TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 690
- 1,060
Ndaga malafyale umeeleza ukweli kabisaNi mfumo wa ‘wana CCM wakongwe’ kulinda familia kwa kazi ya serikali!
Baba yake Nape alikuwa role model wa akina Lt Makamba,Col Kinana akina Lt Col JK ambao sasa wana nguvu mno ya maamuzi Tanzania, as long as JK na Kinana na Makamba wapo,Nape hawezi enda popote
Magu hakua mwana CCM elite ndiyo maana aliwafukuza watoto wa elites kama hawa.
Sometimes Magu alikuwa very right.
Tapeli atanirushia laana.Mzee wa Chamwino msalimie Cassian.
Mwizi mwenzioTapeli atanirushia laana.
Hio ofisi wanaitaka iwepo ili iwe rahisi ku manipulate hizo huduma na kwenda kuomba rushwa. Viongozi wetu tunawajua jinsi akili zao zilivyo mbovu.Waziri Nape Nnauye amesema hawajaibania Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini bali ni kuwa Kampuni hiyo inayomilikiwa ns tajiri Elon Musk haijakidhi vigezo ilivyowekewa na serikali ikiwamo kufungua ofisi nchini Tanzania.
Amesema vigezo hivyo vimewekwa na serikali ili kumlinda Watanzania watakotaka kutumia huduma hiyo.
====
Jamaa wanajifanya wana upendo sana na Mtanzania 🤣 inapofikia swala la maslahi yao kuguswa. Hili halina tofauti na tabia ya mama wa kambo kujifanya anakupenda pindi ndugu zako wakija na kukupakulia minyama wakati kitendo cha ndugu kuondoka tu utapigwa kabichi marage hadi uchakae.Eti kumlinda Mtanzania 😂
Aulizwe ofisi za whatsapp Tanzania ziko wapi🤣? Je, ni watanzania wangapi washawahi kulalamikia huduma za whatsapp toka ilipoanza kutumika rasmi mwaka 2009?sisi tunataka huduma, mambo ya ofisi yanakujaje sasa?
Waziri mshamba kuwahi kutokea nchini. Hio wizara apewe mtu anayejielewa waachan na huyo mmakonde.google, twitter, facebook, youtube wana ofisi hapa bongo?
Mmarekani hawezi kupelekeshwa na ndezi wa CCM. 🤣 Hilo sahahu kabisa tena mtu mwenyewe ni billionaire. Elon kanyooka hawezi fanya kazi na mpuuzi wala hana njaa hizo.Isije kuwa akakataa ubia na wenye nchi, angalia = voda(ccm), Airtel (serikali), halotel(serikali) tigo(rosti tamu=ccm) au siyo hivyo jamani?
🤣 Kuna mambo mawili ukiyasikia toka kwa mwana CCM fahamu fika kuwa upigaji unavishwa koti.Ukishasikia kumlinda Mtanzania au kwa maslahi mapana ya taifa jua hapo kuna ukakasi😁
Akipewa Rostam huduma itakuwa ya kinyonyaji tu kama ilivyo kwa hao akina Voda na wenzake.Nape wacha siasa, Elon Musk ofisi ya nini hapa Tanzania? Si anaweka mawakala tu kama wanavyofanya konnect.
Sema mpaka awe na God Father wa uhakika. Mpeni Rostam tu, hakuna zaidi, yupo kwenye sector hiyo na anajuwa kula na vipofu.
Rostam ana hisa kwenye makampuni ya masilianoNape kaisha tiwa mfukoni na hawa Voda na Tigo ambao wanajua akija Starlink mapato yao yatapungua sana!
Lkn niseme tu kusua sua kupewa leseni Starlink ambao wana bei nafuu na net bora ni matokeo ya akili mbovu za watz,ilipaswa tumlazimishe Nape asaini mkataba kwa nguvu ya UMMA
Sababu wanazo toa serikali ni za hovyo hovyo tu
Hata Nape Nnauye mwenyewe hajielewi. Baba yake naye alikuwa wa hivyo hivyo tu.Sijawai kumuelewa NAPE
Ukishasikia maneno matamu inabidi umuangalie msemaji kwa mashaka🤣 Kuna mambo mawili ukiyasikia toka kwa mwana CCM fahamu fika kuwa upigaji unavishwa koti.
1. Amani ya nchi ni muhimu hatuwezi ruhusu watu wachache walete taharuki.
2. Kumlinda Mtanzania ni muhimu kwa maslahi mapana ya taifa.
Hahaa wahuni wanajifanya kujali sana
Hahaa wahuni wanajifanya kujali sana