Waziri Ndalichako better late than never; Mikopo ya elimu ya juu hailipiki sababu ya Value Retention fee ya 6%

Waziri Ndalichako better late than never; Mikopo ya elimu ya juu hailipiki sababu ya Value Retention fee ya 6%

Hatulipi labda mtufuate majumbani na mkinifuata nahama sinza nahamia mpanda ndani ndani huko
Mkuu umenifanya nicheke sanaaaaa, me wakiendelea kunifwatilia ntaingia hapo Zambia nina ndugu wapo fwaaaaa🤣🤣🤣🤣, kila mtu ajue panavyouma, wenyewe wametutelekeza mitaani alafu waje kujichekesha tukipata🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu umenifanya nicheke sanaaaaa, me wakiendelea kunifwatilia ntaingia hapo Zambia nina ndugu wapo fwaaaaa🤣🤣🤣🤣, kila mtu ajue panavyouma, wenyewe wametutelekeza mitaani alafu waje kujichekesha tukipata🤣🤣🤣🤣🤣
Siwezi kukubali nidakwe kirahisi kama kuku lazima nipambane
 
Mikopo ya elimu ya juu hailipiki na huu ndio ukweli sababu ya ujinga wa Value Retention fee ya 6%.

Mfano: Mnufaika asiye na ajira rasmi anatakiwa kulipa 100000 au 10% ya kipato anachokilipia kodi kwa mwaka. Mimi nilifungua stationery walipokuja kunikadiria kodi nilitakiwa kulipa 200,000/= kwa mwaka.

Kwahiyo 10% yangu ni 20,000/= ndio natakiwa nilipe bodi kila mwezi. Mkopo wangu ni milioni 10. Nikilipa kwa mwaka nitalipa laki 2.4. Deni litabaki milioni 9 na laki 7 na sitini elfu.

Mwaka unaofuata hili litaongezeka kwa 6% ambayo ni sawa na laki 5 na point hivyo deni langu litarudi milioni 10 laki 3. Kwa hali hii nani atajileta kwa hiari?

Bado kuna wale vijana waliosoma nje ya nchi ada zao kwa dola kisha wakija nchini mishahara laki 7, unafikiri deni watamaliza?

Peleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya HESLB ili tuone kama kweli elimu yako ya uprofesa ni genuine.

Muda bado upo.
kwani uaipolipa utanyongwa mzee?

madeni hayaishi hadi kifo
[emoji57]
 
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu ni;
Source ya mapato ya serikali,
Ulikuwa haujui hilo, watakucheka watu
 
Mnyonge serikali hii ya awamu ya Tano ni;
1.Wamachinga
2.Bodaboda
3.Mamantilie....
Waliobaki Watumishi wa umma na Kadhalika nyie ni source ya Mapato ya serikali.. Serikali ya Awamu hii ni limbukeni wa mavitu vitu na sio utu wa MTU...
Ujinga wa awamu hii wanaabudu miradi miiingi kuliko uwezo wa Nchi na Walipakodi utadhani ndio Mwisho wa uongozi km vile Viongozi watakao kuja hawatajenga Barabara na miundombinu mingine...
 
Mnyonge serikali hii ya awamu ya Tano ni;
1.Wamachinga
2.Bodaboda
3.Mamantilie....
Waliobaki Watumishi wa umma na Kadhalika nyie ni source ya Mapato ya serikali.. Serikali ya Awamu hii ni limbukeni wa mavitu vitu na sio utu wa MTU...
Ujinga wa awamu hii wanaabudu miradi miiingi kuliko uwezo wa Nchi na Walipakodi utadhani ndio Mwisho wa uongozi km vile Viongozi watakao kuja hawatajenga Barabara na miundombinu mingine...
Haya mambo ni kupokezana huwezi kufanya kila kitu kwa miaka 10. Fanya unapofikia waachie wengine
 
Kwani wao bodi ya mikopo wanasemaje?
 
Back
Top Bottom