Waziri Mwigulu: Tunatazamia kuwakopesha Wafanyakazi wenye sifa Magari ili kupunguza Matumizi ya Serikali

DED mwenye kupokea 3m aweza vp kubali kukopshwa V8 ya 600ml.

Habari ya V8 ndo imeishia hapo,

Land cruiser mkonga inarudi mzigoni.

Na Bado, tunakoelekea hatujafika.
😅😅Hapo ndio uwizi unapoanza
 
Madereva hawatoguswa,

Mav8 ndo yatayeyuka.
Ok......Sasa mtu akopeshwe gari, service apeleke mwenyewe, mafuta ajaze mwenyewe halafu akubali liendeshwe na mtu mwingine? Ambaye huenda ana uendeshaji mbaya itakayompelekea bosi kwenda gereji kila mara kwa pesa zake? Difficult.
 
idea nzuri ila sasa huwezi mkopesha mtu gari la mil 300... labda kama wataanza kutembelea vanduard hiyo ndo top top the rest vitz.
 
Kitakachofanyika ni kuvujisha kapu la serikali na kutumia fedha ya serikali hiyohiyo kujilipia huo mkopo
 
Mimi naona kama meli inazama tu, nahodha ni kama hatuna vile. Au wenye vigezo watakopeshwa vanguard, Harrier na wanaofanana na hao? Manake vx v8 ukimkopesha mtu anayepata 4m atalipa lini amalize.
 
Ok......Sasa mtu akopeshwe gari, service apeleke mwenyewe, mafuta ajaze mwenyewe halafu akubali liendeshwe na mtu mwingine? Ambaye huenda ana uendeshaji mbaya itakayompelekea bosi kwenda gereji kila mara kwa pesa zake? Difficult.
ni idea ambayo haiwezi kufanya kazi kama wameona mzigo mkubwa wapunguze idadi ya watumishi wanaostahilii magari ya serikali
 
Yaani ukopeshe mtu gari ya 600mil 😃
Hatari sana. Sema mambo yenyewe ya vificho ficho. Wanatakiwa waonyeshe mpango kazi. Watumishi gani watawakopesha? Magari aina gani? Mtu akiachishwa majukumu yake mkopo utakuwa na hali gani? Je hakuna option nyingine zaidi ya hiyo ya kukopeshana??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…