NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
'Home boy technic' aliitumia mwana FA kumbeba mwakinyo kwenye adhabu Ile!Wote na Naibu wake hawafai na waondolewe . Nakumbuka Bodi ya ngumi za kulipwa Tanzania iliwahi kumpa adhabu Mwakinyo lakini Mwana FA alitumia kofia yake kama Naibu Waziri Hadi Ile adhabu ikabatirishwa za ndaaaaani ni kuwa wawili hao ni mtu na meneja wake.
Nani kashinda. Azam akiamua kususa Vitasa itapotea kabisapambano limekuja fanyika Jumamosi.. ukumbi huo huo na likaonyeshwa na Millard Ayo TV...
Mwakinyo nae ana mambo ya ki wackyWanamhujumu Mwakinyo kwakuwa anajielewa, Watanganyika hawapendi watu wanaojielewa wanataka mambumbumbu wawabiluze tu
Kuhusu Waziri kusahihisha makosa ya Naibu wake uko sahihi. Lakini Naibu Waziri kutokuwajibika Kwa kufanya upendeleo wa wazi unatoa picha mbovu Kwa wizara Kwa ujumla. Mbaya Zaid matatizo au changamoto za mchezo wa ngumi za kulipwa hapa Tz Kwa asilimia kubwa zinamuhusisha Mwakinyo . Either positive au negative zote ni yeye .Waziri anatakiwa kusahihisha mapungufu ya naibu wake...wote hawafai lakin waziri Yuko more responsible