Waziri Mwigulu: Wanaosema Rais Samia amekopa sana kuliko Awamu zote za nyuma waeleze pia mikopo hiyo inatokana na madeni ya nyuma

Lakini nakumbuka yule mjinga mwenye tumbo kubwa toka Mtama alisema Magu ndo kakopa sana,leo story ni mpya tena
 
Ahahaha kwamba aliacha watu bado wanafyeka majani
 
Unashangilia ujenzi wa reli na bwawa la mwalimu nyerere bila kujua chanzo cha fedha? Nyie ndio mnaacha nyumbani hela ya dagaa, unakuta mkeo kapika kuku, unashangilia
Mbona JPM alisema miradi inatumia fedha za ndani?
 
Mbona JPM alisema miradi inatumia fedha za ndani?
Si ndio maana Chiembe anasema zilikuwa za Kufyeka majani! Itoshe kusema zilikuwa hazitoshi, na hiyo ina maana, Ule uzushi kwamba Hayat Rais Magufuli alitumia fedha nyingi pale, ni uwongo.

Ama ulitaka kusemaje?
 
Yaani huyu jamaa huwa hana mvuto hata wa kuhutubia. Anaongea kama mtu mwenye hang over ya konyagi.
 
Ni ujinga Waziri kuendelea kujadili swala la mikopo.

Kukopa Kuna shida gani? Kuna Nchi haikopi?

Kwanza nawashangaa,Tanzania tunatakiwa kukopa zaidi na zaidi Kwa sababu Hawa wote walio na Madeni makubwa hapa wametuzidi Uchumi

View: https://twitter.com/AfricaFactsZone/status/1774535241761173605?t=wX02YsFULP6DZGrCuXG4Xg&s=19
Kopeni zaidi na zaidi ila tuu mikopo ielekezwe kwenye miradi ya kufungua uchumi na siokupendezesha Miji au Huduma za jamii
 
U.S.A wenyewe mpaka leo wanaongoza kwa kudaiwa, plus China, Uingereza

Usijilinganishe nao utakuwa Unakosea .

Wale wanaouwezo wa kulipa kwa wakati.

Walishajiimarisha kiuchumi. Wale ni Ulimwengu wa kwanza sisi tuko wa tatu.

Ni mfano ulinganishe kukopa kwa Baresa tajiri zidi ya kukopa kwa maskini au mtumishi wa umma wa kawaida.

Tajiri ako na alternatives za vyanzo vingi vya cash flows za kuweza kufanya marejesho kwa wakati kuliko maskini.
 
Endelea upiga mwingi mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…