Tuvumilie tax base ni ndogo,Suluhu ni kuwafikia wengi kwa indirect taxes.
Mzee baba hakuna kitu kizuri kama kulipa kodi. Wakati wafanyabiashara wanazinguliwa watu walisema wanakwepa kodi. Biashara zimedoda tunatakiwa wote tuchangie kodi tunaanza kulialiaMwigulu Nchemba, CCM na katiba ya Mwaka 1977 ndio maadui wakuu wa Taifa hili
Issue ni volumeTuvumilie tax base ni ndogo,Suluhu ni kuwafikia wengi kwa indirect taxes.
TunakubaliKo nyie mnazan SGR znajengwa na maji au....kodi ndo huleta maendeleo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa mkuu tena wasitupigie kelele kabisa!Kuna Siku niliwahi kuanzisha Uzi hapa JamiiForums nikisema hakuna Watu 'Wanafiki' na huenda wakawa na 'Doctorate' ya 'Unafiki' huo kama Watanzania wachache sana walinielewa, ila wengi walinibishia mpaka Kunidhihaki sasa nadhani taratibu tu tutaelewana Kudadadeki.
Watanzania tunachojua tu ni Kujadili Mambo ya akina Diamond, Mzee Mpili na Ushirikina mkubwa unaoendelea sasa Mkoani Kigoma kuelekea Fainali ya TFF ASFC kati ya Simba na Yanga ila Vitu vyenye Tija Kwetu kama Taifa na Nchi wala hatuna navyo muda.Kabisa mkuu tena wasitupigie kelele kabisa!
Diamond waliekuwa wanamdis wakati bajeti inasomwa ndio huyo karudi na gari la bilion+ huku wao wakipiga miayo na kualalama juu ya kodi isiyozidi elfu 5
Elf 5 ipi tena?Kabisa mkuu tena wasitupigie kelele kabisa!
Diamond waliekuwa wanamdis wakati bajeti inasomwa ndio huyo karudi na gari la bilion+ huku wao wakipiga miayo na kualalama juu ya kodi isiyozidi elfu 5
Eee Sasa wamekaribia biashRaWalau iwe flat rate flani hivi.,
Ni zaidi ya biasharaEee Sasa wamekaribia biashRa
Arafu boda boda ajasepa nayoNina ka 1M kangu,namwita boda boda nakafunga kama ka parcel tu kwenye bahasha,then nampa ampelekee Mshikaji wangu pale Mwenge from Tegeta kwa Tshs 10,000 na siko kutuma kwenye simu kwa gharama ya Tsh 31,000
Arafu boda boda akasepa nayo
Sio kwa kiasi icho.Tuvumilie tax base ni ndogo,Suluhu ni kuwafikia wengi kwa indirect taxes.
Nashauri kila hela anayolipwa Mbunge ikatwe 3% Withholiding Tax , kama "LOCAL FUNDIS" wanavyokatwa baada ya kufanya kazi kwenye miradi ya Serikaki.Kuna Siku niliwahi kuanzisha Uzi hapa JamiiForums nikisema hakuna Watu 'Wanafiki' na huenda wakawa na 'Doctorate' ya 'Unafiki' huo kama Watanzania wachache sana walinielewa, ila wengi walinibishia mpaka Kunidhihaki sasa nadhani taratibu tu tutaelewana Kudadadeki.
Mwiguru must GO!Waziri, Nilisikiliza Hotuba ya Bajeti
Na kuelewa kuwa makato yanaendana na kiasi cha vocha unayoweka na nikaona sio mbaya solidarity fund..
Hotuba ile sikusikia ni tozo kwenye huduma za kutoa na kuweka katika mitandao ya simu.,au wengine mliisikia hii?
Mikeka iliyotoka sio siri mhhh.
Naona umma haukuandaliwa kisaikolojia.
Nashauri irejewe.
Imagine kwa siku unataka kutumia watu 5 elfu 50 kila mtu, gharama za tuma na ya kutolea.
Mfano tu...