Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

Mzee jaranono! Watu wamenasa mikakati ovu.
Lengo lao walimu walio upande wa upinzani , wanata wawasumbue wazazi kipindi hiki kigumu na kuelekea uchaguzi mkuu.

Wanataka wawape wapinzani hoja baada yawapinzani kuishiwa hoja.

Zingatia kuwa, khari yafedha na chakula ningumu kwa wafanyakazi je! Kwa wakulima itakuwaje?

Mvua zimenyesha zaidi yakiwango! Wazazi wanategemea zao moja kwa chakula na kifedha!

Sasa wapinzani wanataka kuwatumia walimu (baadhi) kuwafitini wananchi na serikari ya ccm.
Anza kufikiria na kulifahamu ili,,kwa ngazi ya kijiji Shule zipo chini ya Afsa mtendaji WA kijiji( CCM by default) ngazi ya kata zipo chini ya Afsa mtendaji kata(CCM by default) katika ngazi ya wilaya zipo chini ya Mkurugenzi( CCM by default).. Kwa utaratibu uliopo sasa ,,Mkuu wa shule haruhusiwi kuchangisha michango ,,,michango yote iratibiwe na kamati ya wazazi chini ya usimamizi wa watu nilio wataja hapo juu....Sasa hapa lawama kwa mwalimu zinaingilia mlango gani?.. kumbuka kitu kimoja,,mwalimu anaweza kuwa,,mkulima na mfanya biashara pia,,,so usimwekee shida ulizo nazo wewe!....
NB : Haya malalamiko yana tafasiri jinsi hali ilivyo mbaya mtaani hakuna pesa.. sasa ENDELENI KUSIFU NA KUABUDU
CCM OYEEEEEEEE,,,,MAGUFULI JEMBE SI JEMBEEE?
 
Hizo 75% ndo walimu wanazimarizia kabisa! Kwa kuwaagiza watoto michango,
Maana mtt akikoswa mchango wenzake wanamyanyapaa .

Ndio maana shule binafsi hazikubari mzazi kwenda na zawadi kusalimia mtoto kwa maana ya visting day.

Ila kwakuwa walimu wtu wengi niwale waliopata ufauru mdogo wakaambiwa nenda hata ualimu. Wanakuja na njaa zao.
Mwl wa secondary alitakiwa hata km ni shahada basi waangalie GPA yake be4.
Ila hawa wahata ualim ndiyo wanateseka kwa mikopo umiza mitaani harafu wanataka familia zao ziendeshwe na wazazi .

Hapana, ipo haja yakutaka muongozo toka kwa waziri wa elimu.
Subili utatolewa tu.
Hapa nilipo Agizo la Mkuu wa mkoa,,watoto wote WA kidato cha Nne kwa shule za kutwa waweke kambi shuleni,, kwa wastani GHARAMA ni kama 375000/= ,,,hapo lawama ni kwa mwalimu,,,
 
Wewe utakuwa kama si mwalimu, basi ni mwana ukoo ama hawara wa mwalimu kamili corrupsed ambaye ni mnufaika wa mojakwa1 wa hayo madudu.

Je kuna mtu kakataa kuchangia gharama za mwanawe kama serikali ikitoa muongozo, kama zamani watu walivyochangia?

Hiyo kauli uliyoitoa wewe ya michango holela, ndiyo iliyopigwa marufuku na serikali.

Na aina hii ya mawazo ama kauli, imefanya maagizo mazuri ya serikali kufubazwa kwa nguvu kubwa hasa na watu wanaolenga kujaza matumbo yao.
Usitoe mchango SUBIRI Hadi Serikali itoe Muongozo:..kama mwalimu mwenyewe mtoto wake anamsomesha private,,wee shupaza shingo
mwl WA Chem na Bios
 
Katika shule moja iliyopo wilaya ya Magu, ambayo ni Sekondari ya kata watoto wanatakiwa kupeleka kilo kumi za mchele kila mmoja, hayo ni maelekezo waliyopewa watoto kutuambia wazazi.

Shule ina wanafunzi wastani wa 2000×10 = kg 20,000/= na pesa tsh.2000@ mwanafunzi ambazo ni tsh. 4,000,000/=

Huu mchele ni kama tani 20
Na pesa 4ml.
Je, nimaelekezo ya Serikali?

Kuna mchezo siku hizi unatumiwa na walimu na baadhi ya kamati za shule, wanaita baadhi ya wazazi halafu wanadai wazazi walikubaliana,

Naomba Waziri uje na tamko maana sisi elimu bure siku hizi siyo elimu bure kwa kutumia mbinu hizi.

Tunaomba tamko maana naona walimu wanataka kupiga mchele na pesa kwa kigezo cha kuongeza muda wa masomo shuleni.
Acha kuwa mpumbavu ww hivi hivho chakula si watakula hao watoyo wako au watasoma bila kula hadi hiyo saa 10 jion usipende kuwaona walimu mda wote ni wez, ulipitia shule hadi sahz unajua kusoma na kuandika huyo mwalimu wako alikuibia nn kipindi unasoma
 
Usipende kuchangia mkuu huku ushatupia vitu vyako kichwani inaonyesha ni mjinga kiasi gani...."buku mbili tu" manaake Nini Kama ingekuwa si pesa wasingeihitaji ualimu ni wito na si biashara....tutahoji tu hata Kama ni shilingi Mia...

Sent from my itel S32 using JamiiForums mobile app
Huna hoja ya msingi... kafungue kesi mahakamani upate haki yako
 
Kuna wazazi/ walezi WAJINGA SANA ... wenzako wanalipa mil 3 ada tu we unaona mchele swala la kukuumiza kichwa ... akiwa likizo alikula KILO NGAPI mpka hiyo 10 ikushinde?
 
Elimu bure na Kula bure Ni vitu viwili tofauti

Nyie walimu tunajua mbinu zenu ovu yakutaka kujinufaisha!
Hizo kamati za shule mnazozitumia tunajua kila kitu.
Nyie walimu baadhi ndio mnaoandaa mikakati hii miovu ili serikari nachama ichukiwe na wananchi.
 
Kwanini hawaombi mahindi wanaomba mchele?
Kabla ya kuiva mpunga walikuwa wakiomba michango ya uji .
Mpunga umeiva wanataka mchele.
Wizi huo.
 
Anza kufikiria na kulifahamu ili,,kwa ngazi ya kijiji Shule zipo chini ya Afsa mtendaji WA kijiji( CCM by default) ngazi ya kata zipo chini ya Afsa mtendaji kata(CCM by default) katika ngazi ya wilaya zipo chini ya Mkurugenzi( CCM by default).. Kwa utaratibu uliopo sasa ,,Mkuu wa shule haruhusiwi kuchangisha michango ,,,michango yote iratibiwe na kamati ya wazazi chini ya usimamizi wa watu nilio wataja hapo juu....Sasa hapa lawama kwa mwalimu zinaingilia mlango gani?.. kumbuka kitu kimoja,,mwalimu anaweza kuwa,,mkulima na mfanya biashara pia,,,so usimwekee shida ulizo nazo wewe!....
NB : Haya malalamiko yana tafasiri jinsi hali ilivyo mbaya mtaani hakuna pesa.. sasa ENDELENI KUSIFU NA KUABUDU
CCM OYEEEEEEEE,,,,MAGUFULI JEMBE SI JEMBEEE?


Km ni hivyo! Kwa nini hao viongozi wasitangaze wao? Hasa wakuu wa mikoa km anavyofanyaga mkuu wa mkoa wa simiyu? Ili wazazi wakawa na imani?

Maana walimu sasa hivi wataanza kwenda na vimikoba shuleni vyakubebea mchele.🤣🤣

Nanimewalenga! Maana povu si povu!
Maana kabla ya kuiva mpunga walikuwa wanataka michango ya uji.
Umeiva mpunga wanataka mchele.
Waenderee kunywa uji km ni wali watoto wataukuta nyumbani.
Ha ha ha
 
nyie ndo wazazi matahila kamati ya shule ni wawakilish wa wazazi wote kama ilivyo wabunge wenu mchango ulio fanyika nenda shule kaulize inakuwa vp upewe maelezo hiyo idadi ya wanafunzi unayo taja umeitoa wapi upo kwenye takwmu za uongo na uchonganishi
 
Tatizo sio kuchangia pesa au chakula kwa mtoto Ila tatizo hivyo vitolewavyo je vitatumika kwa mujibu wa maelezo na dhumuni ya watoaji!!!? Kumbuka vile vile ni muhimu kupata maelezo Kama ni maelekezo ya wizara ya elimu ukizingatia kauli mbiu ni elimu bure kwa kila mtoto wa mkulima wa nchi hii...

Sent from my itel S32 using JamiiForums mobile app
kumbuka hata sheria kuna Law na by law
 
Jamani naomba niweke wazi

Mwalimu ni Kama mzazi/mlezi wa mwanafunzi. Kwahyo kuagiza mwanafunzi apeleke mchele kilo 10 na 2000 labda ya kulipa mpishi na kununua mafuta ya kupikia mchele siyo utapeli bali ni kutaka watoto some kwa ubora zaidi wakiwa wameshiba.

Pili, Mwanafunzi hawezi kusoma kwa weledi akiwa na njaa. Hivyo hiyo kilo 10 ni Kama chakula kwanili ya mwanao. Ukitaka mwanao afike mbali ktk elimu lazima ugharamike. Siyo unalilia tu. Hata sisi tulio bahatika kusoma mpaka elimu ya juu wazazi wetu waligharamia kila kitu ikiwemo kutupa hela ya chakula

Acha uchawi wa kutuona sisi walimu kama wezi
yani wazazi kama hawa ni shda tupu
 
Ha ha ha ! Naona Covid-19 mnataka mponee kwa wazazi!
Hili tundu tutaliandikia waraka kwa waziri wa elimu km atakaa kimya.

Sikila mwanafunzi aliyefanikiwa alikula shuleni!
Tulishinda njaa shuleni na tulifanikiwa km hivi tulivyo.

Shule za kata hamfundishi zaidi ya kuja na mipango hewa.
Hata watoto wanaofauru nikwa juhudi zao na wazazi wao.

Report na matokeo ya kila mwaka inaonyesha shule zakata wilaya ya hii nisawa na zero.

Darasa la wanafunzi 200 wanafauru Div4 34, Div2 wa3 na Div1 zero.

Mnanjaa mnataka kupiga msosi.
Kila mtu apambane na khari yke.
basi nadhani ww ushamaliza kufundisha wanao na corna hii watafaulu tu
 
Ndio maana walimu wote wanaochangia hapa huwaoni kupinga km ulivyopinga wewe! Mpaka sasa ninataarifa ya shule 3
1.kutoka mkoa wa mwanza (w) magu hii shule niyakata

2. Kutoka mkoa wa singida (w) ya manyoni nishule ya kata

3.kutoka mkoa wa Ruvuma kata ya tingi. Ni shule ya kata

Nabado nafatiria.
Wakienderea kupiga kelele hapa nitaweka na majina ya shule
weka majina kama unauhakika na taarifa zako
 
We kuna mtu amekulazimisha kumpeleka hapo? We fanya kumuhamisha umpeleje shule inayoendana na unavyotaka. It's very simple.
hujui unachoongea wewe, shule za binafsi wameweka huo utaratibu wao mtoto akifika darasa la nne ahamie boarding, huko boarding watoto wanaamshwa usiku wa manane kusoma, hii ni shule zote, unaongea ongea tu, nimuamishe nimpeleke wapi ? na suala hili uingereza limefanyiwa utafiti watoto wengi wanaathirika sana kisaiokolojia kwasababu facilities na guardianship iliyopo siyo nzuri na ya kutosha kwa watoto wa umri mdogo.
 
Very simple wapi?
Kambla yakuiva mipunga mbona mlihitaji michango ya uji? Mmeona mipunga imeiva ndo mnakodolea kilo 10 za mchele!
Mali inapatikana shamba........ nendeni mkalime badala yakuchukua mikopo ya nyumba na kununua gari hafu mwaanza kuumiza wazazi.
 
Back
Top Bottom