Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiy ukweliHatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiy ukweliHatari sana
Matamko ya kukurupuka ama ukweli mchungu?Waziri wa Sheria na Katiba, Mh. Ndumbaro, amewapa za uso Chama cha Wanasheria Tanganyika kwamba kinatoa matamko ya kukurupuka tu.
View attachment 3178037
Watu wenye sura za mviringo, aghalabu huashiria 0 brain.Waziri wa Sheria na Katiba, Mh. Ndumbaro, amewapa za uso Chama cha Wanasheria Tanganyika kwamba kinatoa matamko ya kukurupuka tu.
View attachment 3178037
Ndiyo maana hawawajibiki kwa wananchi wanajua njia walizozitumia kufika hapo si kwa nguvu ya wananchi.Ndiy ukweli
Huyo Kabudi si ndio waliingia kwenye vikao vya siri na wazungu kujadili mikataba, akatoka na porojo za $300 kama goodwill, huku ripoti fake ya kina Profesor Ossoro ikisema tunadia $192b? Mara akaja na porojo sijui za 50/50, sijui 16% kama mrabaha, yaani sijawahi kuelewa hata anaongea nini, na hizo $300m za goodwill hadi leo hazieleweki zimelipwa kiasi gani, na kila siku tunalipishwa huko nje huku Kabudi kajikausha kama sio yeye alikuwa analeta porojo chini ya dhalimu magu.Alipokuwa nguli wa Sheria Prof.Kabudi , Mwabukusi alinywea na kupotea kabsa Sasa karudi. Nilisema Kabudi atamdhibiti na kumpoteza Mwabukusi
Ni ushirikina tupu, CCM huwezi kutoboa kama siyo mshirikinaNdiyo maana hawawajibiki kwa wananchi wanajua njia walizozitumia kufika hapo si kwa nguvu ya wananchi.
KabisaNi ushirikina tupu, CCM huwezi kutoboa kama siyo mshirikina



😃😃😃 🚗 mpya.Ngoja kwanza ameze asali, imejaa mdomoni
Waziri wa Sheria na Katiba, Mh. Ndumbaro, amewapa za uso Chama cha Wanasheria Tanganyika kwamba kinatoa matamko ya kukurupuka tu.
===============
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, ameonesha kutofurahishwa na mwenendo wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa kutoa matamko ya kukurupuka dhidi ya serikali. Amesema vitendo na matamko hayo ni vigumu kukubalika na hakuna serikali duniani inayovumilia kushushiwa hadhi yake.
Soma Pia: Waziri wa Katiba na Sheria (Ndumbaro): Tanzania inaendelea kwa sababu kuna Haki, Usawa na Amani
Ni katika muktadha huo, Dkt. Ndumbaro ametoa wito kwa TLS kuboresha mahusiano na Serikali kwa kuongeza majadiliano kati ya pande hizo mbili. Amesema hayo Jijini Dodoma wakati wa utiaji saini wa hati ya makubaliano ya utoaji huduma za kisheria kwa wananchi kati ya serikali na TLS.