Waziri Mwijage: Mimi ni 'propagandist' niliyesomea China. Aagiza tani 20,000 ya sukari bandarini itolewe

Waziri Mwijage: Mimi ni 'propagandist' niliyesomea China. Aagiza tani 20,000 ya sukari bandarini itolewe

yan nngekuwa mchawi nshamloga coz kumtoa siwezi bora nmloge tu,jamaa anaturudisha nyuma sana huyu shenzi kabisa....
 
Yaani una tani 43,000 wakati matumizi ya mwezi ni tani 40,000 Waziri anasema ana sukari ya kutosha? Kweli ? What ?

Jamani Mh. Rais fukuza huyu mtu he is very short sighted, ndio naona sasa. Yeye ndie anatakiwa aje na sera na mikakati mipya ya Tanzania ya viwanda, sasa anawataka wabunge wamletee mikakati..

Omg, huyu Mwijage mbona haendani na vision ya mh. Rais wetu kabisa
Mkuu,,unahoja nzuri ,tatizo umekosea mahali pa kuipeleka,,,jiwe is worse than mwijage
 
Tunatumia Tani 40,000 kwa mwezi, tuna Tani 43,000 unasema tunayo ya kutosha??? Mh Kamtoa wapi huyu
 
Huyu kweli propagandist ndio maana anatuambia awamu hii imejenga viwanda 60,000 chakushangaza hajatupa takwimu za ajira hivyo viwanda vilizozalisha. Viwanda anajenga kipropagandist mpaka 2020 atakuwa ameshajenga viwanda 200,000 kipropagandist.
hahaha yy anahesabu cherehan 4 ni kiwanda hahah huyu angetakiwa awe bongo movie
 
Yaani una tani 43,000 wakati matumizi ya mwezi ni tani 40,000 Waziri anasema ana sukari ya kutosha? Kweli ? What ?

Jamani Mh. Rais fukuza huyu mtu he is very short sighted, ndio naona sasa. Yeye ndie anatakiwa aje na sera na mikakati mipya ya Tanzania ya viwanda, sasa anawataka wabunge wamletee mikakati..

Omg, huyu Mwijage mbona haendani na vision ya mh. Rais wetu kabisa
amfukuze wakat majibu yake "yanaridhisha"????
 
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amesema nchi ina sukari ya kutosha na kilichojitokeza ni propaganda ya watu wasioitakia mema.

Akihitimisha hoja ya bajeti ya wizara yake ya mwaka 2018/19 leo Mei 11, 2018 bungeni, Mwijage amesema tayari ameagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Mamlaka ya Chakula la Dawa Tanzania (TFDA) kuiondoa sukari yote iliyopo bandarini.

Amesema yeye ni mcha Mungu na asingependa kuona Waislamu wanaotarajia kuingia katika mfungo wa Ramadhani wanapata shida ya kupata sukari.

Waziri Mwijage amesema hakuna tatizo la sukari kwani kuna akiba ya sukari tani 43,000 iliyopo katika stoo.

“Lakini Tanzania tunatumia tani 40,000 kwa mwezi,” amesema.
Amesema amewaagiza mameneja wa TBS na TFDA kuhakikisha tani 20,000 ya sukari iliyopo bandarini inaondolewa.

“Viwanda vya sukari vyote bado kama wiki tatu vinaanza kuzalisha. Suala la sukari lilikuwa ni propaganga na mimi ni ‘propagandist’ niliyesomea China,” amesema.

Kuhusu mazingira ya uwekezaji, Mwijage amesema amekuwa akipigania kuyafanya kuwa rafiki na kuwaomba wabunge wanapobaini kuwapo kwa changamoto zozote waziwasilishe kwake na hatua zitachukuliwa.

Pia, amesema amepokea maoni na ushauri wote uliotolewa na wabunge na kuahidi kuufanyia kazi.
1. Nchi inatumia tani 40,000 kwa mwezi na waziri anasema ana stock ya 43,000 hivyo inatosha! kichekesho
2. Yeye ni muumin asingependa waislam wafunge na shida ya sukari! it means tunatafuta ufumbuzi wa sukari ajili ya mfungo na hatuangalii taifa limeteseka vp kipnd chote walivyoitoa sukari 1800 na sasa imewagomea kurud. kichekesho
 
Blaaaablaaablaaablaaaa. Stringler's. Maparachichi/choroko.com
 
Msikilize Mh Mwijage , bila shaka utajifunza jambo


 
Haya majibu ya propaganda kayatoa lini?? Mbona hajatoa namna ya kupambana na hizo propaganda zake sukari tuione mitaani??

Awe mkweli tu kwamba serikali inahitaji kupandisha bei ya sukari kama ilivyofanya last time.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom