Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Jana blogger maarufu katika Mtandao wa You Tube muingereza Jason Billam amepost kuhusu safari yake kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar.
Blogger huyu amekuwepo Tanzania kwa muda wa wiki sasa na amekuwa akielezea mengi mazuri kuhusu Tanzania jambo ambalo ni zuri kiutalii
Jambo la kusikitisha kama ilivyo kwa Watalii wengine nyakati tofauti, blogger huyu ameelezea kuhusu tukio la kuwa harassed na watu wa ulinzi ( Security) wakati akiboard meli kwenda Zanzibar katika kituo chetu cha Bandari hapa Dar es Salaam.
Blogger Huyu bila kumung’unya maneno ameelezea kuhusu alivyoombwa fedha elfu ishirini na Ofisa wetu huyo.
Kusema kweli hiki ni kitendo cha aibu sana na kinarudisha sana nyuma jitihada zinazofanywa na Serikali kwenye kukuza Utalii!
Hii si mara ya kwanza kwa watalii kulalamika kuombwa hela/rushwa na watu wetu wanaosimamia mambo ya ulinzi kwenye vituo vyetu
Naomba Waziri Pindi Chana lifuatilie hilo na mtumishi huyu achukuliwe hatua kali za kinidhamu na Mamlaka ili iwe fundisho na tabia hizi zikome mara moja
Unaweza kuangalia video Hiyo ambayo Mtalii huyu aliyekuja Tanzania anelalamika!
Blogger huyu amekuwepo Tanzania kwa muda wa wiki sasa na amekuwa akielezea mengi mazuri kuhusu Tanzania jambo ambalo ni zuri kiutalii
Jambo la kusikitisha kama ilivyo kwa Watalii wengine nyakati tofauti, blogger huyu ameelezea kuhusu tukio la kuwa harassed na watu wa ulinzi ( Security) wakati akiboard meli kwenda Zanzibar katika kituo chetu cha Bandari hapa Dar es Salaam.
Blogger Huyu bila kumung’unya maneno ameelezea kuhusu alivyoombwa fedha elfu ishirini na Ofisa wetu huyo.
Kusema kweli hiki ni kitendo cha aibu sana na kinarudisha sana nyuma jitihada zinazofanywa na Serikali kwenye kukuza Utalii!
Hii si mara ya kwanza kwa watalii kulalamika kuombwa hela/rushwa na watu wetu wanaosimamia mambo ya ulinzi kwenye vituo vyetu
Naomba Waziri Pindi Chana lifuatilie hilo na mtumishi huyu achukuliwe hatua kali za kinidhamu na Mamlaka ili iwe fundisho na tabia hizi zikome mara moja
Unaweza kuangalia video Hiyo ambayo Mtalii huyu aliyekuja Tanzania anelalamika!