Waziri Ndumbaro azindua Jengo la Utalii wa mashamba ya misitu Biharamulo-Chato, atoa maelekezo kwa Sekta ya Utalii nchini

Waziri Ndumbaro azindua Jengo la Utalii wa mashamba ya misitu Biharamulo-Chato, atoa maelekezo kwa Sekta ya Utalii nchini

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Waziri wa maliasili na utalii Dkt. Damas Ndumbaro leo January 12 akizindua jengo la utalii wa mashamba ya misitu Biharamulo-Chato ameiagiza bodi ya utalii nchini kuhaakikisha kuwa inapeleka watalii wa kutosha kwenda kujionea maajabu ya msitu mnene wa Biharamulo-Chato hivyo kuongeza mapato ya serikali

Picha: Waziri Ndumbaro akiwa na bodi ya utalii nje ya jengo alilozindua leo Biharamulo-Chato

20210112_213340.jpg
 
Asante sana waziri kwa sasa chato aka chatu inapaa kama jet. Mungu mbariki rais jpm
Wananchi wa Kusini wakiangalia kinachoendelea Chato huku zao lao la korosho likiwa limehujumiwa, na 200b za mfuko wa korosho zikiwa zimeporwa kwenda kununulia ndege, kwa vyovyote watataka rais safari hii atoke kusini ili akapendelee kwao.
 
Tunahitaji TANAPA wajenge jengo la ofisi linaloeleweka iwapo wanataka utalii endelevu kanda ya ziwa na kwa ku diversify utalii nchini.
 
Ni jambo jema!

Wale Covid 19 walikosea sana kutomweka Upendo Peneza miongoni mwao!
Niliwahi kusema humu kwamba yuko waziri wa mawaziri, ndio anayetoa mwongozo wa cha kufanya, hawa mawaziri wengine wote akiwemo Waziri Mkuu kazi yao ni kujibu maswali bungeni tu.

Haiwezekani mawaziri wote waachane na Dodoma waanze kushadadia Chato, hata kama watanzania ni mabwege zumbukuku, si kwa utopolo huu wanaofanyiwa.
 
Niliwahi kusema humu kwamba yuko waziri wa mawaziri , ndio anayetoa mwongozo wa cha kufanya , hawa mawaziri wengine wote akiwemo Waziri Mkuu kazi yao ni kujibu maswali bungeni tu .

Haiwezekani mawaziri wote waachane na Dodoma waanze kushadadia Chato , hata kama watanzania ni mabwege zumbukuku , si kwa utopolo huu wanaofanyiwa
CHADEMA mna vituko sana.

Kule Lupaso mkasema Nkapa alisahau kwao akahamia Tanga.

Haya Chato nako mnaleta maneno!
 
Back
Top Bottom