Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Kwamba ni halali au? Why mnahalalisha rushwa halaf mnalalamika haiishiHuyo mzungu naye mzungu njaa. Hiyo ni aliyoombwa ni bakshishi (tips) tuu. Tena ni aibu mpaka aombwe badala ya yeye mwenyewe kujitolea.
Jibu swali, lini Mwenyekiti wangu kasema watu waende kinyume na maadili?Mwenyekiti wako alitoa hiyo kauli nabhajawahi kuikanusha mpaka leo, usimuwekee maneno mdomo hata kama wewe ni chawa wake.
Tatizo wamejaa ujinga na ushambaUpo serious au unatania?
Nchi inaharibiwa na watu kama wewe
Tips sijui bakshishi haiombwi (tembea uone)
Kwamba ni halali au? Why mnahalalisha rushwa halaf mnalalamika haiishi
Kikwete katajwa wapi hapa?Hauwezi tenganisha rushwa na utawala wa kikwete FULL STOP wewe mwenyewe mleta mada unalijuwa hilo.
Tabia ya mtu haiwezi kuchafua serikali yetu pendwa achukuliwe hatua Kali mara moja
Aaibu Ni iyo ferry ya dar na ya Zanzibar! Hazina hadhi kabisaa yanj Toka ukoloni mpaka leo hamna maboresho. Waiting area mbovu, joto, ndogo Kama vile hatujazungukwa na bahar.Ni aibu sana!
Wewe ulidhani alimaanisha nini..ngoja nikueleze manake ni kupiga hela za umma kadri unavyopata chance.Kwa uelewa wako urefu wa kamba ni kwenda kinyume na maadili ?