Waziri na mbunge, Juma Aweso atinga na wake zake wawili bungeni, shangwe latawala. Kumbe wabunge wanapenda wake wengi kiasi hiki!

Waziri na mbunge, Juma Aweso atinga na wake zake wawili bungeni, shangwe latawala. Kumbe wabunge wanapenda wake wengi kiasi hiki!

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Mbunge wa Pangani na waziri wa maji, Juma Aweso leo amefika bungeni na wake zake wawili, wametambulishwa na spika Tulia wakiwa wamekaa pamoja kwa bashasha tele. Meza za Bunge zimegongwa mpaka zinataka kupasuka zikichagizwa na vigelegele kutoka kwa wabunge wanawake, nikajiuliza waheshimiwa wabunge ndio wanapenda ndoa za wake zaidi ya mmoja kwa kiasi hiki🤣

Ukiweza kuwa Rais natarajia Taifa kuwa na 'First ladies'

Juma Awesso.jpg

Wake wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, kushoto ni Bi. Zainabu Abdallah na Kauthari Tarimo wakiwa wamesimama baada ya kutambulishwa na Spika Tulia Ackson wakati wa mjadala wa hotuba ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

 
Hongereni wachaga na wapemba

Huyo mmoja anaitwa kauther Tarimo mtoto wa mzee Tarimo tajiri la kichaga huyo mwingine mtoto wa mama Raisi Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni mwanilishi wa baraza la wawakilishi kule zanzibar

Jamaa kaoa familia zote Bora

Wabunge wengine na nyie leteni wake zenu tuwaone
 
Mbunge wa Pangani na waziri wa maji, Juma Aweso leo amefika bungeni na wake zake wawili, wametambulishwa na spika Tulia wakiwa wamekaa pamoja kwa bashasha tele. Meza za Bunge zimegongwa mpaka zinataka kupasuka, nikajiuliza waheshimiwa wabunge ndio wanapenda ndoa za wake zaidi ya mmoja kwa kiasi hiki🤣

Ukiweza kuwa Rais natarajia Taifa kuwa na 'First ladies'

View attachment 2221377
Kuna siku mume wa Maza naye atatokea na wake Zake watatu huko
 
Hongereni wachaga na wapemba

Huyo mmoja anaitwa kauther Tarimo mtoto wa mzee Tarimo tajiri la kichaga huyo mwingine mtoto wa mama Raisi Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni mwanilishi wa baraza la wawakilishi kule zanzibar

Jamaa kaoa familia zote Bora

Wabunge wengine na nyie leteni wake zenu tuwaone
Kaoa kwa mzee Tarimo Yule mwenye open university kule Tanga?
 
Back
Top Bottom