchungu wowote na nchi hii.Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema serikali inatarajia kukusanya na kutumia TZS trilioni 47.4 katika bajeti ijayo. Mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa TZS trilioni 34.4, washirika wa maendeleo wanatarajiwa kuchangia TZS trilioni 4.29 na mikopo ni TZS trilioni 8.3.
Mwigulu amesema hayo bungeni akiwasilisha mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya mpango wa bajeti ya mwaka 2024/25.
Serikali inakopa kutoka kwenye taasisi za kifedha za ndani pamoja na kutumia bonds.Hivii hilo deni la ndani ndio huwa likojee?? maana hapo sijaelewa!!
FumboKuliombea taifa la Israel ili iweje?
Mtu mweusi kutoka afrika anabaguliwa kwa sababu ya kuendelea kujidhalilisha miongoni mwa jamii mbalimbali za binadamu. Wanatuangalia na hawaoni mchango wetu kwenye suala lolote lile la kimaendeleo.Wapalestina nao wapunguze kuwabagua wapalestina wenzao Wayne asili ya afrika;
Jamaa ni msomi mzuri sana na mtaalamu wa uchumiBila chuki wala hiyana, huyu Mh. anayeitwa Mwigulu Nchemba sijawahi kumkubali.
Ukitazama kikao kilichofanyika baina ya serikali na wafanyabiashara wa Karia Koo huyu jamaa ana uelewa mdogo sana!
Yaani ni mtupu kabisaaaaa! Ni kiburi tu cha chama Tawala ndicho kinachomlinda.
Ujumbe mpana ni ubaguzi wa wayahudi. Kujiona wao watu wa maana sana na kunyanyasa wapalestina wanaoishi nao karne na karne.Unadanganya Sana. Hao waethiopia ni uzao kwa Malkia wa Sheba na mfalme Suleiman. Na uzo wao ulikuwa Ethiopia baada ya Malkia wa Sheba kubeba ujauzito wa mfalme Suleiman. Na Kuna kipindi walienda kuchukuliwa Ethiopia kupelekwa Israel. Wale origin yao ni Ethiopia sio Israel.
Tatizo la watanzania wanaweza kukuanzisha chuki zisizo na msingi mpaka yale mema yote yakaonekana hayana thamani yoyote.Jamaa ni msomi mzuri sana na mtaalamu wa uchumi
Kwa hiyo keshajihakikishia maokoto kwenye hizo hela??Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu amesema hayo bungeni akiwasilisha mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya mpango wa bajeti ya mwaka 2024/25.
Atakuwa yupo bize kuwaza upenyo wa maokoto binafsi!mwigulu anachapa kazi sana kwa maslai ya taifa hadi ndevu anasahau kunyoa
Unaweza ukawa unayo elimu na ukawa hauna akili. Simtusi! Ila huyo jamaa anayo elimu ila hana akili.Ana Phd
Unamsema hivyo waziri wa fedhaUnaweza ukawa unayo elimu na ukawa hauna akili. Simtusi! Ila huyo jamaa anayo elimu ila hana akili.
Ashakum si matusi! Uchumi wake ni wa kujibia mitihani lakini si kwenye uchumi halisia.Jamaa ni msomi mzuri sana na mtaalamu wa uchumi