Waziri Nape: Usajili wa VPN unafanyika ili kuwatambua Watumiaji wa Intaneti

Haya ni matokeo ya kupeana nafasi kwa kujuana. Nape Nnauye na teknolojia wapi na wapi?
 
Nyeng.e zitakusababishia cardiac arrest wewe kikongwe
Wacha matusi kijana, hapa upo jukwaa la VPN na Waziri Nape.


Mimi naifahamu teknolojia ya habari (IT) nyuma mbele, ndiyo najaribu kuwapa ujuzi wa kufanya yote yanayofanywa na VPN bila kuwa na VPN, tena hata mwenyewe tu unafanya bila hata ya software kama u mtundu kidogo, kama si mtiundu inabidi u download na au uwmpe kijana mtundu akufanyie utundu.
 
Nape yupi? Au yule ali lialia wakati wahuni wenzie wana CCM walitaka kumtwanga na basitola pale Ubungo?
 
Kila nkikukumbuka Bw Nape akitembea kujilisalimisha kwa JPM (Jiwe) huku akitokwa na jasho nacheka sana.
Kipara kilikuwa kinavuja jasho kama kimemwagiwa maji,alikuwa anajifuta kichwani badala ya usoni[emoji3][emoji3]
 
Jee ana uhusiano na Ludovick Mwijage aliyeandika kitabu kuhusu Nyerere;

Julius K Nyerere: Servant of God or Untarnished Tyrant.​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…