Pre GE2025 Waziri Ndumbaro: Serikali haipendi kabisa matamko ya kukurupuka ya TLS

Pre GE2025 Waziri Ndumbaro: Serikali haipendi kabisa matamko ya kukurupuka ya TLS

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Waziri wa Sheria na Katiba, Mh. Ndumbaro, amewapa za uso Chama cha Wanasheria Tanganyika kwamba kinatoa matamko ya kukurupuka tu.
===============
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, ameonesha kutofurahishwa na mwenendo wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa kutoa matamko ya kukurupuka dhidi ya serikali. Amesema vitendo na matamko hayo ni vigumu kukubalika na hakuna serikali duniani inayovumilia kushushiwa hadhi yake.

Soma Pia: Waziri wa Katiba na Sheria (Ndumbaro): Tanzania inaendelea kwa sababu kuna Haki, Usawa na Amani

Ni katika muktadha huo, Dkt. Ndumbaro ametoa wito kwa TLS kuboresha mahusiano na Serikali kwa kuongeza majadiliano kati ya pande hizo mbili. Amesema hayo Jijini Dodoma wakati wa utiaji saini wa hati ya makubaliano ya utoaji huduma za kisheria kwa wananchi kati ya serikali na TLS.

 
Alipokuwa nguli wa Sheria Prof.Kabudi , Mwabukusi alinywea na kupotea kabsa Sasa karudi. Nilisema Kabudi atamdhibiti na kumpoteza Mwabukusi
 
Back
Top Bottom