Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimuonee jamaa kana kwamba hukupata kuona summary ya thesis yake ya hiyo ndigrii. Msamehe bure.Mtazame jinsi anavyosoma karatasi...hakuna element yoyote kwamba yupo serious.
Hayo mambo anayosoma hivi kweli kabisa kwa mtu mwenye PHD anahitaji kukodolea macho mstari kwa mstari?...vitu obvious ambavyo vinajulikana...
Acha matusi karunguyeye mkubwa we. Mtu anayekwepa kodi ninamuheshimu sana sana.mpumbavu mamako, kuna tozo gani sahivi, ulitaka usichangie maendeleo ya nchi. Ukiona vyaelea vimeundwa we bwege
Na waziri naye analalamika badala ya kuja na solution!!!"Matumizi ya mashine za kielekroniki kwa ajili ya kodi na kutoa risiti bado imekuwa ni changamoto kwa wananchi, kwasasa utoaji wa risiti umekuwa kama punguzo la bei manake mtu asipopewa risiti anapunguziwa bei tofauti na akidai risiti jambo ambalo linasababisha bidhaa nyingi kuuzwa nje na bei inayofahamika na TRA na hapa nataka niwakumbushe watanzania kuwa suala la kodi sio la TRA peke yake ni jambo la watanzania wote"
"Matumizi ya mashine za kielekroniki kwa ajili ya kodi na kutoa risiti bado imekuwa ni changamoto kwa wananchi, kwasasa utoaji wa risiti umekuwa kama punguzo la bei manake mtu asipopewa risiti anapunguziwa bei tofauti na akidai risiti jambo ambalo linasababisha bidhaa nyingi kuuzwa nje na bei inayofahamika na TRA na hapa nataka niwakumbushe watanzania kuwa suala la kodi sio la TRA peke yake ni jambo la watanzania wote"
View attachment 2918088
Ni nini kinachoonekana kijani kijani hapo🤓
Niko na mamaako hapa, she is very disappointed with your online behavior of disrespecting your potential step daddy.mpumbavu mamako, kuna tozo gani sahivi, ulitaka usichangie maendeleo ya nchi. Ukiona vyaelea vimeundwa we bwege
😃 😃 😃 uoto wa asiliNi nini kinachoonekana kijani kijani hapo🤓
Kabisa. Pia kusafiri kwenye ndege, wasafiri kwenye madaraja ya kawaida. Wabunge wapunguzwe idadi, hawa wa viti maluum waondolewe pia. Kuna areas nyingi sana kupunguza matumizi ya serekali. Bila hivyo. mwananchi endelea kukwepa kodi kadiri uwezavyo.Serikalini hakuna usiriaz kwenye matumizi.
Matumizi makubwa kwenye magari ya anasa ni sababu pekee miongoni mwa nyingi zinazonichochea kukwepa Kodi.
Watumishi wa wilayani akiwemo DC watumie magari chini ya cc2000, isipokuwa polisi wao waendelee na mashine zenye kifua kipana!
Ni big 6 pekee ndo wapewe vxr
Mfumo wa kodi wa kwetu ni wa kijinga sana kadri unavyoongeza lulipa kodi ndo unawekewa makadirio makabwa mafano 10% ya nyumba ya 1000000 sio sawa na 10 % ya 200, 000 sasa nani anataka"Matumizi ya mashine za kielekroniki kwa ajili ya kodi na kutoa risiti bado imekuwa ni changamoto kwa wananchi, kwasasa utoaji wa risiti umekuwa kama punguzo la bei manake mtu asipopewa risiti anapunguziwa bei tofauti na akidai risiti jambo ambalo linasababisha bidhaa nyingi kuuzwa nje na bei inayofahamika na TRA na hapa nataka niwakumbushe watanzania kuwa suala la kodi sio la TRA peke yake ni jambo la watanzania wote"
View attachment 2918088
Na ukijifanya kutoa risiti kaam wanavyotaka nakuhakikishia baada ya 3month unafunga hiyo biasharaHakuna mtanzania asietamani kulipa kodi na sio kodi tu hata ingekuwa kuchangia bajeti yetu kwa hela za mfukoni tungechangia, shida ni matumizi mabovu ya pesa za kodi, ufujaji na wizi wa viongozi wetu, ndio hapo unapoona kulipa kodi ni ujinga, kitu cha laki 3, akikwambia na risiti 350000 bila risiti 300000, unaona hii 50000 bora niwanunulie kuku na basmati nyumbani watoto wafurahie.
Serikali inapaswa ibadilike(japo najua haiwezi badilika)
Tatizo ni matumizi makubwa ya Serikali kaka.NINGELIKUWA KIONGOZI, MADUKA YA KARIAKOO NINGEYATENGENEZEA MFUMO ULE WA ZAMANI, KUYAKADIRIA KODI, KUYAPA NAMBA MAALUM ITAKAYOKUWA INAAMBATANA NA SIMU YA MUHUSIKA, NID, N. K, MADUKA YA KARIAKOO YAKADIRIWE KODI,
°HATUKOSI MADUKA, MIL 3, YA KIWANGO AMBAYO YATAKADIRIWA MIL 10 KWA MWAKA, HII INGESAIDIA KUTOKUKWEPA KULIPA MAANA WATAKUWA WAKO COMMITED KWA HILI, TATIZO LA KARIAKOO, WAJANJA NI WENGI MNO AND ARE SO BRIGHT.
N. B, biashara kubwa iliyopo kariakoo ni chukua hapa, uza kule!, yaani mwenye duka anachukuwa bidhaa duka lingine analetea mteja lakini anafremu!