Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kama Mimi nikipunguziwa bei nachangamkia fulsa.sababu hzo hela zenyewe wanalipana posho Tu huko na mishahara mkubwa Bila kuwakumbuka walipa kodi.mfano mwanza swala la barabara kila Pande mbovu.barabara ya nyamongoro stand kwenda nyamongolo kwenyewe barabara imechimbika inaweza sema hakuna serikali.kwa jumla ni maudhi sana.mm na Kodi mmmm[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]"Matumizi ya mashine za kielekroniki kwa ajili ya kodi na kutoa risiti bado imekuwa ni changamoto kwa wananchi, kwasasa utoaji wa risiti umekuwa kama punguzo la bei manake mtu asipopewa risiti anapunguziwa bei tofauti na akidai risiti jambo ambalo linasababisha bidhaa nyingi kuuzwa nje na bei inayofahamika na TRA na hapa nataka niwakumbushe watanzania kuwa suala la kodi sio la TRA peke yake ni jambo la watanzania wote"
View attachment 2918088
We maku kweliv
vyoo vya shule siyo kazi ya serikali, ulivyokuwa unampumulia mke wako ulitegemea nani akujengee pa kunyea mtoto wako?
Sielewi kwanini bado BOT wana entertain matumizi ya cash, yanayopelekea watu wengi kukwepa kodi, hasa wafanya biashara.Mmehamasisha matumizi ya cash kwa kuweka tozo za kipumbavu kwenye miamala ya kieletronic, vuneni matunda ya upumbavu wenu na huyo waziri weny wa fedha asiye na maono.
Kariakoo janja nyingi sana, pia machinga lazima watengenezewe mfumo, maana bidhaa ya dukani na machinga anayo hiyo hiyo, hili linatengeneza mwanya mkubwa mno wa wizi, ni loop nzuri mno ya ukwepaji kodi.Tatizo ni matumizi makubwa ya Serikali kaka.
Mi kila siku najitahidi nikwepe kodiMtazame jinsi anavyosoma karatasi...hakuna element yoyote kwamba yupo serious.
Hayo mambo anayosoma hivi kweli kabisa kwa mtu mwenye PHD anahitaji kukodolea macho mstari kwa mstari?...vitu obvious ambavyo vinajulikana...
Mkuu, naamini mfumo ulioubuni na kuupendekeza ni mzuri, Lakini vipi matumizi mabaya ya fedha na ubadhirifu unaofanywa na Serikali, unadhani kutakuwa na maendeleo kama hakuna udhibiti kwenye matumizi ya Serikali? 🤔Kariakoo janja nyingi sana, pia machinga lazima watengenezewe mfumo, maana bidhaa ya dukani na machinga anayo hiyo hiyo, hili linatengeneza mwanya mkubwa mno wa wizi, ni loop nzuri mno ya ukwepaji kodi.
MFUMO NILIOUBUNI UKIFANYIKA KILA ROBO YA MWAKA SEREKALI ITAWEZA PATA TRILION 2+.KWA KARIAKOO PEKEE.
Kazi ya Govt Exchequer, nimependa mdhibiti wa Kenya, Mwigulu ajifunze Kenya, amwalike(mwana mama huyu) ili wapate experience!Mkuu, naamini mfumo ulioubuni na kuupendekeza ni mzuri, Lakini vipi matumizi mabaya ya fedha na ubadhirifu unaofanywa na Serikali, unadhani kutakuwa na maendeleo kama hakuna udhibiti kwenye matumizi ya Serikali? 🤔
Tatizo kubwa la viongozi wetu ni kiburi na dharau. Mtu akiishaaminiwa na kukabidhiwa mamlaka ya Dola anageuka kuwa Mungu mtu.Kazi ya Govt Exchequer, nimependa mdhibiti wa Kenya, Mwigulu ajifunze Kenya, amwalike(mwana mama huyu) ili wapate experience!
Matumizi ya anasa kama bibi ushungu amenunua saa ya 123m makusanya yakiongezeka zuhura si ataenda kumnunulia ya billion 1Tatizo ni matumizi makubwa ya Serikali kaka.
Mama abduli ataenda kununulia saa hata ya billion 5 au hata kikuku cha mili 20Mkuu, naamini mfumo ulioubuni na kuupendekeza ni mzuri, Lakini vipi matumizi mabaya ya fedha na ubadhirifu unaofanywa na Serikali, unadhani kutakuwa na maendeleo kama hakuna udhibiti kwenye matumizi ya Serikali? [emoji848]