johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Ndumbaro ni dalali wa Simba SC!Yaaani kama GREEN MILES imerudi Tanzania baasi yale yale ya RICHMOND yataaanza kwa kasi ya G4 yaaani roho yangu imeniuma sana hawa Wahujumu kurudishwa Nchini kwetu. Kuanzia leo Dkt. NDUMBARO nimeanza kumuweka kwenye Orodha ya Watu hatari kwa Taifa hili, maaana siyo Msafi