Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Shughuli ya kimtandao, haiitaji physical addrress, ni ushamba. Maendeleo tutayasikia kwa wengine.Kama hataki kuweka ofisi Tanzania, HATUFAI AENDE ZAKE SALAMA.
Kama wanaogopa usalama hivi hakuna vyombo vya kimataifa vinavyosimamia hili? Dunia imeshakuwa kijiji sasa hakuna haja ya kuendesha nchi kwa vigezo vya kimchongo kama hivi.
Hii ni sawasawa kitendo cha kuzuia bunge live eti kwa kuwa watu wataacha kufanya kazi waangalie bunge! Mtu huyu huyu mbeleni anakuja kurudisha bunge live kwa maelezo kibogoyo. Serikali ya ccm ndio inayofanya mazingira yetu yabaki kuwa duni. Kundi chache la wanasiasa ndio wanalamba asali na koo zao. Matokeo yake kila sekta wataalamu wanahaha kuziacha sekta zao kujiingiza kwwnye siasa. Hapa kama taifa kuna kitu hakiko sawa, tuache ushabiki maisha yetu yapo rehani. Waramba asali watanipinga mana nimegusa nyeti zao.😁😁