Bavicha kaa kwa kutulia, kodi hiyo tunataka hela sisimataga pori pungozo la bei ya bia liliwafanya mkakenua kama ngiri maji leo mnalia na kusaga meno kwenye miamala kama raiya wengine tu [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
mataga pori mlidhani kodi kandamizi mnawakomoa wapinzani tu kumbe inatwanga kuanzia chato hadi Lumumba mnalia kama vifaranga wenye mdondo 🤣 🤣 🤣Bavicha kaa kwa kutulia, kodi hiyo tunataka hela sisi
HahahaWakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa JF👇
Uzi wa bajeti ulikuwa na replies 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replies elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replies 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Kwamba replies za uzi wa bajeti zingekuwa laki moja, bunge lisingepitisha huu wizi?Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa JF👇
Uzi wa bajeti ulikuwa na replies 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replies elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replies 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
Ni kweli kwa miaka mingi wabebaji wakubwa wa direct tax walikuwa watumishi wa umma except wabunge pia wafanyabiashara ila kwa sasa ni kwa kila mtu licha ya kwamba hayo makundi mawili yenyewe yatakuwa taxed twice mfano mtumishi atalipa PAYE na hizo zinazoitwa kodi za uzalendoTuvumilie tax base ni ndogo,Suluhu ni kuwafikia wengi kwa indirect taxes.
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa JF👇
Uzi wa bajeti ulikuwa na replies 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replies elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replies 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu
umetumia lugha rahisi sana kuwachambua watanzania. mi kila nikiandika nafuta! kuna namna sensors zetu za kufikiri hazifanyi kaz vizuri! wakulaumiwa ni lukuki ikiwemo media, taasisi za haki za kiraia, (wabunge tuwaache na sabab tunazijua huwez kuokoteza ubunge ukawa na machungu). KODI IKATWE LAKIN .......REASONABLE CAUSE AND RATEWakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa JF👇
Uzi wa bajeti ulikuwa na replies 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replies elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet ulikuwa na replies 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu