Waziri Ndumbaro: Dkt. Kigwangalla hakufuata sheria alipofuta umiliki wa kitatu cha Lake Natron, naagiza warudishiwe Green Miles safaris

Ndumbaro ni dalali wa Simba SC!
 
Ile video ya Mch. Msigwa ya hao jama wakimwatandika risasi pundamilia wachanga na mama zao bado ninayo, ngoja niipandishe hapa labda watu wameishasahau...Acha KAZI iendelee....
Hakika JPM alikuwa bulldoser+++ kweli !
 
Kama Waziri amekiri basi hiyo ni kesi tosha ya GM kufungua kesi na kulipwa hasara waliyoipata ( kama kuna sheria lakini)
 
Said bagaile a.k.a hamisi mapikipiki
 
Na inatakiwa huyo mwekezaji alipwe fidia.


[emoji2297][emoji2296][emoji2356]
Inauma sana jamani!

Ikiwa hivyo kuna m(wa)tu a(wa)napaswa kuwajibika kama siyo kuwajibishwa.

Sirius tusicheze na rasilimali za Taifa letu.
 
Kwenye hili nashauri uchunguzi ufanyike kubaini nani yuko sahihi kati ya Kigwa na Ndumbaro.

Tupate kujua ukweli kwanza ndipo tuhukumu.

Naamini huenda kuna mazuri pia ambayo Kigwa akiyafanya kwa nia njema yenye kuzingatia maslahi ya Umma wa waTZ .
 
Mkuu kuna hili jambo la Wamachinga Mijini. Alivuruga mipangilio ya Miji kwa kuwaruhusu wajazane bila mpangilio. Yaani siku janga la moto likitokea sipati picha itakuaje? Jiwe alikuwa mvurugaji sana.
 
Ile video ya Mch. Msigwa ya hao jama wakimwatandika risasi pundamilia wachanga na mama zao bado ninayo, ngoja niipandishe hapa labda watu wameishasahau...Acha KAZI iendelee....
Hakika JPM alikuwa bulldoser+++ kweli !
Mkuu Ile Video ya Mchungaji Msigwa kama unayo ipandishe hapa hapa tuone jinsi Viongozi wetu wanapenda Rushwa na kujali matumbo yao.
 
Mkuu hawa watu hadi wakigongewa wake zao nasikia wanapiga kimya tu wanasema sababu ya mwenda zake
Ifike hatua wantue Magufuli vichwani mwao! Kila post Magufuli[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo waziri atafanya chochote kile kulinda cheo chake. Kumbuka sarakasi zake kule SSC na mwanafunzi wake Michael Wambura. Rejea pia juzi hapo kumsimamisha kazi MD wa TTB kwa ushauri uchwara wa CAG. Hivyo pia kapewa agizo kuhusu hao majangili na yeye ni mtekelezaji tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…