Waziri Prof.Mkenda, umekwepa Maswali Bungeni unatuachia hatari wakulima wa Vanilla nchini

Waziri Prof.Mkenda, umekwepa Maswali Bungeni unatuachia hatari wakulima wa Vanilla nchini

Mjuu

Mkuu, pitia kwenye ice-cream Para, waambie wakupe ice cream ya Vanilla.... Itakusaidia kuijua vanilla.
Vanila yoghurt anayotengeneza Azam ni mzuri na tamu sana. Hata chai ya vanilla kwenye hotel ya azam ni bei ghali kikombe 10,000/tags na zaidi
 
Back
Top Bottom