Waziri Mwigulu: Tunatazamia kuwakopesha Wafanyakazi wenye sifa Magari ili kupunguza Matumizi ya Serikali

Waziri Mwigulu: Tunatazamia kuwakopesha Wafanyakazi wenye sifa Magari ili kupunguza Matumizi ya Serikali

Halafu hawa wakuu wa wilaya walio mijini. Wakurugenzi, wakuu wa miko V8 za nini,
Na miundombinu hipo sawa.
Toyota land cruiser mkonga irudi mzigoni.

V8 iliingia Awamu ya 4 Kwa sifa tu za viongozi kupendanufahari wa mchongo.
 
Awamu ya sita ikimaliza utawala wake nchi itakuwa imefilisika na hakutakuwa na maisha daraja ya kati ila ni matajiri saana maana ya wafanyakazibiashara na mafukara wa kutupwa!
Ifikisike Kwa lipi? Kuna awamu inazalisha pesa nyingi kupita awamu ya 6?
 
Toyota land cruiser mkonga irudi mzigoni.

V8 iliingia Awamu ya 4 Kwa sifa tu za viongozi kupendanufahari wa mchongo.
Tatizo jamaa wana 10% kwenye huo mkataba wa toyota, so kila siku zitakuwa ngonjera tuu, kuna watu wanaonufaika sana na huo mkataba.
 
Maneno matamu lakini utekelezaji ni zero, hata Pinda alisema V8 zisinunuliwe lakini matokeo yake ndiyo zikazidi, kwenye nchi yetu watu wanaotakiwa kutumia magari ya umma. 1. Rais, 2.PM, 3.Spika na 4.Jaji Mkuu, wengine wote wanatakiwa kutumia public transport.
Hapo kwenye public transport Bado Kuna hatua kadhaa Ili kupafikia.

Mkwamo wa kiuchumi unakuja ndo unawalazimisha kuchukua hatua hizo.

Tukiondokana na V8 Kwa DC,RC, KATIBU WAKUU NA WASAIDIZI MAWIZARANI, wakakopeshwa Toyota land cruiser mkonga, mbona itapunguza Mzigo Kwa wananchi!!
 
Tatizo jamaa wana 10% kwenye huo mkataba wa toyota, so kila siku zitakuwa ngonjera tuu, kuna watu wanaonufaika sana na huo mkataba.
Ni sawa, watalazimika kuvunja mkataba huo,

Ukimsikia mwigu, Serikali imepanga kukopa Ili kulipa riba na mikopo budget ijayo.

Hali ni Tete, yajayo Si mazuri.
 
Serikali iliwahi kusema inatumia Bil.550 Kwa mwaka Kuagiza magari, vipuri, mafuta na matengenezo Kila mwaka.

--
“Mtazamo wa Serikali ni kuendelea kupunguza masuala ya matumizi ya magari [...] Badala ya serikali kuwa inamiliki haya magari, tunataka watumishi wanaopata sifa ya kuwa na magari wakopeshwe yawe ya kwao ili kuipunguzia Serikali mzigo wa kuyaendesha magari, kuyapatia ‘service’ pamoja na vitu vingine vinavyotakiwa.” – Dkt. Mwigulu Nchemba


View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1722154691599925379?t=UwMJqonggWDnKfg-JyS9WA&s=19

My Take
Naona Kuna kigugumizi Cha kuchukua maamuzi.

Toka mwaka juzi mnaongelea hili jambo na hamfiki Muafaka.

Semeni kama Serikali kwamba deadline itakuwa lini? Na Je Madereva mtaajiri wa Umma au Kila boss na dereva wake?

Kitakachofanyika ni kuvujisha kapu la serikali na kutumia fedha ya serikali hiyohiyo kujilipia huo mkopo
 
Hili zoezi lilishawahi kufanyika kabla hawajauziana nyumba za Serikali na likafeli

Uzalendo wa Wanyarwanda siyo wa kutanguliza Tumbo tofauti na hapa kwetu Watu Wana matumbo ya tembo
Unakopeshwa mwenyewe na unapimiwa mafuta Sasa Ukiharibu Utajua mwenyewe ila we want our kazi be done.

Sijaelewa Bado shida itakuwa ni wapi? Mbona Kwa wabunge lomewezekana?
 
Hapo kwenye public transport Bado Kuna hatua kadhaa Ili kupafikia.

Mkwamo wa kiuchumi unakuja ndo unawalazimisha kuchukua hatua hizo.

Tukiondokana na V8 Kwa DC,RC, KATIBU WAKUU NA WASAIDIZI MAWIZARANI, wakakopeshwa Toyota land cruiser mkonga, mbona itapunguza Mzigo Kwa wananchi!!
Watasingizia fedha za maintenance n.k
 
Hili gumu DED akihamishwa mnanunua gari lingine la kumkopesha DED mpya?
Hizi gharama za kukarabati si ni nyie mlio ziendekeza kwa kuvunja karakana halmashauri ?
Kwani kwa wabunge wabafanyaje, mbona mambo uenda vizuri
 
Akijibu swali la Mbunge Asia Abdulkarim Halamga aliyehoji sababu za Serikali kutumia Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) ambaye ananunua Magari kwa gharama kubwa kuliko bei ya Soko la Dunia, Waziri wa Fedha, Dkt, Mwigulu Nchemba amesema Serikali inatazamia kuanza kuwakopesha Watumishi wenye sifa ili kuondoa mzigo wa Mafuta na Matengenezo Serikalini.

Kuhusu utaratibu wa kuagiza Magari moja kwa moja Viwandani badala ya kutumia Mawakala, Dkt. Mwigulu amesema "Kuna baadhi ya mazingira yanaruhusu Serikali kununua kwa mawakala, pia, baadhi ya Viwanda havipendi wanunuzi waende moja kwa moja Viwandani".

Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa na Wizara ya Fedha Bungeni mwaka 2022, Serikali ilikuwa na Magari 15,742, Pikipiki 14,047 na Mitambo 373 huku ikitumia zaidi ya Tsh. Bilioni 500 kila mwaka kwaajili ya Ununuzi wa Magari mapya, Mafuta, Vipuri na Matengenezo.
 
Serikali iliwahi kusema inatumia Bil.550 Kwa mwaka Kuagiza magari, vipuri, mafuta na matengenezo Kila mwaka.

--
“Mtazamo wa Serikali ni kuendelea kupunguza masuala ya matumizi ya magari [...] Badala ya serikali kuwa inamiliki haya magari, tunataka watumishi wanaopata sifa ya kuwa na magari wakopeshwe yawe ya kwao ili kuipunguzia Serikali mzigo wa kuyaendesha magari, kuyapatia ‘service’ pamoja na vitu vingine vinavyotakiwa.” – Dkt. Mwigulu Nchemba


View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1722154691599925379?t=UwMJqonggWDnKfg-JyS9WA&s=19

My Take
Naona Kuna kigugumizi Cha kuchukua maamuzi.

Toka mwaka juzi mnaongelea hili jambo na hamfiki Muafaka.

Semeni kama Serikali kwamba deadline itakuwa lini? Na Je Madereva mtaajiri wa Umma au Kila boss na dereva wake?


Deal jingine linazaliwa upya. Halafu baadae tutamwita CAG. Halafu tutajadili bungeni. Halafu tutaishia kulalamika.

Kuna wakati hakuna sababu ya kukasirika maana mchimba kaburi, lazima atumbukie mwenyewe kwanza. Yangu macho
 
Back
Top Bottom