Waziri na Naibu Waziri wa Ardhi naomba muangalie uhaba wa wenyeviti mabaraza ya Ardhi

Waziri na Naibu Waziri wa Ardhi naomba muangalie uhaba wa wenyeviti mabaraza ya Ardhi

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Kwa sehemu kubwa Wilaya nyingi hapa nchini zina Mabaraza ya Ardhi yanayoshughulikia migogoro ya ardhi.

Hivi karibuni yameundwa mabaraza mapya ya Ardhi kwa lengo la kukidhi mahitaji kwa wilaya kadhaa.

Lakini tatizo linalojitokeza ni uhaba wa wenyeviti katika mabaraza mapya yaliyoundwa na hata ya zamani.

Unakuta wenyeviti waliopo katika mabaraza ya zamani wanafanya rotation katika mabaraza mapya na yao ya zamani

Hili ni tatizo kubwa kwani linatengeneza mrundikano wa kesi (backlog of cases).

Suluhisho hapa ni kuajiri wenyeviti wapya wa mabaraza.

Kama bajeti ya Wizara itaruhusu, serikali iliangalie hili.

Niwatakie Kazi njema.
 
Hakuna wala rushwa Tanzania kuwazidi hawa Wenyeviti wa Mabaraza ya ardhi
 
Hakuna wala rushwa Tanzania kuwazidi hawa Wenyeviti wa Mabaraza ya ardhi
Kuna uhaba wa wenyeviti wa mabaraza mrundikano wa kesi ni mkubwa.
 
Kwa sehemu kubwa Wilaya nyingi hapa nchini zina Mabaraza ya Ardhi yanayoshughulikia migogoro ya ardhi.

Hivi karibuni yameundwa mabaraza mapya ya Ardhi kwa lengo la kukidhi mahitaji kwa wilaya kadhaa.

Lakini tatizo linalojitokeza ni uhaba wa wenyeviti katika mabaraza mapya yaliyoundwa na hata ya zamani.

Unakuta wenWyeviti waliopo katika mabaraza ya zamani wanafanya rotation katika mabaraza mapya na yao ya zamani

Hili ni tatizo kubwa kwani linatengeneza mrundikano wa kesi (backlog of cases).

Suluhisho hapa ni kuajiri wenyeviti wapya wa mabaraza.

Kama bajeti ya Wizara itaruhusu, serikali iliangalie hili.

Niwatakie Kazi njema.
Wewe utakuwa wahapo mtaani kwako tuliza makeke
 
Back
Top Bottom