Shiiiiiiiii, acha kuhoji hoji we jua tu ni utalii, hata kama hao watalii hawaendi huko...ebo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Daaah,Chato tena kwenye headlines!Huo mjengo sio wakitoto aisee,na hiyo ni ofisi tu ya miti!?[emoji16][emoji16][emoji16]
Utalii wa mashamba ya misitu maana yake nini?