Waziri Nape: Usajili wa VPN unafanyika ili kuwatambua Watumiaji wa Intaneti

Waziri Nape: Usajili wa VPN unafanyika ili kuwatambua Watumiaji wa Intaneti

Hapa ngoja nimfahamishe, Nape kuna software siku hizi kama VPN lakini siyo VPN iliyozoweleka.

Sifahamu hiyo waiandikisha vipi?

Haya mambo ya mtandao, yeye angefanya kama nchi zingine, tena katoka India juzi, India wanazuwia mpaka VPN wasichotaka usione huoni na wanaweza kuku trace hata ukiwa nyuma ya VPN Bila kupigizana kelele na mtu

Hi teknolojia si mchezo, Wahindi inasemekana sijuwi simu Iphone haziingiliki, wahindi wanaingia tena njiani tu utamkuta mtu na kimeza chake na wanakubadilishia chochote unachotaka wanakupa mpaka IMEI mpya na simu yako ileile.

Wahindi usicheze nao kabisa kwa mambo ya IT.

Ngoja niongee nao nipige pesa za ghafla, niwape watu ki software ndogo tu, hakuna anaekuona wala kuku trace bila VPN.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Hapa ngoja nimfahamishe, Nape kuna software siku hizi kama VPN lakini siyo VPN iliyozoweleka.

Sifahamu hiyo waiandikisha vipi?

Haya mambo ya mtandao, yeye angefanya kama nchi zingine, tena katoka India juzi, India wanazuwia mpaka VPN wasichotaka usione huoni na wanaweza kuku trace hata ukiwa nyuma ya VPN Bila kupigizana kelele na mtu

Hi teknolojia si mchezo, Wahindi inasemekana sijuwi simu Iphone haziingiliki, wahindi wanaingia tena njiani tu utamkuta mtu na kimeza chake na wanakubadilishia chochote unachotaka wanakupa mpaka IMEI mpya na simu yako ileile.

Wahindi usicheze nao kabisa kwa mambo ya IT.

Ngoja niongee nao nipige pesa za ghafla, niwape watu ki software ndogo tu, hakuna anaekuona wala kuku trace bila VPN.
Mawaziri wengi wametupwa na wakati

Waziri aliye katika uhalisia ni Mchengerwa peke yake!
 
Hili LINAPE ndio bingwa wa kuandika MATUSI huko TWITTER.

Lijitu lenye MATUSI kama NAPE linapata wapi ujasiri wa kujifanya anasimamia mitandao?

We NAPE tunaomba utuache kabisa, na safari hii ukiendelea kuvimbisha hilo BICHWA LAKO KAMA KONTENA watakusukumia bastola kwenye DONATI LAKO.
 
View attachment 2786085
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hilo linatokana na ongezeko la Wananchi zaidi ya 50% kutumia Intaneti ambapo kama kuna mtu ana mawazo ya hovyo atatamani kufanya majaribio yake huko, hivyo Serikali imekuwa ikitunga Sheria zitakazowalinda watumiaji wake.

Akizungumzia suala la Usajili wa Watumiaji wa VPN amesema suala hilo linafanyika ili kuwatambua Watumiaji wake pamoja na kuzuia uhalifu Mtandaoni na Serikali haiwezi kuacha kila mtu aingie kiholela na akafanya anachokitaka na tayari wapo Watu ambao wamefikishwa Mahakamani na wengine wamefungwa kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya Mtandao.

Ameongeza "Tutaendelea kupafanya Mtandaoni kuwa sehemu salama kwasababu maisha ya sasa yanategemea Mtandao, usipofanya mtandao kuwa salama unafanya Nchi kutokuwa salama na msimamo wetu ni kwamba njia yoyote ya mawasiliano itumike ikiwa salama".
Pale mjinga anapojifanya ana akili kuliko wenye akili!
 
Huyu jamaa kaanzisha bifu na Kigogo sasa makasiriko analeta kwetu 😁

kwa taarifa yako mpaka muda huu na comment hapa VPN iko on
 

Attachments

  • IMG_0047.jpeg
    IMG_0047.jpeg
    43.5 KB · Views: 3
Eti usajili wa VPN , Nape ni mpumbavu asiye jua hata maana ya VPN ni nini na purpose au matumizi yake ni yapi .
Nchi ambazo ziko restrictive kwenye free speech na survailance kwenye mifumo ya mawasiliano kama China wameshindwa kupambana na VPN ,itakuwa pimbi hao ?
 
Nani kakwambia vpn inatumika kuangalia ngono? Ngono unaweza ukaangalia hata twitter au telegram bila vpn. Huyu kenge maji hajui kuwa kuna fursa kubwa kwenye proxy na vpn.
Na actually VPN ina matumizi mengi , ina tumika kulinda secrecy zako unapokuwa mtandaoni , siku hizi internet imekuwa na criminals na wadukuzi wengi ambao wanaweza dukua information zako ,browsing history na data nyingine na kuzitumia kukublackmail , kudukua mifumo ya pesa ,au hata kuhatarisha maisha yako na usalama wako kwa kuzitumia au kuziuza kwenye black market na kwenda kutumika katika matukio ya kihalifu , kuna identity theft ,wire frauds nk .
Ni hivyo hivyo hata Kwa companies na watu binafsi ,VPN ni privacy .
Na kitu kingine ni kujilinda dhidi ya serikali au mamlaka zinazoficha uhuru wa habari , kuna nchi hasa zinazominya uhuru wa habari na mawasiliano internet inazimwa tu makusudi na hilo ni disruption Kwa watu binafsi na taasisi binafsi ,kama wapuuzi ccm walivyofanya uchaguzi wa 2020 kuzima internet karibia mwezi mzima .
Makampuni na watu binafsi wanataka privacy .
Huyo mpumbavu kilaza NAPE ni mpuuzi .
Haya majitu sijui policies za kipumbavu kama hizi huwa yanaibuka nazo tokea wapi
 
Back
Top Bottom