Waziri Mwijage: Mimi ni 'propagandist' niliyesomea China. Aagiza tani 20,000 ya sukari bandarini itolewe

Hivi hapa Tanzania kuna mtaalam/Wataalam wa Logistics au ndio wanapuuzwa na waliowakuta Ofisini?
 
Ya kutoka zanzibar ya sh 65000 kwa mfuko unakataza,ya india brazil sh 110000 mfuko unaikubali.Aliyetuloga afufuke
 
Kumbe ni propagandist ndo maana anadai ni mcha Mungu. Wako wacha Mungu na bado wana damu za wanadamu wenzao mikononi mwao
 
Sasa nimeelewa ni kwanini blenda ni kiwanda! Magu sahau tz ya viwanda kwani uliempa wizara ni mzee wa porojo na mtengeneza uongo! Hatifiki hata kidogo kwani hana weledi na biashara! Isitoshe huyo propagandist alifaa kuwa kwenye ofisi ya polepole akisaka wanachama na kukisemea chama na sio wizara nyeti hiyo! Na kwanini mawaziri wa zama hizi ni wale watu weak na wasio na vision?
 
Huyu ni Moja kati ya mawaziri wasio kuwa na mda hapo wizarani
 
Upungufu sukari mafuta ni tatizo la kutokuwa na dhamira.Serikali ifanye kusudi kutoa ruzuku,utafiti,mifumo umwagikiaji,mashamba kwa wakulima.Ni msimu mmoja wa kilimo tutauza nje sukari na mafuta.
 
Kweli huyu ni propogandist aliyetokea China!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…