Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Uliza alichofanya Mobutu , halafu nenda kajionee leoChadema mna vituko sana.
Kule Lupaso mkasema Nkapa alisahau kwao akahsmia Tanga.
Haya Chato nako mnaleta maneno!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza alichofanya Mobutu , halafu nenda kajionee leoChadema mna vituko sana.
Kule Lupaso mkasema Nkapa alisahau kwao akahsmia Tanga.
Haya Chato nako mnaleta maneno!
Ndumbalo aliwahi kufungiwa maisha kujihusisha na soka kutokana na makandokandoAisee Chato tena.
Yani kimetafutizwa kivutio cha utalii hapo Chato imebidi hadi shamba la miti lilazimishiwe kuwa kivutio cha utalii 🤣🤣🤣
Mkuu plan ipo imeanza kitambo mjengo makao makuu Tanapa kanda ya ziwa na magharibi Chato.Sio kanda ya ziwa, sema wajengee Chato, acha kuzunguka zunguka.
Chadema mna vituko sana.
Kule Lupaso mkasema Nkapa alisahau kwao akahsmia Tanga.
Haya Chato nako mnaleta maneno!
Mawaziri wanapishana na kupigana vikumbo kwenye mitaa ya chato,huku jamaa anatafuna pop corn na coca bariiiidi anawazoom tu
Wananchi wa kusini wakiangalia kinachoendelea chato huku zao lao la korosho likiwa limehujumiwa, na 200b za mfuko wa korosho zikiwa zimeporwa kwenda kununulia ndege, kwa vyovyote watataka rais safari hii atoke kusini ili akapendelee kwao.
Kweli mtu kama huyu anaweza kuachia nchi itawaliwe namwingine awe anaongozwa?Magufuli anaonesha amekulia maisha ya dhiki sana alipokuwa mdogo pamoja na hivyo amekosa moyo wa kuridhikaa.
Waziri wa maliasili na utalii Dkt. Damas Ndumbaro leo January 12 akizindua jengo la utalii wa mashamba ya misitu Biharamulo-Chato ameiagiza bodi ya utalii nchini kuhaakikisha kuwa inapeleka watalii wa kutosha kwenda kujionea maajabu ya msitu mnene wa Biharamulo-Chato hivyo kuongeza mapato ya serikali
Picha: Waziri Ndumbaro akiwa na bodi ya utalii nje ya jengo alilozindua leo Biharamulo-Chato
View attachment 1675865
kujionea maajabu ya msitu mnene wa Biharamulo-Chato hivyo kuongeza mapato ya serikali
Magufuli anaonesha amekulia maisha ya dhiki sana alipokuwa mdogo pamoja na hivyo amekosa moyo wa kuridhikaa.
Nikiwa Rais navibomoa kuondoa kujenga mazoea ya kujipendelea unapokuwa Rais.Ni jambo jema!
Wale Covid 19 walikosea sana kutomweka Upendo Peneza miongoni mwao!
Ni tabia binafsi za kiafrica si ajabu,Chato chato chato,hapo tunakumbushwa tukumbuke makwetu.
Eti utalii wa misitu! Waziri ameiagiza bodi ya utalili ipeleke watalili wengi wakajionee misitu minene iliyoko Chato! Misitu minene Chato my foot!Niliwahi kusema humu kwamba yuko waziri wa mawaziri , ndio anayetoa mwongozo wa cha kufanya , hawa mawaziri wengine wote akiwemo Waziri Mkuu kazi yao ni kujibu maswali bungeni tu...