GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Binafsi tokea uteuliwe kuwa Waziri wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo sijaona la maana ulilofanya hata katika Press Conferences zako zote.
Yaani kabisa Waziri mzima unasimama mbele ya watu wenye akili (akina GENTAMYCINE na wengineo hapa JamiiForums) unatuambia tufanye maombi (dua) ili Taifa Stars ishinde dhidi ya Uganda huko Misri na siku nne baadae Tanzania?
Kwahiyo Watanzania tu ndiyo tunatakiwa tumuombe Mwenyezi Mungu Taifa Stars yetu ishinde ila Waganda wao hawahitaji Baraka za Mungu huyu huyu ambaye unatuhimiza Watanzania tumuombe atusaidie?
Nimejaribu kuangalia sehemu (nchi) mbalimbali kama Argentina, Brazil, France, Spain, Germany, Italy na Croatia kuona kama na wao Mawaziri wao wa Michezo huwa wanahimiza Wananchi wao kufunga kula na kunywa kuomba dua kwa Mwenyezi Mungu ili Timu zao zishinde.
Timu ya Taifa inashinda kwa Maandalizi, Mikakati, Uzalendo wa Kweli, Mipango thabiti, Malengo, Kujitoa (Commitment) kwa Wachezaji na Benchi la Ufundi Bora.
Msitulazimishe tuanze kuwadharau.
Yaani kabisa Waziri mzima unasimama mbele ya watu wenye akili (akina GENTAMYCINE na wengineo hapa JamiiForums) unatuambia tufanye maombi (dua) ili Taifa Stars ishinde dhidi ya Uganda huko Misri na siku nne baadae Tanzania?
Kwahiyo Watanzania tu ndiyo tunatakiwa tumuombe Mwenyezi Mungu Taifa Stars yetu ishinde ila Waganda wao hawahitaji Baraka za Mungu huyu huyu ambaye unatuhimiza Watanzania tumuombe atusaidie?
Nimejaribu kuangalia sehemu (nchi) mbalimbali kama Argentina, Brazil, France, Spain, Germany, Italy na Croatia kuona kama na wao Mawaziri wao wa Michezo huwa wanahimiza Wananchi wao kufunga kula na kunywa kuomba dua kwa Mwenyezi Mungu ili Timu zao zishinde.
Timu ya Taifa inashinda kwa Maandalizi, Mikakati, Uzalendo wa Kweli, Mipango thabiti, Malengo, Kujitoa (Commitment) kwa Wachezaji na Benchi la Ufundi Bora.
Msitulazimishe tuanze kuwadharau.